Evarist Chahali: Mambo mazito sana yanasemwa kuhusu usalama wa nchi lakini tunayapuuzia kwa ushabiki wa kisiasa

Synthesizer

JF-Expert Member
Feb 15, 2010
11,143
18,774
Hata kama mambo yaliyoorodheshwa katika ile thread ya mwanzo yanaweza yakawa sio sahihi kwa 100%, lakini sio ya kuyapuuzia. Ni mambo mazito sana yanayokabili taifa letu na yanapaswa kupewa uzito unaostahili. Mambo haya yaliandikwa kama ujumbe kwa mkuu wa kitengo fulani cha usalama nchini, lakini ni mambo ambayo yanapaswa kwenda zaidi ya hapo. Nitanukuu mambo mazito matano yaliyoainishwa, na mtu inaonyesha alikuwa mtumishi wa idara ya Usalama wa Taifa.
  1. Huenda ukaumia nafsi kufahamu kuwa kuna operesheni iliandaliwa mwaka 2013 kutuma watu huku Uingereza kumdhuru Chahali. Unaweza kunihurumia baada ya kutafakari "walitaka kumuuwa kwa kosa gani hasa?"
  2. Na mwaka jana mwezi wa tano hivi Bwana Mkubwa hakupendezwa na makala flani ya Chahali katika gazeti la Raia Mwema, akamtuma poti wake (namba mbili hapo) aandae operesheni dhidi ya Chahali. Huyo poti wa Bwana nae hatosema kuwa nilimtumia barua ya kumuonya kuwa nafahamu anachopanga.
  3. Usikae kimya huku Bashite, poti wa Bwana Mkubwa, akaigeuza Idara kuwa ofisi yake binafsi. Akaitumia kwa maslahi yake binafsi.
  4. Usikae kimya huku maafisa wa idara ya nchi jirani wanaichezea Idara yetu tukufu kwa vile tu Bwana Mkubwa ni anapelekeshwa na kiongozi wa nchi hiyo, jasusi mzoefu ambaye yeye na kitengo cha nchi hiyo wana "kompromat" (compromising information) kuhusu Bwana Mkubwa na wanaitumia kama leverage (kama picha la Putin na Trump)
  5. Usikae kimya wakati unafahamu kuhusu kinachoitwa "Kikosi Maalum" ambacho kinafanya kila baya dhidi ya watu ambao aidha Bwana Mkubwa hawapendi au mwanae Bashite anataka kuwakomoa. Hicho "Kikosi Maalum" ni sawa na Idara nje ya Idara. Neno la kitaalam ni rogue element, na kamwe usiruhusu kitu hicho.
Sasa haya mambo matano ni mazito na ya kutisha sana kama ni kweli yanatokea katika nchi yetu. Kumbuka kwamba hayo mambo matano yanasemwa na mtu ambaye inaonekana alikuwa sehemu ya chombo cha usalama wa taifa. Si rahisi yawe ya kujitungia, au kutafuta kiki kama wengi wanavyosema. Yamesemwa na mtu ambaye inaonekana sio tu ana ufahamu wa ndani, bali pia ana hasira, na yuko desparate kwa kuwa maisha yake yako hatarini, hivyo kaamua kusema wazi aidha kama retaliatory measure au kama namna fulani ya kujihifadhi.

Sasa nini implications za haya yaliyosemwa? Kwa maoni yangu haya yaliyosemwa yanamaanisha kwamba;
  1. Tanzania kimeundwa "Kikosi Maalum" kwa ajili ya watu ambao wanamkorofishahuyo aliyeitwa "Bwana Mkuu". Hii sasa huenda ikatoa majibu kwa watu ambao wamekuwa wakitekwa na kupotea pamoja na kuuwawa. Huenda ikatoa jibu kuwa wale watu "Wasijulikana" ni kina nani, na kwamba ni kikosi maalum, "rogue element" kinachofanya kwa maagizo ya "Bwana Mkubwa" ili ku "eliminate" watu wanaoonekana kuwa ni tatizo katika nchi hii. Huenda ikatoa jibu juu ya kauli zilizowahi kutolewa kwamba huwezi ukawa tatizo nchini tukakuacha tu uendelee kuwapo! Huenda ikatoa jibu jibu nani alihusika na jaribio la mauaji ya Lissu, nk!
  2. Tanzania huwa inatuma vikosi vya maujaji kwenda nje kuwashughulikia watu ambao wanaonekana ni tatizo kwa uongozi uliopo madarakani
  3. Idara ya Usalama wa Taifa imekuwa compromised, na haifanyi tena kazi kama taasisi ya taifa kwa manufaa ya taifa bali imebinafsishwa na baadhi ya watu nchini na kutumika kwa manufaa binafsi ya hao watu wachache
  4. Kwamba uongozi wetu wa juu nchini, huyo "Bwana Mkubwa" aliyetajwa, umekuwa compromised na nchi jirani na sasa unafanya kazi katika mazingira ya kuwa "blackmailed". Inamaanisha uongozi wetu hauna sauti tena na uhuru wa kufanya dhidi ya jambo lolote linalofanywa na nchi jirani au litakaloathiri hiyo nchi jirani. Athari ya hili ni kubwa sana, inaweza hata kutia ndani usalama wa majeshi yetu (JWTZ) huko DRC. Huenda inatoa jibu kwa nini hadi sasa hii nchi jirani inatuhumiwa kuua zaidi ya raia 50 kule Kagera na serikali yetu imekaa kimya juu ya hili bila kufanya kitu au hata kutoa tamko. Ni juzi tu hapa Kigwangwala ndio alitoa tamko la hasira juu ya jambo hili.
Ndugu zangu Watanzania, bila kujali ni nani ameandika haya mambo, au historia yake ni nini, kuna mambo mazito sana hapa ambayo kila Mtanzania mwenye akili anapaswa kuogopa na kutafakari sana. Inaonekana nchi iko hatarini sana kuisalama kuliko ilivyowahi kutokea tangu tupate uhuru.

