Hivi unapata wapi nafasi ya kuipenda na kuitetea Serikali ya Wahuni, viongozi wake wabinafsi, watu wenye roho mbaya, watumishi wala rushwa, hii nchi inakoendea vikundi vya waasi vitajitengeneza kutokana na ugumu wa maisha.
Ajira za kujuana hata kama una vigezo hupati. Mfano kuna jamaa baba yake ni RPC katika mkoa flani, alipata division four hakwenda JKT ila yupo JWTZ na alingia mwezi wa mwisho JWTZ na anajisifia.
Matokeo yake jeshi Letu limekuwa dhaifu mfano Kongo na Sudan wanajeshi wanakufa sana kutoka Tanzania hawasemi, Ajira si kama hakuna ila Kupata kazi kama hauna ndugu basi utoe rushwa.
Tanzania Tuchange
Ajira za kujuana hata kama una vigezo hupati. Mfano kuna jamaa baba yake ni RPC katika mkoa flani, alipata division four hakwenda JKT ila yupo JWTZ na alingia mwezi wa mwisho JWTZ na anajisifia.
Matokeo yake jeshi Letu limekuwa dhaifu mfano Kongo na Sudan wanajeshi wanakufa sana kutoka Tanzania hawasemi, Ajira si kama hakuna ila Kupata kazi kama hauna ndugu basi utoe rushwa.
Tanzania Tuchange