Mwanamayu
JF-Expert Member
- May 7, 2010
- 11,349
- 6,476
Kwa mujibu wa sayansi ya siasa, chama cha siasa kina nia moja tu, kukamata dola na kuwahudumia wananchi wote.
Mhe. Rais amesema kuna vyama vina nia tofauti. Je, ni tofauti na hiyo nadhalia ya sayansi ya siasa? Au tofauti na nia ya CCM?
Je, nia ya CCM inarandana na nia iliyopo kwenye sayansi ya siasa?
Halafu, kama vyama hivyo vinajulikana kuwa na nia ovu, kwa nini bado vipo kwenye usajili?
Mhe. Rais amesema kuna vyama vina nia tofauti. Je, ni tofauti na hiyo nadhalia ya sayansi ya siasa? Au tofauti na nia ya CCM?
Je, nia ya CCM inarandana na nia iliyopo kwenye sayansi ya siasa?
Halafu, kama vyama hivyo vinajulikana kuwa na nia ovu, kwa nini bado vipo kwenye usajili?