Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 50,504
- 113,620
Wanabodi
Ule mfufulizo wa kipindi cha KMT, kinaendelea Channel Ten kila siku za Jumapili saa 3:00 za usiku na marudio ni kila siku za Jumatano Saa 9:30 Alasiri.
Kipindi cha Wiki Hii, Jumapili ya jana ni hiki
View: https://youtu.be/cQiwZySjhsg?si=-4HRmye7ClGDrC0C
Wazungumzaji ni
1.
View: https://youtu.be/l7apUkgY3IA?si=Ve5pLjxStJQuXhzD Issac Cheyo - M/Mwenyekiti United Democratic Party (UDP)
2.
View: https://youtu.be/EUukQ7DiTYw?si=qtoMiVazesdgyM__ Maggid Mjengwa - Mchambuzi wa Siasa.
3.
View: https://youtu.be/yy8bq2PnZwc?si=ZEy_RZLAwfjb5-Jr Joseph Roman Selasini -K/Mwenyekiti NCCR Mageuzi
4.
View: https://youtu.be/cHxuVN8njWM?si=-ouehGdq8HTCG_Cp Hamad Rashid Mohammed - M/Kiti Alliance for Democratic Change (ADC)
5.
View: https://youtu.be/Li8Yu29CwV4?si=1IXGSRSLy4tgH2qQ Balozi Amina Salum Ali - Mwanasiasa Mkongwe wa CCM Zanzibar.
6.
View: https://youtu.be/TrUw1PZqiKY?si=QQ_t6NWxB9C3oHoL Ismail Jussa - Kiongozi wa ACT Wazalendo, Zanzibar
7.
View: https://youtu.be/h3TFKlNHV98?si=TfTyMqBGvkYDmr3u Deus Kibamba- Mjumbe Jukwaa la Katiba
8.
View: https://youtu.be/w0WiYIr1t90?si=adEW3mxaa_n9AtEB Father Charles Kitima- Katibu Mkuu wa Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania, TEC
9.
View: https://youtu.be/2Iw3KXte-2c?si=EMQmp1HNbgw6cj6d Msajili wa vyama vya Siasa ,Jaji Mtaafu Francis Mutungi
Usikose kuangalia marudio siku ya Jumatano saa 9:30 Alasiri on Channel Ten.
Kipindi cha Jumapili Ijayo wazungumzaji
1. Anna Mwasioke, Mhariri Mkuu wa TBC na MC wa Mkutano.
2. Mheshimiwa Mohamed Ali Ahmed, Naibu Msajili wa Vyama vya Siasa
3. Msajili wa vyama vya Siasa Mhe, Jaji Mtaafu Francis Mutungi
4. Mhe. Hamza Hassan Juma, Waziri wa Nchi, Sera, Uratibu na BLW- Zanzibar
5. Mhe. Jenista Mhagama, Waziri wa Nchi, Sera, Uratibu na Bunge.
6. Mhe. Masoud Othman Masoud- Makamo wa I Rais- Zanzibar
Usikose!.
KMT kinaendeshwa kwa mtindo wa Vox Pop, kwa imani kuwa Vox Populi is Vox Dei!, kauli ya wengi ni kauli ya Mungu na Kauli huumba, kipindi kinatoa fursa ya ku consolidates kupaza sauti ya wengi kuhusu jambo lolote la kisiasa, kiuchumi na kijamii kuhusu taifa letu, ili suati hizo, ziliumbe hilo jambo.
Kwa vile kauli ya wengi ni kauli ya Mungu, natoa wito kwa viongozi wetu, sikilizeni sauti hizi za wengi, wanataka nini, wengi wape!, kwa vile sauti za wengi ni sauti ya Mungu, nawasihi sana viongozi wetu wasikilizeni watu, watu wengi wakisema wanataka nini, ni Mungu amesema!, wasiposikilizwa, ni Mungu hakusikilizwa!, hivyo ikitokea wasiposikilizwa, what will happen msije kutulilia humu kuwa huwakujua!...
Mwenye Masikio na Asikie!
Jumatatu Njema.
