Stephano Mgendanyi
JF-Expert Member
- May 16, 2020
- 1,898
- 942
MUSOMA VIJIJINI - SHEREHE ZA MIAKA 47 YA KUZALIWA KWA CCM ZAFANA SANA
Sherehe za kuzaliwa kwa CCM zinafanyika sehemu mbalimbali ndani ya Jimbo la Musoma Vijijini.
Jumuiya zote za CCM zimekamilisha sherehe zake. Chama kinaendelea kusherehekea kwenye ngazi za Kata.
Mbunge wa Jimbo, Prof Sospeter Muhongo anachangia ufanikishaji wa sherehe hizi.
Jana, Jumamosi, 3.2.2024 Sherehe hizo zimefanyika Kijijini Kakisheri, Kata ya Nyakatende.
Tafadhali sikiliza CLIP/VIDEO iliyoambatanishwa hapa - CCM na Serikali yake inapewa shukrani nyingi mno!
Ofisi ya Mbunge
Jimbo la Musoma Vijijini
www.musomavijijini.or.tz
Tarehe:
Jumapili, 4.2.2024