Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Ni Jumatatu Nyingine Mahususi kabisa ambayo ni ya kwanza kwa mwezi huu wa February wa mwaka 2024.Nikiwa hapa Ofisini kwangu na mshahara ukiwa bado haujatoka. Pamoja na andiko hili naambatanisha...
1 Reactions
1 Replies
469 Views
Hivi sasa siyo tena habari, kuona maeneo kadhaa ya nchi, yakiwa yako gizani, kutokana na mgao wa umeme, ambao ni "endless" bila ya TANESCO kutoa taarifa za mapema, kuwa kutakuwa na mgao wa umeme...
0 Reactions
14 Replies
1K Views
Nimeshtushwa na kasi ya Serikali ya awamu ya 6 ya kuagiza magari kupitia wakala TOYOTA TANZANIA LTD ambayo ipo chini ya familia ya Karimjee kwa wingi sana ndani ya muda mfupi. Kupitia ofisi za...
53 Reactions
199 Replies
18K Views
Mchungaji Joshua amesema Yeye na Lengai walikuwa Jela pamoja na Ole Sabaya amewasaidia Wafungwa walioonewa kuachiwa Huru baada ya kuwaandikia Rufaa Sabaya alipongezwa na Jaji kwa kuwaandikia...
3 Reactions
37 Replies
3K Views
Nifikie kusema wazi na bila kificho kuwa, Katibu wa CCM wilaya ya Hai, ni Mlaghai. Amechukua nafasi aliyopewa kuwarubuni wanaccm kuwa nitafanyia hiki nitakufanyia kile Matokeo yake anapokea...
0 Reactions
1 Replies
832 Views
Wanamazingaombwe walikuwa hawakosekani Mashuleni tena walipendelea Kuvaa Makoti ya Kijani na Suluari nyeusi Wale Jamaa sijasikia habari zao zama hizi, hivi waliendaga wapi?😂
6 Reactions
45 Replies
2K Views
Ni jambo la kushukuru Mungu kwamba, binafsi nimeishi wakati wa Marais wote walioitawala nchi hii. Nimeanza na Mwl na Sasa Samia suluhu Hassani. Ukweli usemwe, Jm Kikwete looks the best president...
6 Reactions
27 Replies
2K Views
Nchi yetu ina kikundi kidogo hatari kinachoibagaza nchi kupitia kwenye siasa kundi hili ndilo halitaki taifa lipige hatua kwenye rel umeme na miundo mbinu kwa ujumla wapo tayari kutumia njia...
3 Reactions
20 Replies
2K Views
Naanza kwa kuwachana watanzania wenzetu hasa makundi haya muhimu . 1. Wabunge wanaojiongezea malipo yasiyo na uhusiano na Hali halisi ya watanzania 2. Viongozi kama mawaziri na makatibu wakuu...
0 Reactions
1 Replies
612 Views
Kwenye nchi yenye ardhi, mabonde, mito na maziwa kibao bila kusahau bahari. Inakuwaje hatujitoshelezi kwa sukari? Hiki chama ni kipi inajivunia kwa miaka zaidi ya 60? Sukari!! Aibu naona mimi...
13 Reactions
48 Replies
2K Views
Mawaziri kivuli Bi. Kiza Mayeye uchukuzi na Bi. Halima Nabalang'anya biashara / viwanda walipuka bei za nauli, usafiri, uchukuzi na pia bidhaa kama sukari imekuwa changamoto kwa wananchi wengi...
0 Reactions
0 Replies
465 Views
MOMBA: "ANAYEPINGA MADAI YA SHIDA YA MAJI MOMBA AKAPIMWE AKILI"? BAANDA ya February 2. 2024 Mbunge wa Jimbo la Momba kwenda na ushahidi wa video ikionyesha Wananchi wa Kijiji cha Lwatwe kata ya...
1 Reactions
1 Replies
590 Views
Binafsi siwezi kumlaumu Bashite bali lawama zangu ni kwa ccm. Bashite huyu aliyakataliwa na dunia kuingia kwenye nchi zao, Kwa madhambi aliyo tenda. Lkn kwa ccm leo anaonekana shujaa kwa kupewa...
6 Reactions
43 Replies
2K Views
SHEREHE ZA KUZALIWA KWA CCM NA UJENZI WA MAABARA ZA MASOMO YA SAYANSI KWENYE SEKONDARI ZA MUSOMA VIJIJINI Sherehe za Miaka 47 ya kuzaliwa kwa Chama cha Mapinduzi zinaendelea kufana Musoma...
0 Reactions
0 Replies
411 Views
Nchi yetu inakuwa Kwa kasi, Ujenzi wa Makazi, Biashara,Viwanda. zinaongezeka Kila kukicha, Tunashukuru Mungu.Viongozi wetu wanapaswa kwenda na kasi hiyo katika mipango yao. Miaka michache ya...
6 Reactions
14 Replies
1K Views
Yani kubadilisha jina kutoka tume ya taifa nec, hadi tume huru ya uchaguzi, ndio wanatuaminisha, teari washarekebisha, matatizo ya tume, kwa kubadilisha jina, kwahio hapo ndio teari mapungufu ya...
2 Reactions
7 Replies
571 Views
Hii idaraya maji inashida Gani?? Nimeona Leo tbc habari
0 Reactions
2 Replies
448 Views
Mimi nimekuwa nikifuatilia kwa karibu kinachoendelea kuhusu ziara za Makonda mikoani, na zoezi la kusikiliza kero mbalimbali za wananchi. Kimsingi hali inafikirisha sana, na hapa Mwanasheria Mkuu...
1 Reactions
5 Replies
779 Views
Tanzania ina madhaifu makuu matatu ambayo yameshaonekana mpaka sasa DINI, RUSHWA na UJINGA (NAIVETY). SOMO LA KWANZA: UFALME WA UJERUMANI (UJINGA or NAIVETY) Usidanganyike, huhitaji kutumia...
9 Reactions
42 Replies
3K Views
Rais Samia Suluhu Hassan amesema ifikapo Januari 2024, kinu cha kwanza kati ya tisa vilivyopo katika bwawa la kuzalisha umeme la Mwalimu Nyerere (JNHPP) kitawashwa na kuruhusu uzalishaji wa...
4 Reactions
42 Replies
4K Views
Back
Top Bottom