Wakazi wa mto Ng'ombe wamkumbuka Hayati Rais Magufuli

Tabutupu

JF-Expert Member
Nov 26, 2010
13,111
18,327
Mto Ng' ombe ambao huanzia ubungo hadi bahari ya hindi kabla ya Rais Magufuli kulikua ma mafuriko yaliyo sababisha nyumba kuharibika na watu kupoteza maisha na mali.

Lakini kwa kazi ambayo Rais Magufuli aliisimamia kuhakikisha mto ngombe unajengwa, mitaa hiyo imekua ni moja ya sehemu salama.

Wamesema hayo katika kikao cha wakazi wa mto ngombe kilicho fanyika leo sinza kwa mama salma.

Wamemwombea hayati magufuli kwa mola.

Mungu iweke pema Roho ya Hayati Magufuli
 
Mto Ng' ombe ambao huanzia ubungo hadi bahari ya hindi kabla ya Rais Magufuli kulikua ma mafuriko yaliyo sababisha nyumba kuharibika na watu kupoteza maisha na mali.

Lakini kwa kazi ambayo Rais Magufuli aliisimamia kuhakikisha mto ngombe unajengwa, mitaa hiyo imekua ni moja ya sehemu salama.

Wamesema hayo katika kikao cha wakazi wa mto ngombe kilicho fanyika leo sinza kwa mama salma.

Wamemwombea hayati magufuli kwa mola.

Mungu iweke pema Roho ya Hayati Magufuli
Wakati wake pale jangwani na mto Msimbazi hakukuwa na mafuriko?
 
Na ujanja wote humu JF unakaa mto ngombe, jina limeakisi yanayokukuta
 
wakazi wa  ja ngwani wanamlaani jiwe kwa kuwabomolewa nyumba zao bila kujenga barabara wala daraja
 
Mto Ng' ombe ambao huanzia ubungo hadi bahari ya hindi kabla ya Rais Magufuli kulikua ma mafuriko yaliyo sababisha nyumba kuharibika na watu kupoteza maisha na mali.

Lakini kwa kazi ambayo Rais Magufuli aliisimamia kuhakikisha mto ngombe unajengwa, mitaa hiyo imekua ni moja ya sehemu salama.

Wamesema hayo katika kikao cha wakazi wa mto ngombe kilicho fanyika leo sinza kwa mama salma.

Wamemwombea hayati magufuli kwa mola.

Mungu iweke pema Roho ya Hayati Magufuli
Huo ni mradi wa benki ya dunia Magufuli haihusiki, acheni ujunga
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom