Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Mbombo ngafu, hii imekaaje? CHADEMA hawawatambui Halima Mdee na wenzake, lakini wanaenda kwenye kamati ya Bunge la akina Mdee kutoa maoni yao kuhusu sheria za uchaguzi, na wanatarajia hao hao...
2 Reactions
14 Replies
1K Views
Habari Wakuu, baada ya Bodi ya Sukari Nchini kutangaza bei elekezi ya Sukari, kuwa 2,700 hadi 3,200, kwa Kilogramu 1, siku 6 baadaye bado Wananchi wana sintofahamu nyingi sana Mimi binafsi nina...
0 Reactions
10 Replies
1K Views
Kitendo cha kuwazuia Chadema kuandamana hapa Dar es salaam ni Kuwapa umaarufu wasiokuwa nao Waachwe Waandamane mtakuja kunishukuru baadae Maandamano pekee walivyofanya Chadema ni ya kumsindikiza...
6 Reactions
33 Replies
2K Views
Hii tabia ya kuongea kisukuma akiwa mikoa ya wasukuma ni hatari, ni kueneza ukabila. Kwani watanzania wengine hawana lugha yao? Kwanini wasikitumie? Samia unatengeneza bomu. Hilo jamaa halifai...
5 Reactions
53 Replies
3K Views
Katika kipindi cha maswali na majibu, wakati maswali yakielekezwa kwa Naibu Waziri, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Ndg. Deogratius Ndejembi, wabunge wote...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Siku moja baada ya kusomwa kwa muswada unaokwenda kutunga sheria mpya itakayoanzisha Tume ya Taifa ya Uchaguzi itakayojitegemea, Vyama vya siasa vimesema ni ishara nzuri ya kuelekea kuwa na...
0 Reactions
40 Replies
5K Views
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan akizindua Vizimba na kugawa Boti za Kisasa - Eneo la Bismarck Rock mkoani Mwanza, leo tarehe 30 Januari, 2024 katika ziara ya kikazi ya...
2 Reactions
14 Replies
3K Views
Fuatilia yanayojiri kwenye Bunge la 12, Mkutano wa 14, Kikao cha 2, leo Januari 31, 2024. https://www.youtube.com/live/aKnZBQWXD_o?si=nsUmxYJmKTyrVV5i "Mchango wangu unajielekeza katika Muswada...
0 Reactions
0 Replies
995 Views
Watumishi wanauza vifaa tiba vya hospitali , zahanati nyingi zimegeuka magofu, tunaombwa rushwa kila kona ndiyo upate huduma. Timu Magufuli pamoja na mapungufu yao ya kibinadamu, lakini ndiwo...
3 Reactions
16 Replies
1K Views
Naibu Waziri wa Ujenzi anesema Serikali itajenga Mifereji ya Maji kutoka Boko Basihaya na Tegeta hadi mto Tegeta na Maji ya mvua kupelekwa Baharini Ahadi ya Serikali imefuatia ombi la mbunge wa...
3 Reactions
13 Replies
1K Views
Wakala wa Barabara nchini ( TANROADS) mkoa wa Tabora imeanza zoezi la kuondosha kwa kufyeka mazao yote ambayo yamelimwa na wakulima katika hifadhi za barabara. Zoezi hilo utekelezaji wake umeanza...
1 Reactions
43 Replies
3K Views
Katika Historia ya TANZANIA Kuna huu UHALIFU MKUBWA umetokea lakini mpaka Leo JESHI la POLISI limeshindwa KUWAKAMATA WAHUSIKA. Uhalifu huo ni: 1. Kutekwa kwa Mfanyabiashara MO DEWJI 2. Kupigwa...
10 Reactions
76 Replies
4K Views
Bodaboda mkoani Mwanza wamemzawadia Rais Samia Suluhu ng’ombe ikiwa ni shukurani zao kwa juhudi kubwa anazofanya. 📹 SwahiliTimes
3 Reactions
32 Replies
2K Views
Wadau nawasalimu. Nchi yetu ilipitia matukio makubwa ya kihalifu miaka kadhaa hapo nyuma. Kupitia jeshi la polisi uchunguzi wa uhalifu huo mpaka sasa wahalifu hawajapatikana wala kukamatwa.Uhalifu...
2 Reactions
19 Replies
2K Views
Vijana wengi wa mjini wanamuita mtoto wa mjini maana kwenye medani za siasa mnaweza kucheka naye akikulia timing unakwisha habari yako. Huyu kiongozi kiujumla Hana makuu kabisa ila makuu yake...
15 Reactions
92 Replies
26K Views
Ilikuwa hivi miaka ya 80 + tukiwa primary school tunakimbizwa mchakamchaka huku wengi wetu tukiwa peku huku tukiimbishwa manyimbo ya kuisifia CCM na kuwaponda wote waliotofautiana na 'fikra sahihi...
44 Reactions
202 Replies
10K Views
Chama Cha Mapinduzi kimeanza kugawa Ilani yake mpya na sasa kimefikia ngazi ya chini kabisa ya matawi toka juu. Haikufahamika mapema kama wadau wengine wa chaguzi vikiwemo vyama vya siasa navyo...
1 Reactions
6 Replies
594 Views
Akiwa Simiyu amesema kuna watu walipika majungu kwa muda mrefu kwamba "wale" ni wabaya lakini hawakuweza hata kufanya kazi walipopewa nafasi hali iliyopelekea yeye aitwe kukaa hapo. Amesema sasa...
2 Reactions
15 Replies
2K Views
Mbunge wa jimbo la Kiteto ambaye pia ni Mjumbe wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Utawala, Katiba na Sheria Edward Olelekaita amesema Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania haikubainisha Tume ya...
0 Reactions
0 Replies
691 Views
Ndugu zangu Watanzania, Rasmi sasa Mheshimiwa Rais wetu mpendwa Mheshimiwa Dkt Mama Samia Suluhu Hasssan ametimiza umri wa miaka 64 kutokana na kuwa alizaliwa siku ya jumatano ya tarehe 27...
7 Reactions
26 Replies
2K Views
Back
Top Bottom