Tuliowahi kuimbishwa na tukaimba huo wimbo wa “Kambona kaolewa huko Ulaya” tutubu sasa

Kambi ya Fisi

JF-Expert Member
Feb 3, 2018
13,472
21,953
Ilikuwa hivi miaka ya 80 + tukiwa primary school tunakimbizwa mchakamchaka huku wengi wetu tukiwa peku huku tukiimbishwa manyimbo ya kuisifia CCM na kuwaponda wote waliotofautiana na 'fikra sahihi za Nyerere' (mwenyekiti wa chama).

Kuna huu wimbo kila ninapokumbuka tulivyokuwa tunapaza sauti kuimba huwa najiona ni mwenye dhambi kwa kumsimanga Kambona pasipo kujua kosa lake hasa lilikuwa ni nini.

Nilitubu baada ya kujua ukweli nikiwa mtu mzima na Mungu anisamehe 7×70.

Nawaomba pia wazee wenzangu tulioimba nao huo wimbo kama mpo hapa tubuni na Mungu atawasamehe.

Tunaposema CCM ni muasisi wa nyimbo zisizofaa muwe mnatuelewa, walianza siku nyingi sana kutunga nyimbo za hovyo na kuwaimbisha watu (hasa watoto wa shule)

Simjui mtunzi wa huo wimbo ni nani ila naweka hapa mashairi ya huo wimbo ili wale kizazi cha zama za uwazi na ukweli + wasianze kuuliza ni wimbo gani huo..

Wimbo ni huu....

🎶... Kambona aaaah aaaah Kambona ameolewa, wapi aaaah aaaah wapi huko Ulaya, wivu aaaah aaaah wivu wamekereketaaa.. 🎶

Nimetubu na kila siku ninatubu kwa hiyo dhambi.
 
Ilikuwa hivi miaka ya 80 + tukiwa p/school tunakimbizwa mchakamchaka huku wengi wetu tukiwa peku huku tukiimbishwa manyimbo ya kuisifia ccm na kuwaponda wote waliotofautiana na 'fikra sahihi za Nyerere' (mwenyekiti wa chama).

Kuna huu wimbo kila ninapokumbuka tulivyokuwa tunapaza sauti kuimba huwa najiona ni mwenye dhambi kwa kumsimanga Kambona pasipo kujua kosa lake hasa lilikuwa ni nini.

Nilitubu baada ya kujua ukweli nikiwa mtu mzima na Mungu anisamehe 7×70.
Hata majuzi kundi lilelile limemuimba Makamu Mwenyekiti kwamba kaolewa Ubeligiji
 
Ilikuwa hivi miaka ya 80 + tukiwa p/school tunakimbizwa mchakamchaka huku wengi wetu tukiwa peku huku tukiimbishwa manyimbo ya kuisifia ccm na kuwaponda wote waliotofautiana na 'fikra sahihi za Nyerere' (mwenyekiti wa chama).

Kuna huu wimbo kila ninapokumbuka tulivyokuwa tunapaza sauti kuimba huwa najiona ni mwenye dhambi kwa kumsimanga Kambona pasipo kujua kosa lake hasa lilikuwa ni nini.

Nilitubu baada ya kujua ukweli nikiwa mtu mzima na Mungu anisamehe 7×70.

Nawaomba pia wazee wenzangu tulioimba nao huo wimbo kama mpo hapa tubuni na Mungu atawasamehe.

Tunaposema CCM ni muasisi wa nyimbo zisizofaa muwe mnatuelewa, walianza siku nyingi sana kutunga nyimbo za hovyo na kuwaimbisha watu (hasa watoto wa shule)

Simjui mtunzi wa huo wimbo ni nani ila naweka hapa mashairi ya huo wimbo ili wale kizazi cha zama za uwazi na ukweli + wasianze kuuliza ni wimbo gani huo..

Wimbo ni huu.... ".... Kambona aaaah aaaah Kambona ameo,,,wa, wapi aaaah aaaah wapi huko ulaya, wivu aaaah aaaah wivu wamkereketaaa".

Nimetubu na kila siku ninatubu kwa hiyo dhambi.
Sikuwepo enzi zikuwepo lakini nakumbuka 1994 kabla ya uchaguzi mkuu wa kwanza wa vyama vingi ilikuwa kila baada ya taarifa ya habari wanaweka kipindi maalulum kinachohusu mauaji ya rwanda na Burundi
Ccm washenzi sana
 
Ilikuwa hivi miaka ya 80 + tukiwa p/school tunakimbizwa mchakamchaka huku wengi wetu tukiwa peku huku tukiimbishwa manyimbo ya kuisifia ccm na kuwaponda wote waliotofautiana na 'fikra sahihi za Nyerere' (mwenyekiti wa chama).

Kuna huu wimbo kila ninapokumbuka tulivyokuwa tunapaza sauti kuimba huwa najiona ni mwenye dhambi kwa kumsimanga Kambona pasipo kujua kosa lake hasa lilikuwa ni nini.

