Heri ya siku ya kuzaliwa na kutimiza miaka 64 kwa Rais wetu mpendwa Mama Samia

Lucas Mwashambwa

JF-Expert Member
Jul 28, 2022
15,270
9,716
Ndugu zangu Watanzania,

Rasmi sasa Mheshimiwa Rais wetu mpendwa Mheshimiwa Dkt Mama Samia Suluhu Hasssan ametimiza umri wa miaka 64 kutokana na kuwa alizaliwa siku ya jumatano ya tarehe 27 januari 1960.

Kwa hakika ni furaha kuona Rais wetu akitimiza miaka hiyo akiwa mwenye afya njema,nguvu na uimara mkubwa sana katika kulitumikia Taifa letu ambalo analipenda kwa dhati ya moyo wake.ameonyesha upendo wake kwa Taifa hili kwa maneno,kauli na Matendo.

Mikono yake imegusa maisha ya watu wengi na kuwapa matumaini,tabasamu na furaha. Kauli na Maneno yake yameinua matumaini ya watu wengi sana waliokuwa wamekata tamaa.macho yake yamemtizama kila mtu aliyehitaji msaada.ulimi wake umelileta na kuliunganisha Pamoja Taifa letu.

Mungu aendelee kumjalia maisha marefu yenye amani,baraka na furaha .Amjalie afya njema na nguvu za kuendelea kututumikia watanzania ili tufaidike na kipawa na Karama kubwa ya kiuongozi aliyonayo pamoja na upendo mkubwa kwa Taifa letu.

Kazi iendelee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Kijana mzalendo na mpenda nchi yangu.

0742-676627.
 
Nasikitika licha ya we kuandika nyuzi nyingi za kumsifia saa100 lakini ni kama hawakuoni
Wakati leo hii wakina dotto magari wanakula shavu bday ya mama kizimkazi
Wajaribu wakuone maana hata kama unajitolea lakini lazima wakufikirie
Syo wale wahuni wakina dotto magari

Ova
 
Ndugu zangu Watanzania,

Rasmi sasa Mheshimiwa Rais wetu mpendwa Mheshimiwa Dkt Mama Samia Suluhu Hasssan ametimiza umri wa miaka 64 ka Karama kubwa ya kiuongozi aliyonayo pamoja na upendo mkubwa kwa Taifa letu.

Kazi iendelee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Kijana mzalendo na mpenda nchi yangu.

0742-676627.
We syo chawa bali kunguni.
 
Ndugu zangu Watanzania,

Rasmi sasa Mheshimiwa Rais wetu mpendwa Mheshimiwa Dkt Mama Samia Suluhu Hasssan ametimiza umri wa miaka 64 kutokana na kuwa alizaliwa siku ya jumatano ya tarehe 27 januari 1960.

Lucas Hebel Mwashambwa, Kijana mzalendo na mpenda nchi yangu.

0742-676627.
HBD Mhe. Rais Samia kwa kutimiza miaka 64!, nakupongeza sana na kukuombea afya njema!.

Mwakani 2025 utakuwa unatimiza umri wa miaka 65 na 2030 utakuwa na umri wa miaka 70, hivyo zawadi yangu ya pekee kwako ni HII na kukusisitizia, sio lazima kuizingatia saana kivile, ila ni muhimu kuisikiliza na kujisikilizia kama na wewe pia uliambiwa kama nilivyoambiwa mimi, kwasababu yule YEYE, sometimes ana mtindo wa kuwaambia watu wake, kupitia watu wengine!, hivyo just
listen and try to think if it makes any sense to you, ikitokea it doesn't make sense, just dismiss it as another set of crap!.

Ila ikitokea na wewe pia uliambiwa, and you are not very sure kama ni YEYE au ni yeye, then don't a chance, usipuuze!, maana hicho kitu is nothing compared!,

Na ikitokea wewe hujaambiwa, hujawahi kuambiwa na mtu mwingine yeyote, then ipuuze HII itakuwa sio sauti yake YEYE bali itakuwa ni sauti ya yeye tuu ambaye sio YEYE!.

HBD Mamaa!.
P
 
Ndugu zangu Watanzania,

Rasmi sasa Mheshimiwa Rais wetu mpendwa Mheshimiwa Dkt Mama Samia Suluhu Hasssan ametimiza umri wa miaka 64 kutokana na kuwa alizaliwa siku ya jumatano ya tarehe 27 januari 1960.
nye amani,baraka na furaha .Amjalie afya njema na nguvu za kuendelea kututumikia watanzania ili tufaidike na kipawa na Karama kubwa ya kiuongozi aliyonayo pamoja na upendo mkubwa kwa Taifa letu.

Kazi iendelee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Kijana mzalendo na mpenda nchi yangu.

0742-676627.
Ma shaa Allah, mwenyezi Mungu amjaalie umri mrefu, afya tele na na hekima za ziyada.
 
