Ni wajinga wanaoamini Makonda ni bosi wa mawaziri, wakuu wa mikoa na Ma-DC. Yeye ni mteule kama wengine

sifi leo

JF-Expert Member
Mar 30, 2012
5,013
8,369
Ni utawala wa Magufuli ulimfanya Hamphrey Polepole ampigie simu Mama yangu wa Kambo aliyekuwa Katibu Tawala Mkoa wa Tanga enzi enzo ilikuwa majira ya saa tano Kasoro.

Nakumbuka Mama yangu wa kambo alikuwa ni mke wa nne Baba yangu. Nakumbuka siku hiyo nami nilikuwa kwa mama wa kambo

Nikiwa sebuleni nikiangalia kipindi alichokuwa ameakisisi ndugu Polepole nilimwona akipiga simu kwa Mama wa Kambo alimtaka Atoe ufafanuzi dhidi ya jambo fulani.

Siku hiyo ndo niliona ushujaaa wa Mama wa kambo,maana alitoka chumbani aliko kuwa faragha na mzee na kuja sebuleni kupokea simu.

Baada ya mahojiano majibu aliyomjibu polepole ni kuwa yeye kama katubu tawala mkoa ni mtumishi wa umma na utumishi una muda wa kuingia kazini na kutoka kazini muda ule alio pigiwa simu haukuwa muda wa kazi.

Pamoja ya kuwa uchaguzi ulioiweka CCM madarakni ulygubikwa na ngiriba bado ccm wana utaratibu wa kila mmoja alipoti kwa nani na lini.

Mkuu wa wilaya ni mteule wa raisi anaripoti kwa mkuu wa mkoa ambae nae ni mteule w Rais.

Waziri anaripoti kwa waziri mkuu ambae nae ni mteule wa rais.

Iweje katibu mwenezi na mafunzo anae takiwa kuripti kws katibu mkuu ambae nae ni mteule wa Rais awe boss wa baraza la mawaziri?

Chama kirudishiwe misingi yake ya utawala sa sheria ondoeni vitisho

Bashite na elimu yake ya mchongo hawezi kuwa boss wa watu wenye elimu zao bhana.
 
Ni utawala wa Magufuli ulimfanya Hamphrey polepole ampigie simu Mama yangu wa Kambo aliyekuwa Katibu Tawala Mkoa wa Tanga enzi enzo ilikuwa majira ya saa tano Kasoro.

Nakumbuka Mama yangu wa kambo alikuwa ni mke wa nne Baba yangu na siku hiyo ilikuwa zamu yake kutembelewa na Baba kwa ajili ya kupewa haki yake ya ndoa.

Nakumbuka siku hiyo nami nilikuwa kwa mama wa kambo

Nikiwa sebuleni nikiangalia kipindi alichokuwa ameakisisi ndugu Polepole nilimwona akipiga simu kwa Mama wa Kambo alimtaka Atoe ufafanuzi dhidi.ya jambo fulani.

Siku hiyo ndo niliona ushujaaa wa Mama wa kambo,maana alitoka chumbani aliko kuwa faragha na mzee na kuja sebuleni kupokea simu.

Baada ya mahojiano majibu aliyomjibu polepole ni kuwa yeye kama katubu tawala mkoa ni mtumishi wa umma na utumishi una muda wa kuingia kazini na kutoka kazini muda ule alio pigiwa simu haukuwa muda wa kazi.

Pamoja ya kuwa uchaguzi ulio iweka ccm madarakni ulygubikwa na ngiriba bado ccm wana utaratibu wa kila mmoja alipoti kwa nani na lini.

Mkuu wa wilaya ni mteule wa raisi anaripoti kwa mkuu wa mkoa ambae nae ni mteule w Rais.

Waziri anaripoti kwa waziri mkuu ambae nae ni mteule wa raisi

Iweje katibu mwenezi na mafunzo anae takiwa kuripti kws katibu mkuu ambae nae ni mteule wa Rais awe boss wa baraza la mawaziri?

Chama kirudishiwe misingi yake ya utawala sa sheria ondoeni vitisho

Bashite na elimu yake ya mchongo hawezi kuwa boss wa watu wenye elimu zao bhana.

Na mtanyooshwa washenzi nyie
 
Mtoa hoja sijui unakwama wapi, hii ni serikali iliyoundwa na chama cha siasa cha ccm, means ccm ndio wenye serikali, hao wote uliowasema hapo juu ni cadres wa ccm ambao wameku deployed huko, centre of power ya serikali hii ipo Lumumba street na sio magogoni!!,PM anaweza kuitwa pale Lumumba na akaenda, huu ndio ukweli mchungu
 
Ni utawala wa Magufuli ulimfanya Hamphrey Polepole ampigie simu Mama yangu wa Kambo aliyekuwa Katibu Tawala Mkoa wa Tanga enzi enzo ilikuwa majira ya saa tano Kasoro.

