Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Angalia maziwa ,mito na vyanzo vya maji vinavyopatikana hapa nchini. Alafu kuna watanzania wanakosa maji safi salama ya kunywa. Kodi na vyanzo kibao vya mapato vipo. Angalia madini kama...
2 Reactions
24 Replies
1K Views
Taarifa ikufikie popote ulipo kwamba , Maandamano ya Amani ya kupinga Ugumu wa Maisha (kilo ya sukari tsh 6000) pamoja na Miswada mibovu ya sheria za uchaguzi Jijini Arusha , Maandalizi yake...
11 Reactions
43 Replies
3K Views
Mwanachama wa CUF na Mgombea Ubunge wa Chama hicho , Kingwendu , leo ametangaza rasmi kukihama chama hicho na kujiunga na ccm
9 Reactions
45 Replies
4K Views
Kongole kwa Serikali sikivu, imetukumbuka kwenye Kutii kiu yako slogan! Na wapenguza pakubwa kweli kwa Vinywaji vyote kuanzia Wine 🍷 hadi juice 🧃. Wanajua hii nchi kipaumbele chetu ni starehe...
3 Reactions
37 Replies
2K Views
Mahakama yatengua makubaliano yaliyorejesha mali ya Ushirika serikalini Dar es Salaam. Mahakama ya Rufani imetengua hukumu ya Mahakama Kuu iliyohalalisha mkataba wa makubaliano baina ya Serikali...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Shirika la TANESCO limeingia mkataba wa kusimika mfumo wa kisasa wa ufanisi,wenye thamani ya dola milioni 30 za marekani na kampuni ya Mahendra kutoka India. My take: Hao wataalamu walipopewa...
47 Reactions
267 Replies
18K Views
Mwenyekiti wa zamani wa Nccr Mageuzi Mhe. James Mbatia, akiwa anafanya mahojiano na Edwin Odemba ameitaka Serikali iweke bayana msimamo wake kuhusu suala la ushoga na usagaji. Mbatia amesema...
4 Reactions
32 Replies
3K Views
Nilishangaa sana kumsikia anawasema wapinzani. Kwa nafasi alizoshika siku zote niliona akiwakosoa na kuwaelekeza wa chama chake. Jana kumsikia anawaongelea CHADEMA kwa kweli nimeshangaa sana sana!
2 Reactions
21 Replies
2K Views
Hata kama mambo yaliyoorodheshwa katika ile thread ya mwanzo yanaweza yakawa sio sahihi kwa 100%, lakini sio ya kuyapuuzia. Ni mambo mazito sana yanayokabili taifa letu na yanapaswa kupewa uzito...
70 Reactions
305 Replies
47K Views
Katibu wa Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi Taifa, Itikadi, Uenezi na Mafunzo Ndugu. Paul Makonda , mapema asubuhi ya leo Jumanne tarehe 6 Februari, 2024 amefika katika ofisi za Manispaa ya...
0 Reactions
0 Replies
421 Views
Leo ninatuma namba ya gari nikijiamini kuwa gari hiyo inamilikiwa na Tume ya madini. Huko gari liliko Kila siku linatumika kukusanya rushwa na kusumbua wachimbaji wadogo. Gari Hilo linafanya...
3 Reactions
17 Replies
3K Views
Nimemsikiliza Mzee wangu Komredi Kinana eti akisema wamewapa ruzuku CHADEMA na kuwapakazia akataja na kiasi. MIMI nimuulize mzee wetu, je, CCM inapata ruzuku kiasi gani? Akisema au akitaja basi...
0 Reactions
4 Replies
594 Views
Nimefuatilia hotuba ya Kinana aliyoitoa kwa Wanaccm Wenzake , katika kile kinachoitwa Kumbukumbu ya kuzaliwa kwa chama hicho , kwa zaidi ya 95% hotuba ya Kinana iliihusu CHADEMA . Hivi ndivyo...
15 Reactions
50 Replies
4K Views
Hiyo ndio Hali iliyotokea huko Nsimbo Mkoa wa Katavi Kufuatia Mkuu wa Wilaya Kuruhusu Wananchi Walime Shamba lenye Mgogoro Kwa ahadi ya kuwalinda lakini hawakulindwa na kupelekea Kukatwa katwa...
2 Reactions
49 Replies
5K Views
"Kama kuna mtu nimemkosea mbele za Mungu anisamehe, na mimi mbele za Mungu anayeishi kama kuna mtu yeyote anadhani alinikosea, iwe shahidi, iwe kutengeneza kesi kunisingizia uongo, leo kwa kibali...
9 Reactions
55 Replies
4K Views
Hili ni jambo ambalo wenye hekima wanalielewa siku nyingi, na labda wengine wengi sasa wameanza kulielewa, kwamba kutokuwepo kwa usimamizi wa kiserikali wa upande wa bara kunatokeza nafasi kwa...
10 Reactions
69 Replies
4K Views
Ndugu zangu Watanzania, Naibu spika wa bunge Mheshimiwa Zungu amesema ya kuwa amekuwa mtetezi mkubwa sana wa bodaboda na waendesha bodaboda.lakini amesema ya kuwa matumizi ya bodaboda barabarani...
0 Reactions
46 Replies
3K Views
Tundu Antipas Lissu amebarikiwa Nafsi ya Uongozi na Roho ya Uongozi lakini Akili za Uongozi hana anazo za darasani tu Kwenye Akili za Uongozi hupatikana busara na Hekima za kusikiliza na kusema...
0 Reactions
24 Replies
1K Views
Wanabodi Ule mfufulizo wa kipindi cha KMT, kinaendelea Channel Ten kila siku za Jumapili saa 3:00 za usiku na marudio ni kila siku za Jumatano Saa 9:30 Alasiri. Kipindi cha Wiki Hii, Jumapili...
6 Reactions
57 Replies
4K Views
Wakati wa 'zama zilizotimu' ulinitafuta sana na ukataka kuonana nami lakini ukaishia kuonana na 'itifaki ya Askofu' iliyokueleza mazingira ya Askofu, uliridhika ila juhudi zako za kumtafuta Askofu...
5 Reactions
7 Replies
1K Views
Back
Top Bottom