johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,036
- 142,113
Naibu Waziri wa Ujenzi anesema Serikali itajenga Mifereji ya Maji kutoka Boko Basihaya na Tegeta hadi mto Tegeta na Maji ya mvua kupelekwa Baharini
Ahadi ya Serikali imefuatia ombi la mbunge wa Kawe askofu Dr Gwajima kwa mkuu wa mkoa wa DSM mh Chalamila
Source: TBC
Ahadi ya Serikali imefuatia ombi la mbunge wa Kawe askofu Dr Gwajima kwa mkuu wa mkoa wa DSM mh Chalamila
Source: TBC