Nakumbuka Mama yangu wa kambo alikuwa ni mke wa nne Baba yangu. Nakumbuka siku hiyo nami nilikuwa kwa mama wa kambo

Nikiwa sebuleni nikiangalia kipindi alichokuwa ameakisisi ndugu Polepole nilimwona akipiga simu kwa Mama wa Kambo alimtaka Atoe ufafanuzi dhidi ya jambo fulani.

Siku hiyo ndo niliona ushujaaa wa Mama wa kambo,maana alitoka chumbani aliko kuwa faragha na mzee na kuja sebuleni kupokea simu.

Baada ya mahojiano majibu aliyomjibu polepole ni kuwa yeye kama katubu tawala mkoa ni mtumishi wa umma na utumishi una muda wa kuingia kazini na kutoka kazini muda ule alio pigiwa simu haukuwa muda wa kazi.

Pamoja ya kuwa uchaguzi ulioiweka CCM madarakni ulygubikwa na ngiriba bado ccm wana utaratibu wa kila mmoja alipoti kwa nani na lini.

Mkuu wa wilaya ni mteule wa raisi anaripoti kwa mkuu wa mkoa ambae nae ni mteule w Rais.

Waziri anaripoti kwa waziri mkuu ambae nae ni mteule wa rais.

Iweje katibu mwenezi na mafunzo anae takiwa kuripti kws katibu mkuu ambae nae ni mteule wa Rais awe boss wa baraza la mawaziri?

Chama kirudishiwe misingi yake ya utawala sa sheria ondoeni vitisho

Bashite na elimu yake ya mchongo hawezi kuwa boss wa watu wenye elimu zao bhana.
Mama yako wa kambo ana vitabia vya FaizaFoxy
 
Ni utawala wa Magufuli ulimfanya Hamphrey Polepole ampigie simu Mama yangu wa Kambo aliyekuwa Katibu Tawala Mkoa wa Tanga enzi enzo ilikuwa majira ya saa tano Kasoro.

Nakumbuka Mama yangu wa kambo alikuwa ni mke wa nne Baba yangu. Nakumbuka siku hiyo nami nilikuwa kwa mama wa kambo

Nikiwa sebuleni nikiangalia kipindi alichokuwa ameakisisi ndugu Polepole nilimwona akipiga simu kwa Mama wa Kambo alimtaka Atoe ufafanuzi dhidi ya jambo fulani.

Siku hiyo ndo niliona ushujaaa wa Mama wa kambo,maana alitoka chumbani aliko kuwa faragha na mzee na kuja sebuleni kupokea simu.

Baada ya mahojiano majibu aliyomjibu polepole ni kuwa yeye kama katubu tawala mkoa ni mtumishi wa umma na utumishi una muda wa kuingia kazini na kutoka kazini muda ule alio pigiwa simu haukuwa muda wa kazi.

Pamoja ya kuwa uchaguzi ulioiweka CCM madarakni ulygubikwa na ngiriba bado ccm wana utaratibu wa kila mmoja alipoti kwa nani na lini.

Mkuu wa wilaya ni mteule wa raisi anaripoti kwa mkuu wa mkoa ambae nae ni mteule w Rais.

Waziri anaripoti kwa waziri mkuu ambae nae ni mteule wa rais.

Iweje katibu mwenezi na mafunzo anae takiwa kuripti kws katibu mkuu ambae nae ni mteule wa Rais awe boss wa baraza la mawaziri?

Chama kirudishiwe misingi yake ya utawala sa sheria ondoeni vitisho

Bashite na elimu yake ya mchongo hawezi kuwa boss wa watu wenye elimu zao bhana.
Umekosa adabu kumwita Mama wa kambo Mke wa Baba yako eti kisa tu hakukuzaa.
Mpe heshima yake mwite Mama Mdogo
 
Mtoa hoja sijui unakwama wapi, hii ni serikali iliyoundwa na chama cha siasa cha ccm, means ccm ndio wenye serikali, hao wote uliowasema hapo juu ni cadres wa ccm ambao wameku deployed huko, centre of power ya serikali hii ipo Lumumba street na sio magogoni!!,PM anaweza kuitwa pale Lumumba na akaenda, huu ndio ukweli mchungu
Na hapa ndipo wengi mnapokwama na kuendelea kujiaminisha mambo ya ajabu. Hapa labda uniambie umeongea kimtaani mtaani ndio nitakuelewa.
 