Paskali
Ule mfufulizo wa kipindi cha KMT, kinaendelea Channel Ten kila siku za Jumapili saa 3:00 za usiku na marudio ni kila siku za Jumatano Saa 9:30 Alasiri.
Kipindi cha Wiki Hii, Jumapili ya jana ni hiki
View: https://youtu.be/cQiwZySjhsg?si=-4HRmye7ClGDrC0C
Wazungumzaji ni
1.
View: https://youtu.be/l7apUkgY3IA?si=Ve5pLjxStJQuXhzD Issac Cheyo - M/Mwenyekiti United Democratic Party (UDP)
2.
View: https://youtu.be/EUukQ7DiTYw?si=qtoMiVazesdgyM__ Maggid Mjengwa - Mchambuzi wa Siasa.
3.
View: https://youtu.be/yy8bq2PnZwc?si=ZEy_RZLAwfjb5-Jr Joseph Roman Selasini -K/Mwenyekiti NCCR Mageuzi
4.
View: https://youtu.be/cHxuVN8njWM?si=-ouehGdq8HTCG_Cp Hamad Rashid Mohammed - M/Kiti Alliance for Democratic Change (ADC)
5.
View: https://youtu.be/Li8Yu29CwV4?si=1IXGSRSLy4tgH2qQ Balozi Amina Salum Ali - Mwanasiasa Mkongwe wa CCM Zanzibar.
6.
View: https://youtu.be/TrUw1PZqiKY?si=QQ_t6NWxB9C3oHoL Ismail Jussa - Kiongozi wa ACT Wazalendo, Zanzibar
7.
View: https://youtu.be/h3TFKlNHV98?si=TfTyMqBGvkYDmr3u Deus Kibamba- Mjumbe Jukwaa la Katiba
8.
View: https://youtu.be/w0WiYIr1t90?si=adEW3mxaa_n9AtEB Father Charles Kitima- Katibu Mkuu wa Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania, TEC
9.
View: https://youtu.be/2Iw3KXte-2c?si=EMQmp1HNbgw6cj6d Msajili wa vyama vya Siasa ,Jaji Mtaafu Francis Mutungi
Usikose kuangalia marudio siku ya Jumatano saa 9:30 Alasiri on Channel Ten.
Kipindi cha Jumapili Ijayo wazungumzaji
1. Anna Mwasioke, Mhariri Mkuu wa TBC na MC wa Mkutano.
2. Mheshimiwa Mohamed Ali Ahmed, Naibu Msajili wa Vyama vya Siasa
3. Msajili wa vyama vya Siasa Mhe, Jaji Mtaafu Francis Mutungi
4. Mhe. Hamza Hassan Juma, Waziri wa Nchi, Sera, Uratibu na BLW- Zanzibar
5. Mhe. Jenista Mhagama, Waziri wa Nchi, Sera, Uratibu na Bunge.
6. Mhe. Masoud Othman Masoud- Makamo wa I Rais- Zanzibar
Usikose!.
KMT kinaendeshwa kwa mtindo wa Vox Pop, kwa imani kuwa Vox Populi is Vox Dei!, kauli ya wengi ni kauli ya Mungu na Kauli huumba, kipindi kinatoa fursa ya ku consolidates kupaza sauti ya wengi kuhusu jambo lolote la kisiasa, kiuchumi na kijamii kuhusu taifa letu, ili suati hizo, ziliumbe hilo jambo.
Kwa vile kauli ya wengi ni kauli ya Mungu, natoa wito kwa viongozi wetu, sikilizeni sauti hizi za wengi, wanataka nini, wengi wape!, kwa vile sauti za wengi ni sauti ya Mungu, nawasihi sana viongozi wetu wasikilizeni watu, watu wengi wakisema wanataka nini, ni Mungu amesema!, wasiposikilizwa, ni Mungu hakusikilizwa!, hivyo ikitokea wasiposikilizwa, what will happen msije kutulilia humu kuwa huwakujua!...
Mwenye Masikio na Asikie!
Jumatatu Njema.
Paskali