Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Hivi karibuni kauli ya Paul Makonda imedhihirisha katika ukandamizaji wa Uhuru wa Kujieleza nchini baada ya kusema wastaafu hawaruhusiwi kutoa maoni. Wastaafu wana haki ya kutoa maoni yao kama...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
PAUL MAKONDA ANATUKUMBUSHA KUWA CCM NI KUBWA KULIKO SERIKALI Katibu wa itikadi na uenezi wa Chama Cha Mapinduzi Ndugu Paul Christian Makonda anafanya kazi nzuri sana ambayo kila mwana CCM na...
3 Reactions
5 Replies
1K Views
Msemaji wa Jeshi la Polisi Kamishna Misiime amesema Jeshi lake limeanza Uchunguzi wa Kifo cha mwanafunzi wa UDOM Nusura Hassan kilichotokea mkoani Kilimanjaro Kamanda amesema tukio hilo limezua...
10 Reactions
94 Replies
9K Views
Fuatilia yanayojiri kwenye Bunge la 12, Mkutano wa 13, Kikao cha 3, leo Novemba 2, 2023. https://www.youtube.com/live/Px2Csdrfk20?si=ydhC7gCMmMBrjxso === TAARIFA YA KAMATI KUHUSU RIPOTI ZA...
2 Reactions
16 Replies
3K Views
Tena Wananchi walipolalamika wanasumbuliwa na TRA pale Migoli Komredi Makonda akamuagiza mkuu wa mkoa Rose Senyamule ampigie Simu Kamishna mkuu wa TRA mh Kidata Ili amuhoji mbele ya wale Wananchi...
3 Reactions
7 Replies
1K Views
Mbunge wa viti maalumu mh Conjesta amemtaka Waziri wa Fedha kuacha kuwapunguzia Malengo ya Makusanyo ya Ushuru Halmashauri mbalimbali kwani Tabia hiyo inatengeneza Taifa Maskini na tegemezi...
2 Reactions
8 Replies
889 Views
Fact-Check ,Fact-Check Kuhusu Migogoro Ardhi. Kwenda kwa Muenezi wa Matamko Bwana Ndug.Paul Makonda. Bwana Muenezi Mtoa Matamko umetoa tamko Kwaniaba ya chama kumpa Waziri Mkuu miezi 6...
9 Reactions
34 Replies
4K Views
Huyu rais na mwenyekiti wa CCM ni kwamba kuna watu wanamwendesha km gari bovu au ni akili yake. Km ni kuendeshwa kwanini akubali akili zake hazimtoshi? Aibu atakayoipata kumteua huyu bwana...
20 Reactions
79 Replies
7K Views
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa ziara ya kitaifa nchini India tarehe 9 Oktoba, 2023. https://www.youtube.com/live/4CCyGB0ET68?si=SxgeV7L3rZnjBpLi === Rais...
5 Reactions
16 Replies
3K Views
Sakata la bandari limevuruga chama cha mapinduzi katika maeneo mengi; limevuruga baraza la mawaziri na kulivuruga Bunge. Mfumo wa bunge umeparaganyika; spika wa Bunge amehamia jukwaani na kuachia...
4 Reactions
4 Replies
836 Views
Katika mfumo wetu wa utawala tulio nao nchini nani ni mkubwa wa mwenzake kati ya chama tawala na serikali iliyo madarakani? Nani anatoa kwa mwenzake na nani anapokea maagizo, ilani na miongozo ya...
3 Reactions
14 Replies
2K Views
Hayati Julius Nyerere alirudia sana maneno hayo kuwa mtu anakudanganya waziwazi huku anajua kuwa unajua kuwa anakudanganya, basi anakudharau kuwa huna la kumfanya lolote lile. Sasa sasa hivi sio...
2 Reactions
3 Replies
945 Views
Salaam, Shalom!! Nimewahi kuandika Thread isomekayo, Ushauri: Chakula Bure mashuleni kirudishwe Ili kuboresha uelewa wa wanafunzi. Katika mada hiyo, Nimeshauri Serikali kuhakikisha inaweka...
3 Reactions
136 Replies
4K Views
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan atashiriki Mkutano wa 23 wa Kimataifa wa Baraza la Utalii Duniani leo tarehe 02 Novemba, 2023 Rwanda Convection Centre (KCC) -...
1 Reactions
5 Replies
1K Views
Nimeona wapinzani wengi na wasio wana CCM wakikosoa, kuzodoa na kulaani uteuzi wa Paul Makondoa kuwa Katibu mwenezi wa CCM. Hili ni jambo lisilo na mashiko kwa sababu CCM kama chama kina...
1 Reactions
1 Replies
369 Views
Bado hajaacha tabia haina dawa, mazoea hujenga tabia. Yupo vile vile wa juzi wa jana hajabadilika anataka sifa ana majigambo anatumia migongo ya watu kutaka umaarufu. Kama vile alipoanzia kwenye...
3 Reactions
18 Replies
2K Views
Maamuzi mengi ya serikali yanapitia kwenye Baraza la Mawaziri chini ya Rais ambaye ndiye Mwenyekiti wa CCM Taifa. Uwajibikaji wa serikali unamlenga waziri mkuu kwa kuwa ndiye msimamizi mkuu wa...
2 Reactions
8 Replies
799 Views
Wanabodi Leo ni Alhamisi, nakuletea Live kutoka Bunge TV kupitia TBC, Kipindi cha Maswali ya Papo kwa Papo kwa Waziri Mkuu Leo, ambaye jana amefanywa ni Bwana mdogo, kwa kupewa amri na Bwana...
9 Reactions
28 Replies
2K Views
Unajua ipo verse katika Kitabu cha Ayubu inasema: "Who is this cluttering the airwaves with unsound doctrine?" Wastaafu wanatoa maoni yao kama watu wengine wanavyotoa maoni yao; wastaafu wanatoa...
4 Reactions
21 Replies
2K Views
Ujinga mkubwa kabisa, ni kuendelea kuwasikiliza hao wanasiasa walioishiwa sera dhidi ya Paul Makonda Watu ukishawajua bhana, haikusumbui! Asante Mh Rais Samia kwa kuwajua hawa wanafiki wa siasa...
2 Reactions
1 Replies
713 Views
Back
Top Bottom