Kingwendu ahamia CCM

Erythrocyte

JF-Expert Member
Nov 6, 2012
117,759
218,380
Mwanachama wa CUF na Mgombea Ubunge wa Chama hicho , Kingwendu , leo ametangaza rasmi kukihama chama hicho na kujiunga na ccm

Screenshot_2024-02-05-21-46-19-1.png
Screenshot_2024-02-05-21-46-01-1.png
 
Kakuajiri nani wewe zumbukuku hata ujiite Mwandishi?Umesomea wapi journalism?Au ndio wake makanjanja watoa taarifa?
kwani wewe ulivyoandika hapa jf huu utumbo wako umeajiriwa ? inawezekana ukawa na chuki na mimi kwa sababu ya mawe kabambe ninayoipa ccm na mamluki wake , lakini ni vema ukatafuta sababu za maana zaidi ili kunishambulia
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom