Rais Hussein Mwinyi tunakutaka utuletee Maendeleo Bara kama unavyofanya Zanzibar

Burkinabe

JF-Expert Member
Feb 12, 2023
1,892
3,196
Wakati Rais Hussein Mwinyi anaingia madaralani, uchumi wa Zanzibar ulikuwa kunakuwa kwa asilimia zisizozidi 5. Lakini ndani ya kipindi cha miaka 3 tu uchumi wa Zanzibar leo unakua kwa asilimia 6.8 huku wa bara ulikuwa unakua kwa asilimia 7 kabla ya kifo cha Rais Hayati JPM tena katikati ya janga la dunia Covid 19, lakini mwaka mmoja tu baadaye (baada ya kifo cha JPM), uchumi wetu ukadorora hadi kufikia asilimia 4!

Leo hii Zanzibar miradi imekuwa inaanzishwa na kukamilika tena kwa wakati na ubora wa hali ya juu tena kwa Gharama zile zile zilizowekwa. Lakini kwa upande wa bara tumekuwa tunapigwa tu kalenda (mfano SGR, JNHPP, JPM Bridge n.k)!

Mfumko wa bei kwa Zanzibar ni karibu asilimia 0, lakini kwa huku bara toka aondoke Rais aliyepewa dhamana na wengi, leo mfumko wa bei kila mmoja ni shuhuda! Na bahati nzuri wengi wetu (ukiondoa mafisadi na familia zao) tunapigika ipasavyo. Mfano nauli za daladala toka 300 hadi 600, nauli za mabasi ya mikoani kama vile Mwanza hadi Dsm kutoka elfu 60 hadi zaidi ya elfu 80, sukari toka 1,600 hadi 5,000 kwa kilo, mche wa sabuni toka 1,500 hadi 3,500! N.k.

Kwa hayo machache, naona kama Mtanzania mzalendo, ninayeipenda nchi yangu na raslimali zake zote ikiwemo watu, Rais Hussein Mwinyi atatufaa zaidi akija huku Bara. Mama tunampenda sawa, lakini amalizie tu hii miaka yake ya urithi aende zake akalee wajukuu zake huko Kizimkazi.
 
Tanzania tuko nyuma sana kwa mambo mengi, tunapaswa kupata viongozi wenye kasi hasa kwa mambo ya maendeleo ya nchi kwa ujumla. Kwa hili naona Mh. Rais Hussein Mwinyi, atatufaa sana.
 
Wakati Rais Hussein Mwinyi anaingia madaralani, uchumi wa Zanzibar ulikuwa kunakuwa kwa asilimia zisizozidi 5. Lakini ndani ya kipindi cha miaka 3 tu uchumi wa Zanzibar leo unakua kwa asilimia 6.8 huku wa bara ulikuwa unakua kwa asilimia 7 kabla ya kifo cha Rais Hayati JPM tena katika ya janga la dunia Covid 19, lakini mwaka mmoja tu baadaye, uchumi wetu ukadorora hadi kufikia asilimia 4!

Leo hii Zanzibar miradi imekuwa inaanzishwa na kukamilika tena kwa wakati na ubora wa hali ya juu tena kwa Gharama zile zile zilizowekwa. Lakini kwa upande wa bara tumekuwa tunapigwa tu kalenda (mfano SGR, JNHPP, JPM Bridge n.k)!

Mfumko wa bei kwa Zanzibar ni karibu asilimia 0, lakini kwa huku bara toka aondoke Rais aliyepewa dhamana na wengi, leo mfumko wa bei kila mmoja ni shuhuda! Na bahati nzuri wengi wetu (ukiondoa mafisadi na familia zao) tunapigika ipasavyo. Mfano nauli za daladala toka 300 hadi 600, nauli za mabasi ya mikoani kama vile Mwanza hadi Dsm kutoka elfu 60 hadi zaidi ya elfu 80, sukari toka 1,600 hadi 5,000 kwa kilo, mche wa sabuni toka 1,500 hadi 3,500! N.k.

Kwa hayo machache, naona kama Mtanzania mzalendo, ninayeipenda nchi yangu na raslimali zake zote ikiwemo watu, Rais Hussein Mwinyi atatufaa zaidi akija huku Bara. Mama tunampenda sawa, lakini amalizie tu hii miaka yake ya urithi azalea wajukuu.
Wewe hupendi kuwa Rais?
 
Nchi haiwezi kukuza uchumi kwa sababu ndio bado inajenga makao makuu baada ya miaka takribani 60.....
 
Wakati Rais Hussein Mwinyi anaingia madaralani, uchumi wa Zanzibar ulikuwa kunakuwa kwa asilimia zisizozidi 5. Lakini ndani ya kipindi cha miaka 3 tu uchumi wa Zanzibar leo unakua kwa asilimia 6.8 huku wa bara ulikuwa unakua kwa asilimia 7 kabla ya kifo cha Rais Hayati JPM tena katika ya janga la dunia Covid 19, lakini mwaka mmoja tu baadaye, uchumi wetu ukadorora hadi kufikia asilimia 4!

Leo hii Zanzibar miradi imekuwa inaanzishwa na kukamilika tena kwa wakati na ubora wa hali ya juu tena kwa Gharama zile zile zilizowekwa. Lakini kwa upande wa bara tumekuwa tunapigwa tu kalenda (mfano SGR, JNHPP, JPM Bridge n.k)!

Mfumko wa bei kwa Zanzibar ni karibu asilimia 0, lakini kwa huku bara toka aondoke Rais aliyepewa dhamana na wengi, leo mfumko wa bei kila mmoja ni shuhuda! Na bahati nzuri wengi wetu (ukiondoa mafisadi na familia zao) tunapigika ipasavyo. Mfano nauli za daladala toka 300 hadi 600, nauli za mabasi ya mikoani kama vile Mwanza hadi Dsm kutoka elfu 60 hadi zaidi ya elfu 80, sukari toka 1,600 hadi 5,000 kwa kilo, mche wa sabuni toka 1,500 hadi 3,500! N.k.

Kwa hayo machache, naona kama Mtanzania mzalendo, ninayeipenda nchi yangu na raslimali zake zote ikiwemo watu, Rais Hussein Mwinyi atatufaa zaidi akija huku Bara. Mama tunampenda sawa, lakini amalizie tu hii miaka yake ya urithi azalea wajukuu.
Usisahau, pesa ya bure ya "kumwaga" kutoka shamba la bibi (Tanganyika) ndo inatumika kufanikisha yote hayo kule Zenji.
 
Wakati Rais Hussein Mwinyi anaingia madaralani, uchumi wa Zanzibar ulikuwa kunakuwa kwa asilimia zisizozidi 5. Lakini ndani ya kipindi cha miaka 3 tu uchumi wa Zanzibar leo unakua kwa asilimia 6.8 huku wa bara ulikuwa unakua kwa asilimia 7 kabla ya kifo cha Rais Hayati JPM tena katika ya janga la dunia Covid 19, lakini mwaka mmoja tu baadaye, uchumi wetu ukadorora hadi kufikia asilimia 4!

Leo hii Zanzibar miradi imekuwa inaanzishwa na kukamilika tena kwa wakati na ubora wa hali ya juu tena kwa Gharama zile zile zilizowekwa. Lakini kwa upande wa bara tumekuwa tunapigwa tu kalenda (mfano SGR, JNHPP, JPM Bridge n.k)!

Mfumko wa bei kwa Zanzibar ni karibu asilimia 0, lakini kwa huku bara toka aondoke Rais aliyepewa dhamana na wengi, leo mfumko wa bei kila mmoja ni shuhuda! Na bahati nzuri wengi wetu (ukiondoa mafisadi na familia zao) tunapigika ipasavyo. Mfano nauli za daladala toka 300 hadi 600, nauli za mabasi ya mikoani kama vile Mwanza hadi Dsm kutoka elfu 60 hadi zaidi ya elfu 80, sukari toka 1,600 hadi 5,000 kwa kilo, mche wa sabuni toka 1,500 hadi 3,500! N.k.

Kwa hayo machache, naona kama Mtanzania mzalendo, ninayeipenda nchi yangu na raslimali zake zote ikiwemo watu, Rais Hussein Mwinyi atatufaa zaidi akija huku Bara. Mama tunampenda sawa, lakini amalizie tu hii miaka yake ya urithi azalea wajukuu.
Unatumia kigezo gani kupima kukua kwa uchumi wa ZNZ? Mbona hali ya umaskini bado iko vilevile kama ilivyokuwa wakati wa Dk Samin Amour?

