RWANDES
JF-Expert Member
- Jun 12, 2019
- 1,615
- 3,909
Vijana wengi wa mjini wanamuita mtoto wa mjini maana kwenye medani za siasa mnaweza kucheka naye akikulia timing unakwisha habari yako.
Huyu kiongozi kiujumla Hana makuu kabisa ila makuu yake machache nikutotaka kustaafu mbinu anazotumia zinalidumaza taifa katika mambo mbalimbali ya kimaendeleo na hii ni kutokana kwamba vijana aliowatengeneza kuwa viongozi kushindwa kuwajibika na kuwa wazalendo wa taifa lao! vijana wamekuwa walafi wa madaraka majungu fitina kuliko kufanya kazi! Wengi wao wanatuhumiwa kwa kashifa mbalimbali za matumiz mabaya ya ofisi na WIZI WA fedha za umma.
Mzee upo msemo unasema huwezi kuwazuia walimwengu kusema ila kama ni kweli bado kuna mambo unayasuka ndani ya chama na serikali nilikuwa naomba uwape nafasi wenzako wafanye kazi nasikia kwa sasa Hadi kilanja mkuu anakuogopa ingawa ana Kila kitu.
Ushauri wangu naomba uwashauri vijana wako wachape Kazi kwa ajiri ya nchi yao waache hayo wanayotuhumiwa nayo maana siku moja mambo yatabadilika.
Huyu kiongozi kiujumla Hana makuu kabisa ila makuu yake machache nikutotaka kustaafu mbinu anazotumia zinalidumaza taifa katika mambo mbalimbali ya kimaendeleo na hii ni kutokana kwamba vijana aliowatengeneza kuwa viongozi kushindwa kuwajibika na kuwa wazalendo wa taifa lao! vijana wamekuwa walafi wa madaraka majungu fitina kuliko kufanya kazi! Wengi wao wanatuhumiwa kwa kashifa mbalimbali za matumiz mabaya ya ofisi na WIZI WA fedha za umma.
Mzee upo msemo unasema huwezi kuwazuia walimwengu kusema ila kama ni kweli bado kuna mambo unayasuka ndani ya chama na serikali nilikuwa naomba uwape nafasi wenzako wafanye kazi nasikia kwa sasa Hadi kilanja mkuu anakuogopa ingawa ana Kila kitu.
Ushauri wangu naomba uwashauri vijana wako wachape Kazi kwa ajiri ya nchi yao waache hayo wanayotuhumiwa nayo maana siku moja mambo yatabadilika.