Filosofia ya Rorya
JF-Expert Member
- Sep 20, 2021
- 3,214
- 3,587
Chama Cha Mapinduzi kimeanza kugawa Ilani yake mpya na sasa kimefikia ngazi ya chini kabisa ya matawi toka juu.
Haikufahamika mapema kama wadau wengine wa chaguzi vikiwemo vyama vya siasa navyo japo vimekwishaandaa Ilani zao au la.
MNEC mmoja wa CCM alikaririwa akisema "CCM kina utaratibu wa kuanza mchakato wa uchaguzi mpya mara tu serikali mpya inapoapishwa kuanza kazi" kwamba hakisubiri hadi mwaka wa uchaguzi uwadie, kwamba kwa CCM kila mwaka ni mwaka wa uchaguzi.
Binafsi nadhani yapo ya kujifunza kwa CCM 100% na yapo ya kulaani 100% pia, ili kutengeneza mustakabali mzuri wa ustawi na ushamiri wa shughuli za kisiasa nchini.
Tupiganie uzingativu wa tunu za taifa majira haya ili tuwe na amani na utangamano katika vipindi hivi vya mpito kwa taifa vya 2024 na 2025. Nahitimisha kwa kaulimbiu hizi:-
Kidumu Chama Cha Mapinduzi.
Muungano wa Watu Siyo wa Serikali.
Haki Sawa Kwa Wote.
Peoples Power.
Haikufahamika mapema kama wadau wengine wa chaguzi vikiwemo vyama vya siasa navyo japo vimekwishaandaa Ilani zao au la.
MNEC mmoja wa CCM alikaririwa akisema "CCM kina utaratibu wa kuanza mchakato wa uchaguzi mpya mara tu serikali mpya inapoapishwa kuanza kazi" kwamba hakisubiri hadi mwaka wa uchaguzi uwadie, kwamba kwa CCM kila mwaka ni mwaka wa uchaguzi.
Binafsi nadhani yapo ya kujifunza kwa CCM 100% na yapo ya kulaani 100% pia, ili kutengeneza mustakabali mzuri wa ustawi na ushamiri wa shughuli za kisiasa nchini.
Tupiganie uzingativu wa tunu za taifa majira haya ili tuwe na amani na utangamano katika vipindi hivi vya mpito kwa taifa vya 2024 na 2025. Nahitimisha kwa kaulimbiu hizi:-
Kidumu Chama Cha Mapinduzi.
Muungano wa Watu Siyo wa Serikali.
Haki Sawa Kwa Wote.
Peoples Power.