Tanzania kwa miaka kama saba hivi spika na Jaji Mkuu ni sehemu ya msafara wa Rais. Kila anapokuwa Rais lazima spika awepo pembeni na Jaji Mkuu. Utatu huu mtakatifu unawezaje kutekeleza dhana ya...
Kwema Wakuu!
Sijui anatumia uchawi gani.
Sijui anatumia mbinu gani za kimedani.
Lakini huyu jamaa kwa sasa hakuna mwanasiasa yoyote ambaye anamsogelea kwa umaarufu hata kwa kilometa mia moja...
Ni ajabu Sana
Sifa Kuu ya Tume Huru ya Uchaguzi ni Watendaji wake wakuu kupatikana kwa njia Huru, ya Wazi na isiyoegemea upande wowote
Na ndivyo bunge letu tukufu limebadilisha mfumo mzima wa...
"Nimesikia Bunge limeridhia Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) sasa iitwe Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (NFEC). Yaani kuongeza neno HURU kumeleta uhuru wa Tume. Kazi Iendelee. Lakini?" Askofu Dkt...
Mchoraji mkuu wa siasa za ushindi wa CCM kwa sasa kuelekea uchaguzi mkuu wa mwaka 2025 sio mwingine bali ni Kanali Mstaafu wa Jeshi la Wananchi wa Tanzania, Afande Abdulaman Kinana! Sijui ni...
Viongozi wakuu wa SADC wamekutana kwa dharura kujadili Kipindupindu. Ninapenda kufahamu kipindupindu ni agenda ya head of states au ilitakiwa kuwa chini ya wataalam wa Afya?
Kwamba na umaskini...
Wanajamvi, Jana Kuna taarifa zilisambaa sana za kumtaka Rais Samia kutumia birthday yake Kumsaidia kada wa chama chake Thadei Ole Mushi aliyesimama moyo kufanya kazi.
Taarifa hizi zilisambazwa na...
Mwaka jana wakati wa kikao cha CCM kilichopokea na kukubali chogolo akae pembeni Mwenyekiti alisema watafanya uchunguzi dhidi ya watu wanaomtuhumu Chogolo.
Ukipita mitandaoni leo kwanza kuna...
Haitokaa itokee Makonda akampigia Nape simu kama anavyofanya kwa mawaziri wengine.
Kwa bifu lililopo kati ya Nape na Makonda sitegemei kuliona hili likitokea.
Makonda akiwa RC wa DSM aliwahi...
Kama mnavyojua mchakato wa katiba mpya ulianza mwaka 2010/11 na ukafikia kikomo mwaka 2014, leo naomba kujifunza na kujuzwa.
1. Nani alisababisha katiba mpya isipatikane?
2. Nini kilisababisha...
MBUNGE CHEREHANI ATOA MADAWATI 975 YA MIL 63.3: MAADHIMISHO MIAKA 47 YA CCM
Mbunge wa Jimbo la Ushetu Mhe Emmanuel Cherehani kupitia Ofisi ya mbunge ametoa madawati 975 yenye thamani ya Shilingi...
Mzee Kinana akizungumza na viongozi wa CCM DAR es salaam ameeleza kwamba CCM imeondoa kesi tisa za jinai walizowafungulia chadema mahakamani na sasa hivi wanaangalia namna ya kufuta kesi mbili...
Ni utawala wa Magufuli ulimfanya Hamphrey Polepole ampigie simu Mama yangu wa Kambo aliyekuwa Katibu Tawala Mkoa wa Tanga enzi enzo ilikuwa majira ya saa tano Kasoro.
Nakumbuka Mama yangu wa...
Aliyekuwa Mkuu wa wilaya ya Hai mkoani Kilimanjaro Lengai Ole Sabaya leo ametoa Sadaka ya Shukrani Kanisa la Eberneza la Mataifa Yote jijini Arusha huku akiwa amesindikizwa na Watu mashuhuri...
Wakati Rais Hussein Mwinyi anaingia madaralani, uchumi wa Zanzibar ulikuwa kunakuwa kwa asilimia zisizozidi 5. Lakini ndani ya kipindi cha miaka 3 tu uchumi wa Zanzibar leo unakua kwa asilimia...
Hivi unapata wapi nafasi ya kuipenda na kuitetea Serikali ya Wahuni, viongozi wake wabinafsi, watu wenye roho mbaya, watumishi wala rushwa, hii nchi inakoendea vikundi vya waasi vitajitengeneza...
Mbunge Saashisha Mafuwe Amlilia Katibu wake, Mwal. Benson Lema
Aliyekuwa Katibu wa Mbunge wa Jimbo la Hai Mwl. Benson Lema azikwa kijijini kwao Nronga – Machame.
Mamia ya waombolezaji...
Mchungaji Matsahi wa KKKT Kimara amesema imemlazimu kuwapa adhabu Vijana wa Kanisani hapo kwa Sababu ya uzembe wa kutomaliza kazi licha ya kulipwa pesa zao zote
Matsahi amesema ingekuwa akiwapa...
Mto Ng' ombe ambao huanzia ubungo hadi bahari ya hindi kabla ya Rais Magufuli kulikua ma mafuriko yaliyo sababisha nyumba kuharibika na watu kupoteza maisha na mali.
Lakini kwa kazi ambayo Rais...
MUSOMA VIJIJINI - SHEREHE ZA MIAKA 47 YA KUZALIWA KWA CCM ZAFANA SANA
Sherehe za kuzaliwa kwa CCM zinafanyika sehemu mbalimbali ndani ya Jimbo la Musoma Vijijini.
Jumuiya zote za CCM...