Halafu je unajuwa kuwa Rais Samia anasukuma miradi mingi ZNZ kwa fedha za kutoka Serikali ya Muungano?
 
Wakati Rais Hussein Mwinyi anaingia madaralani, uchumi wa Zanzibar ulikuwa kunakuwa kwa asilimia zisizozidi 5. Lakini ndani ya kipindi cha miaka 3 tu uchumi wa Zanzibar leo unakua kwa asilimia 6.8 huku wa bara ulikuwa unakua kwa asilimia 7 kabla ya kifo cha Rais Hayati JPM tena katika ya janga la dunia Covid 19, lakini mwaka mmoja tu baadaye, uchumi wetu ukadorora hadi kufikia asilimia 4!

Leo hii Zanzibar miradi imekuwa inaanzishwa na kukamilika tena kwa wakati na ubora wa hali ya juu tena kwa Gharama zile zile zilizowekwa. Lakini kwa upande wa bara tumekuwa tunapigwa tu kalenda (mfano SGR, JNHPP, JPM Bridge n.k)!

Mfumko wa bei kwa Zanzibar ni karibu asilimia 0, lakini kwa huku bara toka aondoke Rais aliyepewa dhamana na wengi, leo mfumko wa bei kila mmoja ni shuhuda! Na bahati nzuri wengi wetu (ukiondoa mafisadi na familia zao) tunapigika ipasavyo. Mfano nauli za daladala toka 300 hadi 600, nauli za mabasi ya mikoani kama vile Mwanza hadi Dsm kutoka elfu 60 hadi zaidi ya elfu 80, sukari toka 1,600 hadi 5,000 kwa kilo, mche wa sabuni toka 1,500 hadi 3,500! N.k.

Kwa hayo machache, naona kama Mtanzania mzalendo, ninayeipenda nchi yangu na raslimali zake zote ikiwemo watu, Rais Hussein Mwinyi atatufaa zaidi akija huku Bara. Mama tunampenda sawa, lakini amalizie tu hii miaka yake ya urithi azalea wajukuu.
Nami nashauri kwa manufaa ya nchi hii pendwa...Rais Samia SH angempisha Rais Hussein AHM 2025 .....atupigie miaka 10....Msna amefanya kazi nzuri kutuvusha ila asiharibu akapata tamaa....hapana apumzike Abdul amkabidhi HAHM.....yeye abakie remote kake pale atspopenda...awe mshauriii.....kama anamasikio na asikie....na afanye hatajuta maishaniii
 
Haujiwezi hata kufikiri na kuongea?Gombea kwanza.Ukishindwa ndiyo uamini hayo.
Inshaalah nitafanya hivyo.
Tena nakuchagua wewe kuwa "campaign manager" wangu.
Au unasemaje Mkuu?
Lakini anyway, kwa sasa naona Mh. Rais Mwinyi atatufaa zaidi kuliko hata mimi mwenyewe. Maana haya masuala ya uongozi nacho kipaji Mkuu.
 
Mwinyi kunamtosha ZNZ tu alikowekwa na Magufuli. Huku Bara tutajipqnga wenyewe upya baada ya Samia. Tanzania siyo nchi ya KIFALME
Binafsi huwa sijali nasaba,elimu, jinsia, dini, kabila au Ukanda wa kiongozi, ninachojali ni uwezo wa kiongozi kuiletea nchi maendeleo kama alivyokuwa Rais Hayati JPM. Nchi ilikuwa inakwenda kwa kukimbia mchaka-mchaka hii na kila mmoja aliona
 
Wakati Rais Hussein Mwinyi anaingia madaralani, uchumi wa Zanzibar ulikuwa kunakuwa kwa asilimia zisizozidi 5. Lakini ndani ya kipindi cha miaka 3 tu uchumi wa Zanzibar leo unakua kwa asilimia 6.8 huku wa bara ulikuwa unakua kwa asilimia 7 kabla ya kifo cha Rais Hayati JPM tena katika ya janga la dunia Covid 19, lakini mwaka mmoja tu baadaye, uchumi wetu ukadorora hadi kufikia asilimia 4!

Leo hii Zanzibar miradi imekuwa inaanzishwa na kukamilika tena kwa wakati na ubora wa hali ya juu tena kwa Gharama zile zile zilizowekwa. Lakini kwa upande wa bara tumekuwa tunapigwa tu kalenda (mfano SGR, JNHPP, JPM Bridge n.k)!