Nilitubu baada ya kujua ukweli nikiwa mtu mzima na Mungu anisamehe 7×70.

Nawaomba pia wazee wenzangu tulioimba nao huo wimbo kama mpo hapa tubuni na Mungu atawasamehe.

Tunaposema CCM ni muasisi wa nyimbo zisizofaa muwe mnatuelewa, walianza siku nyingi sana kutunga nyimbo za hovyo na kuwaimbisha watu (hasa watoto wa shule)

Simjui mtunzi wa huo wimbo ni nani ila naweka hapa mashairi ya huo wimbo ili wale kizazi cha zama za uwazi na ukweli + wasianze kuuliza ni wimbo gani huo..

Wimbo ni huu.... ".... Kambona aaaah aaaah Kambona ameo,,,wa, wapi aaaah aaaah wapi huko ulaya, wivu aaaah aaaah wivu wamkereketaaa".

Nimetubu na kila siku ninatubu kwa hiyo dhambi.
Yule babu yule hafai
 
Ilikuwa ndio mwanzo wa Kuzezeteshwa kwa Mtanzania,baada kuutwaa Uhuru na Mwalimu kwenda CHINA kwa Mwaliko wa Dikteta Mao Tse Tung akaja na siasa mpya na KUILAZIMISHA tuifuate wale WAZALENDO wote walioshtuka na kuhoji na waliokataa KUZEZETESHWA ndio hao Mashujaa akina MZEE KAMBONA na walikiona cha moto na KUSIMANGWA kwa nyimbo na bila kuikimbia Nchi ilikuwa wafie Jela.
 
Sisi shule ya vidudu tuliimbishwa Naapa naahidi mbele ya chama mapinduzi nitakulinda mpaka kufa. Pumbavu zao kabisa hawa CCM, kutuimbisha watoto wadogo.Kipindi hicho vyama vingi vimeanza.
Tulilazimishwa pia tuseme "zidumu fikra sahihi za mwenyekiti wa CCM.."

Walitumia utoto wetu kutukaririsha ujinga, ila kwa sasa tumekuwa watu wazima zile zama za ujinga hatuzitaki tena.
 
Sisi shule ya vidudu tuliimbishwa Naapa naahidi mbele ya chama mapinduzi nitakulinda mpaka kufa. Pumbavu zao kabisa hawa CCM, kutuimbisha watoto wadogo.Kipindi hicho vyama vingi vimeanza.
Ubahili ungepelekwa shule za private vidudu usingekutana na hayo labda uamue mwenyewe kwenda chipukizi au mzazi akupeleke chipukizi huko ukaimbe nje ya muda wa masomo au likizo sio shuleni
 
Ilikuwa hivi miaka ya 80 + tukiwa p/school tunakimbizwa mchakamchaka huku wengi wetu tukiwa peku huku tukiimbishwa manyimbo ya kuisifia ccm na kuwaponda wote waliotofautiana na 'fikra sahihi za Nyerere' (mwenyekiti wa chama).

Kuna huu wimbo kila ninapokumbuka tulivyokuwa tunapaza sauti kuimba huwa najiona ni mwenye dhambi kwa kumsimanga Kambona pasipo kujua kosa lake hasa lilikuwa ni nini.

Nilitubu baada ya kujua ukweli nikiwa mtu mzima na Mungu anisamehe 7×70.

Nawaomba pia wazee wenzangu tulioimba nao huo wimbo kama mpo hapa tubuni na Mungu atawasamehe.

Tunaposema CCM ni muasisi wa nyimbo zisizofaa muwe mnatuelewa, walianza siku nyingi sana kutunga nyimbo za hovyo na kuwaimbisha watu (hasa watoto wa shule)

Simjui mtunzi wa huo wimbo ni nani ila naweka hapa mashairi ya huo wimbo ili wale kizazi cha zama za uwazi na ukweli + wasianze kuuliza ni wimbo gani huo..

Wimbo ni huu.... ".... Kambona aaaah aaaah Kambona ameo,,,wa, wapi aaaah aaaah wapi huko ulaya, wivu aaaah aaaah wivu wamkereketaaa".

Nimetubu na kila siku ninatubu kwa hiyo dhambi.
Yaani hata usinikumbushe....
 
Ilikuwa hivi miaka ya 80 + tukiwa p/school tunakimbizwa mchakamchaka huku wengi wetu tukiwa peku huku tukiimbishwa manyimbo ya kuisifia ccm na kuwaponda wote waliotofautiana na 'fikra sahihi za Nyerere' (mwenyekiti wa chama).



Wimbo ni huu.... ".... Kambona aaaah aaaah Kambona ameo,,,wa, wapi aaaah aaaah wapi huko ulaya, wivu aaaah aaaah wivu wamkereketaaa".

Nimetubu na kila siku ninatubu kwa hiyo dhambi.
"Idiamini akifa, mimi siwezi kulia
Nitamtupa Kagera, awe chakula cha mamba😂😂😂😂😂😂
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom