Yoda
JF-Expert Member
- Jul 22, 2018
- 37,620
- 46,264
Akiwa Simiyu amesema kuna watu walipika majungu kwa muda mrefu kwamba "wale" ni wabaya lakini hawakuweza hata kufanya kazi walipopewa nafasi hali iliyopelekea yeye aitwe kukaa hapo.
Amesema sasa watu hao wana nongwa watu kujaa sana katika mikutano yake, amesema shida kubwa ni "wapambe" wengine wanasema ziara zake akiachwa hivi hivi atakuja kuwasumbua mbele ya safari. Wanakereka hata watu wakijaa katika mikutano yake.
Kauli nzito zaidi kuitoa amesema, "Sisi" kawaida yetu tukipewa kazi tunafanya kazi, "wenzetu" wakipewa kazi wanafanya kazi ya majungu tena.
Maswali kadha ni pamoja na
1. Wapika majungu na wapambe ni kina nani?
2. Wao ni kina nani na wenzao ni kina nani?
Amesema sasa watu hao wana nongwa watu kujaa sana katika mikutano yake, amesema shida kubwa ni "wapambe" wengine wanasema ziara zake akiachwa hivi hivi atakuja kuwasumbua mbele ya safari. Wanakereka hata watu wakijaa katika mikutano yake.
Kauli nzito zaidi kuitoa amesema, "Sisi" kawaida yetu tukipewa kazi tunafanya kazi, "wenzetu" wakipewa kazi wanafanya kazi ya majungu tena.
Maswali kadha ni pamoja na
1. Wapika majungu na wapambe ni kina nani?
2. Wao ni kina nani na wenzao ni kina nani?