Mfumko wa bei kwa Zanzibar ni karibu asilimia 0, lakini kwa huku bara toka aondoke Rais aliyepewa dhamana na wengi, leo mfumko wa bei kila mmoja ni shuhuda! Na bahati nzuri wengi wetu (ukiondoa mafisadi na familia zao) tunapigika ipasavyo. Mfano nauli za daladala toka 300 hadi 600, nauli za mabasi ya mikoani kama vile Mwanza hadi Dsm kutoka elfu 60 hadi zaidi ya elfu 80, sukari toka 1,600 hadi 5,000 kwa kilo, mche wa sabuni toka 1,500 hadi 3,500! N.k.

Kwa hayo machache, naona kama Mtanzania mzalendo, ninayeipenda nchi yangu na raslimali zake zote ikiwemo watu, Rais Hussein Mwinyi atatufaa zaidi akija huku Bara. Mama tunampenda sawa, lakini amalizie tu hii miaka yake ya urithi azalea wajukuu.
🚮🚮 Mwendazake alianzisha na kukamilisha miradi gani Kwa wakati?

Pili tuoneshe figures za mfumuko wa bei huko Zanzibar tuthibotishe.

Mwisho kwani Bara Kuna mfumuko wa bei upi?

Hater wa Samia acha kutapatapa wewe ,Samia amefunika ligacy zote yaani Kwa miaka 3 ni game changer
 
Wakati Rais Hussein Mwinyi anaingia madaralani, uchumi wa Zanzibar ulikuwa kunakuwa kwa asilimia zisizozidi 5. Lakini ndani ya kipindi cha miaka 3 tu uchumi wa Zanzibar leo unakua kwa asilimia 6.8 huku wa bara ulikuwa unakua kwa asilimia 7 kabla ya kifo cha Rais Hayati JPM tena katika ya janga la dunia Covid 19, lakini mwaka mmoja tu baadaye, uchumi wetu ukadorora hadi kufikia asilimia 4!

Leo hii Zanzibar miradi imekuwa inaanzishwa na kukamilika tena kwa wakati na ubora wa hali ya juu tena kwa Gharama zile zile zilizowekwa. Lakini kwa upande wa bara tumekuwa tunapigwa tu kalenda (mfano SGR, JNHPP, JPM Bridge n.k)!

Mfumko wa bei kwa Zanzibar ni karibu asilimia 0, lakini kwa huku bara toka aondoke Rais aliyepewa dhamana na wengi, leo mfumko wa bei kila mmoja ni shuhuda! Na bahati nzuri wengi wetu (ukiondoa mafisadi na familia zao) tunapigika ipasavyo. Mfano nauli za daladala toka 300 hadi 600, nauli za mabasi ya mikoani kama vile Mwanza hadi Dsm kutoka elfu 60 hadi zaidi ya elfu 80, sukari toka 1,600 hadi 5,000 kwa kilo, mche wa sabuni toka 1,500 hadi 3,500! N.k.

Kwa hayo machache, naona kama Mtanzania mzalendo, ninayeipenda nchi yangu na raslimali zake zote ikiwemo watu, Rais Hussein Mwinyi atatufaa zaidi akija huku Bara. Mama tunampenda sawa, lakini amalizie tu hii miaka yake ya urithi azalea wajukuu.
Kwa hayo machache, naona kama Mtanzania mzalendo, ninayeipenda nchi yangu na raslimali zake zote ikiwemo watu, Rais Hussein Mwinyi atatufaa zaidi akija huku Bara. Mama tunampenda sawa, lakini amalizie tu hii miaka yake ya urithi azalea wajukuu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tanzania tuko nyuma sana kwa mambo mengi, tunapaswa kupata viongozi wenye kasi hasa kwa mambo ya maendeleo ya nchi kwa ujumla. Kwa hili naona Mh. Rais Hussein Mwinyi, atatufaa sana.
Mwinyi sio mjamaa mbuzi ni Rais wa reforms kama Samia ,kuanzia ubinafsishaji Hadi Demokrasia.

Bara kumejaa mbumbumbu kama wewe ambao mtu akiwa na Mali mnaumia roho.