HBD Mhe. Rais Samia kwa kutimiza miaka 64!, nakupongeza sana na kukuombea afya njema!.

Mwakani 2025 utakuwa unatimiza umri wa miaka 65 na 2030 utakuwa na umri wa miaka 70, hivyo zawadi yangu ya pekee kwako ni HII na kukusisitizia, sio lazima kuizingatia saana kivile, ila ni muhimu kuisikiliza na kujisikilizia kama na wewe pia uliambiwa kama nilivyoambiwa mimi, kwasababu yule YEYE, sometimes ana mtindo wa kuwaambia watu wake, kupitia watu wengine!, hivyo just
listen and try to think if it makes any sense to you, ikitokea it doesn't make sense, just dismiss it as another set of crap!.

Ila ikitokea na wewe pia uliambiwa, and you are not very sure kama ni YEYE au ni yeye, then don't a chance, usipuuze!, maana hicho kitu is nothing compared!,

Na ikitokea wewe hujaambiwa, hujawahi kuambiwa na mtu mwingine yeyote, then ipuuze HII itakuwa sio sauti yake YEYE bali itakuwa ni sauti ya yeye tuu ambaye sio YEYE!.

HBD Mamaa!.
P
Ipi sasa P? Apumzike 2025 amuavhie HAHM ? Yeye apumzike ??....mimi namshauri 2025 angepumzika tuuu
 
Nasikitika licha ya we kuandika nyuzi nyingi za kumsifia saa100 lakini ni kama hawakuoni
Wakati leo hii wakina dotto magari wanakula shavu bday ya mama kizimkazi
Wajaribu wakuone maana hata kama unajitolea lakini lazima wakufikirie
Syo wale wahuni wakina dotto magari

Ova
Unajuaje kama yeye sio doto magari?
 
Ndugu zangu Watanzania,

Rasmi sasa Mheshimiwa Rais wetu mpendwa Mheshimiwa Dkt Mama Samia Suluhu Hasssan ametimiza umri wa miaka 64 kutokana na kuwa alizaliwa siku ya jumatano ya tarehe 27 januari 1960.

Kwa hakika ni furaha kuona Rais wetu akitimiza miaka hiyo akiwa mwenye afya njema,nguvu na uimara mkubwa sana katika kulitumikia Taifa letu ambalo analipenda kwa dhati ya moyo wake.ameonyesha upendo wake kwa Taifa hili kwa maneno,kauli na Matendo.

Mikono yake imegusa maisha ya watu wengi na kuwapa matumaini,tabasamu na furaha. Kauli na Maneno yake yameinua matumaini ya watu wengi sana waliokuwa wamekata tamaa.macho yake yamemtizama kila mtu aliyehitaji msaada.ulimi wake umelileta na kuliunganisha Pamoja Taifa letu.

Mungu aendelee kumjalia maisha marefu yenye amani,baraka na furaha .Amjalie afya njema na nguvu za kuendelea kututumikia watanzania ili tufaidike na kipawa na Karama kubwa ya kiuongozi aliyonayo pamoja na upendo mkubwa kwa Taifa letu.

Kazi iendelee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Kijana mzalendo na mpenda nchi yangu.

0742-676627.
Tunamuombea kwa Mungu, ulinzi wa Mwili na Roho ili kazi aliyoianza tayari, aitimize kwa bidii zaidi, kasi zaidi na ari mpya zaidi kwa manufaa mapana ya Watanzania wote...

Happy Birthday 🎉 once again, madame President Dr.Samia Suluhu Hassan
 
Ndugu zangu Watanzania,

Rasmi sasa Mheshimiwa Rais wetu mpendwa Mheshimiwa Dkt Mama Samia Suluhu Hasssan ametimiza umri wa miaka 64 kutokana na kuwa alizaliwa siku ya jumatano ya tarehe 27 januari 1960.

Kwa hakika ni furaha kuona Rais wetu akitimiza miaka hiyo akiwa mwenye afya njema,nguvu na uimara mkubwa sana katika kulitumikia Taifa letu ambalo analipenda kwa dhati ya moyo wake.ameonyesha upendo wake kwa Taifa hili kwa maneno,kauli na Matendo.

Mikono yake imegusa maisha ya watu wengi na kuwapa matumaini,tabasamu na furaha. Kauli na Maneno yake yameinua matumaini ya watu wengi sana waliokuwa wamekata tamaa.macho yake yamemtizama kila mtu aliyehitaji msaada.ulimi wake umelileta na kuliunganisha Pamoja Taifa letu.

Mungu aendelee kumjalia maisha marefu yenye amani,baraka na furaha .Amjalie afya njema na nguvu za kuendelea kututumikia watanzania ili tufaidike na kipawa na Karama kubwa ya kiuongozi aliyonayo pamoja na upendo mkubwa kwa Taifa letu.

Kazi iendelee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Kijana mzalendo na mpenda nchi yangu.

0742-676627.
Lazima update cherehani na wewe Mwaka huu
 
Back
Top Bottom