Kama mnavyojua mchakato wa katiba mpya ulianza mwaka 2010/11 na ukafikia kikomo mwaka 2014, leo naomba kujifunza na kujuzwa.
1. Nani alisababisha katiba mpya isipatikane?
2. Nini kilisababisha katiba mpya isipatikane?
3. Hasara gani tumezipata kama taifa baada ya kupoteza nafasi ile ya kupata katiba MPYA?
4. Je inawezekana tukapata katiba mpya kabla ya mwaka 2027?
1. Nani alisababisha katiba mpya isipatikane?
2. Nini kilisababisha katiba mpya isipatikane?
3. Hasara gani tumezipata kama taifa baada ya kupoteza nafasi ile ya kupata katiba MPYA?
4. Je inawezekana tukapata katiba mpya kabla ya mwaka 2027?