Hivi karibuni kauli ya Paul Makonda imedhihirisha katika ukandamizaji wa Uhuru wa Kujieleza nchini baada ya kusema wastaafu hawaruhusiwi kutoa maoni.
Wastaafu wana haki ya kutoa maoni yao kama...
PAUL MAKONDA ANATUKUMBUSHA KUWA CCM NI KUBWA KULIKO SERIKALI
Katibu wa itikadi na uenezi wa Chama Cha Mapinduzi Ndugu Paul Christian Makonda anafanya kazi nzuri sana ambayo kila mwana CCM na...
Msemaji wa Jeshi la Polisi Kamishna Misiime amesema Jeshi lake limeanza Uchunguzi wa Kifo cha mwanafunzi wa UDOM Nusura Hassan kilichotokea mkoani Kilimanjaro
Kamanda amesema tukio hilo limezua...
Fuatilia yanayojiri kwenye Bunge la 12, Mkutano wa 13, Kikao cha 3, leo Novemba 2, 2023.
https://www.youtube.com/live/Px2Csdrfk20?si=ydhC7gCMmMBrjxso
===
TAARIFA YA KAMATI KUHUSU RIPOTI ZA...
Tena Wananchi walipolalamika wanasumbuliwa na TRA pale Migoli Komredi Makonda akamuagiza mkuu wa mkoa Rose Senyamule ampigie Simu Kamishna mkuu wa TRA mh Kidata Ili amuhoji mbele ya wale Wananchi...
Mbunge wa viti maalumu mh Conjesta amemtaka Waziri wa Fedha kuacha kuwapunguzia Malengo ya Makusanyo ya Ushuru Halmashauri mbalimbali kwani Tabia hiyo inatengeneza Taifa Maskini na tegemezi...
Fact-Check ,Fact-Check Kuhusu Migogoro Ardhi.
Kwenda kwa Muenezi wa Matamko Bwana Ndug.Paul Makonda.
Bwana Muenezi Mtoa Matamko umetoa tamko Kwaniaba ya chama kumpa Waziri Mkuu miezi 6...
Huyu rais na mwenyekiti wa CCM ni kwamba kuna watu wanamwendesha km gari bovu au ni akili yake. Km ni kuendeshwa kwanini akubali akili zake hazimtoshi?
Aibu atakayoipata kumteua huyu bwana...
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa ziara ya kitaifa nchini India tarehe 9 Oktoba, 2023.
https://www.youtube.com/live/4CCyGB0ET68?si=SxgeV7L3rZnjBpLi
===
Rais...
Sakata la bandari limevuruga chama cha mapinduzi katika maeneo mengi; limevuruga baraza la mawaziri na kulivuruga Bunge.
Mfumo wa bunge umeparaganyika; spika wa Bunge amehamia jukwaani na kuachia...
Katika mfumo wetu wa utawala tulio nao nchini nani ni mkubwa wa mwenzake kati ya chama tawala na serikali iliyo madarakani?
Nani anatoa kwa mwenzake na nani anapokea maagizo, ilani na miongozo ya...
Hayati Julius Nyerere alirudia sana maneno hayo kuwa mtu anakudanganya waziwazi huku anajua kuwa unajua kuwa anakudanganya, basi anakudharau kuwa huna la kumfanya lolote lile.
Sasa sasa hivi sio...
Salaam, Shalom!!
Nimewahi kuandika Thread isomekayo,
Ushauri: Chakula Bure mashuleni kirudishwe Ili kuboresha uelewa wa wanafunzi.
Katika mada hiyo, Nimeshauri Serikali kuhakikisha inaweka...
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan atashiriki Mkutano wa 23 wa Kimataifa wa Baraza la Utalii Duniani leo tarehe 02 Novemba, 2023 Rwanda Convection Centre (KCC) -...
Nimeona wapinzani wengi na wasio wana CCM wakikosoa, kuzodoa na kulaani uteuzi wa Paul Makondoa kuwa Katibu mwenezi wa CCM.
Hili ni jambo lisilo na mashiko kwa sababu CCM kama chama kina...
Bado hajaacha tabia haina dawa, mazoea hujenga tabia.
Yupo vile vile wa juzi wa jana hajabadilika anataka sifa ana majigambo anatumia migongo ya watu kutaka umaarufu.
Kama vile alipoanzia kwenye...
Maamuzi mengi ya serikali yanapitia kwenye Baraza la Mawaziri chini ya Rais ambaye ndiye Mwenyekiti wa CCM Taifa.
Uwajibikaji wa serikali unamlenga waziri mkuu kwa kuwa ndiye msimamizi mkuu wa...
Wanabodi
Leo ni Alhamisi, nakuletea Live kutoka Bunge TV kupitia TBC, Kipindi cha Maswali ya Papo kwa Papo kwa Waziri Mkuu Leo, ambaye jana amefanywa ni Bwana mdogo, kwa kupewa amri na Bwana...
Unajua ipo verse katika Kitabu cha Ayubu inasema: "Who is this cluttering the airwaves with unsound doctrine?"
Wastaafu wanatoa maoni yao kama watu wengine wanavyotoa maoni yao; wastaafu wanatoa...
Ujinga mkubwa kabisa, ni kuendelea kuwasikiliza hao wanasiasa walioishiwa sera dhidi ya Paul Makonda
Watu ukishawajua bhana, haikusumbui!
Asante Mh Rais Samia kwa kuwajua hawa wanafiki wa siasa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.