Mwinyi alisema leta pesa kokote yeye haulizi zilikotoka,sasa thubutu kufanya hivyo ukutane na matakataka ya Bara
 
Mwendazake alianzisha na kukamilisha miradi gani Kwa wakati?

Pili tuoneshe figures za mfumuko wa bei huko Zanzibar tuthibotishe.

Mwisho kwani Bara Kuna mfumuko wa bei upi?

Hater wa Samia acha kutapatapa wewe ,Samia amefunika ligacy zote yaani Kwa miaka 3 ni game changer
Ndugu wanapogombana...chukua jembe ukalime.. Wakipatana chukua kapu ukavune!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wakati Rais Hussein Mwinyi anaingia madaralani, uchumi wa Zanzibar ulikuwa kunakuwa kwa asilimia zisizozidi 5. Lakini ndani ya kipindi cha miaka 3 tu uchumi wa Zanzibar leo unakua kwa asilimia 6.8 huku wa bara ulikuwa unakua kwa asilimia 7 kabla ya kifo cha Rais Hayati JPM tena katika ya janga la dunia Covid 19, lakini mwaka mmoja tu baadaye, uchumi wetu ukadorora hadi kufikia asilimia 4!

Leo hii Zanzibar miradi imekuwa inaanzishwa na kukamilika tena kwa wakati na ubora wa hali ya juu tena kwa Gharama zile zile zilizowekwa. Lakini kwa upande wa bara tumekuwa tunapigwa tu kalenda (mfano SGR, JNHPP, JPM Bridge n.k)!

Mfumko wa bei kwa Zanzibar ni karibu asilimia 0, lakini kwa huku bara toka aondoke Rais aliyepewa dhamana na wengi, leo mfumko wa bei kila mmoja ni shuhuda! Na bahati nzuri wengi wetu (ukiondoa mafisadi na familia zao) tunapigika ipasavyo. Mfano nauli za daladala toka 300 hadi 600, nauli za mabasi ya mikoani kama vile Mwanza hadi Dsm kutoka elfu 60 hadi zaidi ya elfu 80, sukari toka 1,600 hadi 5,000 kwa kilo, mche wa sabuni toka 1,500 hadi 3,500! N.k.

Kwa hayo machache, naona kama Mtanzania mzalendo, ninayeipenda nchi yangu na raslimali zake zote ikiwemo watu, Rais Hussein Mwinyi atatufaa zaidi akija huku Bara. Mama tunampenda sawa, lakini amalizie tu hii miaka yake ya urithi azalea wajukuu.
Miradi ya Zanzibar sifa ziende kwa samia maana ndio anayemrushia mwinyi deals so unajua nyumbani ni nyumbani

USSR

Sent from my Infinix X6511G using JamiiForums mobile app
 
Binafsi huwa sijali nasaba,elimu, jinsia, dini, kabila au Ukanda wa kiongozi, ninachojali ni uwezo wa kiongozi kuiletea nchi maendeleo kama alivyokuwa Rais Hayati JPM. Nchi ilikuwa inakwenda kwa kukimbia mchaka-mchaka hii na kila mmoja aliona
JPM alifanya kitu gani ambacho nchi ilipuga hatua? Isijekuwa na wewe ulikariri wimbo wa "dona kantri"?
 
JPM alifanya kitu gani ambacho nchi ilipuga hatua? Isijekuwa na wewe ulikariri wimbo wa "dona kantri"?
Siwezi kukulazimisha kuona kama mimi nilivyoona Mkuu.
Lakini nina imani kwa kila Mtanzania mwenye akili timamu atakiri wazi ya kuwa mwamba alifanya kazi ukiachilia mbali mapungufu yake madogo madogo (ambayo hata hivyo hayakuwa na madhara kwa wanyonge, isipokuwa kwa mafisadi na mafisi wa raslimali za nchi hii na familia zao). Miradi kama JNHPP, SGR, serikali kuhamia Dodoma, Daraja la JPM-Busisi, Salendar Bridge, JNIA Terminal 3, Flyovers, Ubungo Interchange (Kijazi Interchange) n.k.
Yote hiyo ilikuwa ni miradi ya kizalendo na yenye kuhitaji kujitoa kafara kuianzisha.
Kingine, hata wewe utakiri kwamba matatizo ya TANESCO na katakata ya umeme yalipungua sana wakati wake.
 
Back
Top Bottom