johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,976
- 141,986
Aliyekuwa Mkuu wa wilaya ya Hai mkoani Kilimanjaro Lengai Ole Sabaya leo ametoa Sadaka ya Shukrani Kanisa la Eberneza la Mataifa Yote jijini Arusha huku akiwa amesindikizwa na Watu mashuhuri mbalimbali
Tuzidi kumuombea kwani safari ndio kaianza
Nawatakia Dominica njema 😄
Tuzidi kumuombea kwani safari ndio kaianza
Nawatakia Dominica njema 😄