Ni utawala wa Magufuli ulimfanya Hamphrey Polepole ampigie simu Mama yangu wa Kambo aliyekuwa Katibu Tawala Mkoa wa Tanga enzi enzo ilikuwa majira ya saa tano Kasoro.

Nakumbuka Mama yangu wa kambo alikuwa ni mke wa nne Baba yangu. Nakumbuka siku hiyo nami nilikuwa kwa mama wa kambo

Nikiwa sebuleni nikiangalia kipindi alichokuwa ameakisisi ndugu Polepole nilimwona akipiga simu kwa Mama wa Kambo alimtaka Atoe ufafanuzi dhidi ya jambo fulani.

Siku hiyo ndo niliona ushujaaa wa Mama wa kambo,maana alitoka chumbani aliko kuwa faragha na mzee na kuja sebuleni kupokea simu.

Baada ya mahojiano majibu aliyomjibu polepole ni kuwa yeye kama katubu tawala mkoa ni mtumishi wa umma na utumishi una muda wa kuingia kazini na kutoka kazini muda ule alio pigiwa simu haukuwa muda wa kazi.

Pamoja ya kuwa uchaguzi ulioiweka CCM madarakni ulygubikwa na ngiriba bado ccm wana utaratibu wa kila mmoja alipoti kwa nani na lini.

Mkuu wa wilaya ni mteule wa raisi anaripoti kwa mkuu wa mkoa ambae nae ni mteule w Rais.

Waziri anaripoti kwa waziri mkuu ambae nae ni mteule wa rais.

Iweje katibu mwenezi na mafunzo anae takiwa kuripti kws katibu mkuu ambae nae ni mteule wa Rais awe boss wa baraza la mawaziri?

Chama kirudishiwe misingi yake ya utawala sa sheria ondoeni vitisho

Bashite na elimu yake ya mchongo hawezi kuwa boss wa watu wenye elimu zao bhana.
Lakini anafanya kazi nzuri iliyowashinda hao wateule.

Ukiwauliza watu wanampongeza Bashite kuliko nyie wenye vyeti maana hamna Msaada kwao zaidi ya kuwatesa.
 
Ni utawala wa Magufuli ulimfanya Hamphrey Polepole ampigie simu Mama yangu wa Kambo aliyekuwa Katibu Tawala Mkoa wa Tanga enzi enzo ilikuwa majira ya saa tano Kasoro.

Nakumbuka Mama yangu wa kambo alikuwa ni mke wa nne Baba yangu. Nakumbuka siku hiyo nami nilikuwa kwa mama wa kambo

Nikiwa sebuleni nikiangalia kipindi alichokuwa ameakisisi ndugu Polepole nilimwona akipiga simu kwa Mama wa Kambo alimtaka Atoe ufafanuzi dhidi ya jambo fulani.

Siku hiyo ndo niliona ushujaaa wa Mama wa kambo,maana alitoka chumbani aliko kuwa faragha na mzee na kuja sebuleni kupokea simu.

Baada ya mahojiano majibu aliyomjibu polepole ni kuwa yeye kama katubu tawala mkoa ni mtumishi wa umma na utumishi una muda wa kuingia kazini na kutoka kazini muda ule alio pigiwa simu haukuwa muda wa kazi.

Pamoja ya kuwa uchaguzi ulioiweka CCM madarakni ulygubikwa na ngiriba bado ccm wana utaratibu wa kila mmoja alipoti kwa nani na lini.

Mkuu wa wilaya ni mteule wa raisi anaripoti kwa mkuu wa mkoa ambae nae ni mteule w Rais.

Waziri anaripoti kwa waziri mkuu ambae nae ni mteule wa rais.

Iweje katibu mwenezi na mafunzo anae takiwa kuripti kws katibu mkuu ambae nae ni mteule wa Rais awe boss wa baraza la mawaziri?

Chama kirudishiwe misingi yake ya utawala sa sheria ondoeni vitisho

Bashite na elimu yake ya mchongo hawezi kuwa boss wa watu wenye elimu zao bhana.
We utakua mtoto wa jeikei
 
Mtoa hoja sijui unakwama wapi, hii ni serikali iliyoundwa na chama cha siasa cha ccm, means ccm ndio wenye serikali, hao wote uliowasema hapo juu ni cadres wa ccm ambao wameku deployed huko, centre of power ya serikali hii ipo Lumumba street na sio magogoni!!,PM anaweza kuitwa pale Lumumba na akaenda, huu ndio ukweli mchungu
Kwa akili kama hizi bongo tuna safari ndefu
 
Back
Top Bottom