Wataalamu wa siasa za nchi hii tuliposimama na Rais Samia kutetea uwekezaji wa Bandarini tulionekana sie ni machawa na tukasemwa sana.
Tuliposema kuwa hizi kelele za Bandari kuuzwa sijui nchi...
Lazima niseme. Nguvu kubwa inafanywa na viongozi wetu wa CCM Taifa ambao pia ni viongozi serikalini kupata 'uungwaji mkono' na Maaskofu wa Kanisa Katoliki. Ni maandalizi ya uchaguzi mkuu wa mwaka...
Mh Nape Nnauye amempingeza ndugu Paul Makonda kwa kuteuliwa kuwa Katibu wa Uenezi CCM
Akiwajibu wale waliohoji mambo ya Protea Enzi zile mh Nape amesema " Mie ni Mkristo isome Sala ya Baba Yetu...
Mbunge wa jimbo la Morogoro mjini Mhe. Abdulaziz M Abood, 22/10/2023 Amekuwa mgeni rasimi kwenye kongamano la Women Supporting Women 2023 lililoandaliwa na Moro Super Women Present.
Mhe. Abood...
Kichwa cha Uzi huu ni kauli ya Paul Makonda mbele ya baba askofu Dr Mokiwa katika Kanisa la St Albans wakati akiwa Mkuu wa mkoa wa DSM
Viongozi wa Serikali ndio wanapaswa kuwaendea Viongozi wa...
Hawa vijana walifanya kazi nzuri katika Awamu ya Tano, kwa hali ilivyo bado wanahitajika kuweza kumsaidia Rais Mama Samia pia.
Maana atakavyo endelea kucheka na watu ndio watakavyozidi...
Ilifikia hata wabunge kuogopa kukanyaga jijini dsm.
Makonda alikuwa anatoa amri zenye mamlaka atakavyo hata bila ya kuogopa mamlaka za juu yake.
Alithubutu hata kuwaambia wabunge wasikanyage...
Ukweli umekuwa bidhaa adimu sana Tanzania na upotoshaji umekuwa kama sehemu kubwa ya maisha.
Nimefuatilia sana siasa za Tanzania na nasema kweli, hakuna mtu aliyenifurahisha kwenye suala la...
Nimekusikiliza mbunge mstaafu wa Arusha mjini mh Lema kule kwa Maria ukidai Watumishi wanaodhibiti Wapinzani huteuliwa vyeo vikubwa.
Hii siyo kweli bwashee Lema.
Mbona Makonda, Ole Sabaya...
Hivi kwenye hizi teuzi zote,Makonda haonekani. Mama unampango gani na Makonda. Mbona alikuombea mema tu ulivyokuwa Msaidizi wa Sitta Kule Bungeni.
Msamehe Makonda Bado kijana mdogo. Amejifunza...
Rais Magufuli ametoa usd 20,000 karibia sh 50 milioni za Tanzania kuchangia mfuko wa matibabu ya mkurugenzi wa vipindi wa Clouds Media Group.
Sebastian Maganga wa CMG amesema hali ya Ruge...
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan amemteua ndugu Sophia Edward Mjema kuwa Mshauri wa Rais masuala ya Wanawake na Makundi Maalum.
Kabla ya uteuzi huu Bi. Sophia...
Mdude ametoa tamko hilo rasmi katika mkutano unaoendelea wakati huu tarehe 5/9/2023 akiwa na kina Dr. Slaa, Mwabukusi na Joseph Mbatia, akiongeza wakati wanasubiri hizo siku 30 wanaenda kwenye...
Ile kesi namba 234/2022: ya Uporaji na Utapeli wa gari , inayomhusu Paulo Makonda na Mzee William Malecela imefika patamu, baada ya Matapeli hao kuwasilisha Majibu ya Tuhuma zinazowakabili...
President Samia Suluhu locuta causa finita"President Samia has spoken .Her words are final "You are not required to question
Kumbukeni hayo ni maneno ya kilatini na ndio msingi wa sheria zetu...
Tuhuma zako ni nyingi sana kuwa umeshiriki utekaji, mateso na hata uuaji. Pengine hizi tuhuma ni kweli au pia sio kweli. Lakini mwenye majibu kamili ni wewe mwenyewe.
Sasa tuambie ukweli, wakati...
Habari za wakati huu;
Ni matumaini yangu kwamba mnaendelea vyema na majukumu yenu ya Ujenzi wa Taifa letu hili tukufu la Tanzania. Kwa wale ambao wanaifahamu Siasa sidhani kama hili la Paul...
Serikali imekiri uwepo wa vipengele vibovu na wamekubali kukosolewa na kufanyia Kazi maoni ya wengi.Kuishia kurekebisha haitoshi kwa masilahi mapana ya walipakodi.
KWANINI wale wote waliohusika...
Hii ni aibu kubwa. Eti CCM mkoa Mwanza kuna mkakati unafanywa wakisaidiwa na wapambe toka HQ kuhakikisha uchaguzi wa mwenyekiti wa mkoa anakuwa Makonda iwe isiwe kwani eti yuko karibu na mama...
Huyu Mungu ninaye muabudu ipo siku atamfanya Makonda atubu na kujutia dhambi zake na ndio siku ambayo tutaambiwa ukweli wa mambo yaliyotokea wakati ule!
Na ndio tutajua ukweli kuhusu kifo cha Ben...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.