Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Habari JF , kwa kifupi kabisa kwa katiba tuliyo nayo ni katiba ambayo ina upendeleo mkubwa kwa watawala na kuwapa nguvu kubwa kutawala . Kwa maana nyingine sio katiba ya kizalendo sababu haiwapi...
8 Reactions
33 Replies
2K Views
UKIMPATA KIONGOZI AMBAYE NI MWAMINIFU KATIKA MAJUKUMU YAKE MAENDELEO NI KAZI RAHISI SANA: MHE. NICODEMAS HENRY MAGANGA, MBUNGE WA JIMBO LA MBOGWE MKOANI GEITA "Mwanzoni kulikuwa na watu siyo...
0 Reactions
1 Replies
676 Views
Rasmi sasa maandamano yetu ya amani ya kupinga mkataba wa bandari ni tarehe 9 Novemba 2023 kama tamko linavyojieleza. Watanzania anzeni kujiandaa na mvua za manyunyu kabla hatujaanza na mvua za mawe.
27 Reactions
132 Replies
11K Views
Habari. Kwa mujibu wa Vatican news, Kanisa katoliki Tanzania kupitia TEC limesisitiza kuwa haliungi mkono mkataba wa kukodisha bandari uliofikiwa baina ya Tanzania na DPW. Taarifa ya TEC imesema...
39 Reactions
198 Replies
20K Views
Hawa ni miongoni mwa vijana wachache sana ndani ya chama wanaojua WANACHOFANYA.Ninamwona mmoja kati yao akipeperusha bendera ya chama 2025 na muda utasema.Hutaki unaacha usilete kejeli,karibu!
0 Reactions
22 Replies
2K Views
Huwa nawaambia mara nyingi viongozi wa Afrika wengi hawana akili za kutatua matatizo. Toka mradi wa Mwendo kasi uwasaidie watu kupiga pesa sasa imekuwa kila barabara inalazimishwa mwendokasi...
8 Reactions
15 Replies
1K Views
Ukiachana na TISS au CID ambao ni polis bado kitengo cha usalama jeshini (MI) wanaweza kupenyeza nani akafanye kazi za kiraia hasa zile za ushauri wa mgambo kwenye halmshauri zote hapa nchini ni...
8 Reactions
48 Replies
7K Views
Listen please Ujumbe: mnalikaribisha JESHI kuwa na hisia za kuutaka urais, kuitaka siasa, kuutaka UKUU/UTUKUFU and the like...ndio ujumbe mkuu wa ndiko/clip hiyo. Utamaduni /tabia /matamanio...
15 Reactions
48 Replies
4K Views
Yapo mambo yaliyoibuliwa kwenye haya Maandamano tunayoendelea nayo yanasisimua sana . Imeibuka Taarifa kwamba yuko Waziri mwenye ng'ombe wengi sana , ambaye anatumia V8 kuchungia mifugo hiyo ...
15 Reactions
54 Replies
5K Views
Mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda amepiga marufuku maandamano ndani ya mkoa wa Dar es Salaam. Makonda amesema kuwa kufuatia kauli ya Rais,yeye anaitekeleza. Makonda amesema kuwa kauli...
9 Reactions
221 Replies
24K Views
RC wa Manyara, Alexander Mnyeti amefuta kikundi cha watu wa Kilimanjaro waishio Manyara. Wiki chache zilizopita alikifuta kikundi cha watu wa mkoa wa Mara waishio Manyara. Amesema ataendelea...
24 Reactions
497 Replies
58K Views
Nimemsikiliza kwa makini Rais wetu Magufuli wakati wa kuipokea ndege yetu mpya, aina ya AirBus A200-300, alipokuwa akijipa sifa za ziada kuwa yeye amekaa madarakani miaka 3 pekee, lakini kutokana...
59 Reactions
203 Replies
18K Views
Kwa kile kinachoitwa mshtuko Waziri mkuu MAJALIWA KASSIM MAJALIWA leo Apiga marufuku mikutano ya kisiasa ya kuwashukuru wananchi hasa kwa wale wagombea walioshindwa uchaguzi. Nini tafsiri ya hii...
1 Reactions
334 Replies
36K Views
Sina uhakika wa takwimu za ukosefu wa ajira lakini nimefanya uchunguzi wangu makini kabisa kutoka na uzoefu wangu wa jiji. Nia yangu siku zote ni kufanyakazi za kijamii baada ya kazi zangu za...
8 Reactions
67 Replies
8K Views
Salaam ndugu zangu, Aisee kumekuwa na tabia ya viongozi wa Mitaa mbalimbali kugeuza shida za Wananchi kama miradi yao ya kujipatia pesa. Mpaka sasa kwa hapa Dar es Salaam nimeishi mitaa mitatu...
5 Reactions
46 Replies
3K Views
Yaani habari inayo trendi ni Rais KURUHUSU Maandamano. Imekua ndipo habari kubwa zaidi hâta ya hoja za Chadema. Kiukweli Mpaka Sasa ni kama hakuna MAANDANO yaliyo tokea. Kwa jambo hili Rais...
4 Reactions
12 Replies
866 Views
Kama ni mfuatiliaji mitandao ya kijamii hasa u tube utanikubalia kuwa Zama zimebadirika. System ime benefit kwa muda mrefu kutokana na ujinga wa jamii tuliyonayo Kwenye mitandao ya kijamii...
7 Reactions
5 Replies
831 Views
Nadhani hawatapiga tena mkwara wa kuandamana. Faida ya maandamano ya upinzani ni uyatangaze halafu yakataliwe ili muanzishe MTITI na gavamenti sojaaz. MTITI unafaida sana ukipeleka picha za...
4 Reactions
21 Replies
2K Views
Salaam Wakuu, Mwaka huu ni mwaka wa Uchaguzi wa Serikali za Mitaa. Watu wengi tunauchukulia poa Uchaguzi wa hivi kwa kutokuelewa hasa umuhimu na majukumu ya Serikali za Mitaa. Kabla ya kufika...
0 Reactions
4 Replies
566 Views
The Flop of Tanzania's Chadema Party Public Demonstrations: A Detailed Assessment of the Political Landscape Mmusi Mosimane Nthuli Today January 24th 2024, a pivotal political episode unfolded...
0 Reactions
10 Replies
1K Views
Back
Top Bottom