Rai yangu ni kwa wabunge, wakuu wa majeshi, na kila aina ya mtazania anayeweza kufanya kitu kuhusu jambo hili kutolipuuzia kwa kudhani kwamba yeye hahusiki. Ni lazima jambo hili lipewe uchunguzi unaostahili. Najua kwamba kama hizi tuhuma ni kweli, basi kushughulikia jambo hili inahitaji ujasiri na moyo mkuu, hasa kama kuna "Kikosi Maalum".

Desparate measures zinahitajika hapa kwa kuwa nchi yetu iko kwenye desparate times.
 
Mungu kwa maksud alimwachia Sizonje awe rais hili kutuadhibu kwa ujinga wetu.

Yani jamaa nchi imemshinda kabisa. Cha kuhuzunisha hata mkwere DHAIFU approval rating yake iko juu Sana Na zaid kuliko huyu jamaa.
Mkuu hatupaswi tena kuliangalia jambo hili kwa mtazamo wa kisiasa au nani alikosea kufanya nini huko nyuma. Desparate times.
 
Bravo brother, Nina uhakika kitengo kipo kazini, ndio maana sasa tunajua kuwa "Mkuu" keshakuwa compromised na "Kuu" la majasusi la nchi jirani. Vilele tumeshapewa clue ya nani ni kiongozi wa kundi la watu wasiojulikana- kuanzisha idara nje ya idara- ili kutenda uovu, na huenda kitengo hiki kilicho nje ya idara kinaratibiwa na majasusi kutoka nchi hiyo ya jirani.

Watanzania tuwe macho, hatupo salama tena. Ahsanteni kitengo kwa kutujulisha mustakabali wa nchi ulivyo kwa hivi sasa. Nendeni mbele kuhakikisha kuwa mwisho wa Bashite na his rogue group umefika, mfikisheni kwenye vyombo vya sheria kwani ushahidi mnao.
 
Wakati mkuu unajaribu kuonya na kuhitaji mjadala wenye mawazo huru kwa suala nyeti kama hili cha ajabu huu uzi ukifikisha wachangiaji zaidi ya 15 utaona vituko na logic za ajabu za uchama na wanachama wa vile vyama pinzania wakianza balaa lao humu..

Pamoja na yoote hoja ni muhimu sana kuzingatiwa na Watanzania tuijadili na kuifikiria kwa mapana sana ili tusije kuwa na mwisho mbaya, kelele za wafia vyama kama sio wafia chama ni hatari sana kwa sasa kwa usalama wa nchi hii maana hata wale maadui kwa sasa wanapitia njia hiyo hiyo kutuzuga na ndio maana mpaka leo utasikia watanzania kuna wanaojiita Wazalendo na wapenda maendeleo na kuwaona wenzao sio wazalendo lakini ukizama kiundani juu ya hii dhana utagundua ni propaganda iliyopandwa kwenye akili za wasiojitambua ili mwisho wa siku adui afanikiwe.. immediate measures and actions needed in this scenario for majority interest. ZZK aligusia suala la kuvunjwa kwa TISS na iundwe upya kwa namna nyingine, binafsi naona moja ya muundo wake uwe mbali kabisa na siasa na wanasiasa maana tayari CCM walishafanya makosa kwa kuiacha hii taasisi iwe kama chombo cha kisiasa kwa manufaa ya CCM lakini kumbe ndio tulikuwa tunajitengenezea kabuli letu wenyewe..

Ni wakati sasa wa Serikali au CCM kujifunza na kuziweka mbali taasisi za usalama na ulinzi na siasa na kuwafanya wananchi wawe huru kuamua na taasisi za usalama zibaki kuangalia na kulinda amani na kudeal sana na maslahi ya Taifa na sio chama.. Vyombo vya usalama vyenyewe vibaki kutii mamlaka itakayochaguliwa na wananchi kwa maana ya kuilinda lakini vyenyewe vikiwa na mifumo au policy zake nyeti zenye maslahi kwa Taifa na sio interest za chama kilichopo madaraka.. Ni wakati sasa wa vyombo vya usalama kuwa na nguvu au uwezo wa kumtoa madarakani yeyote yule ambaye anaharibu au anaangamiza maslahi ya nchi bila kuangalia chama kwa maana ya mlengo ila cha muhimu iwe maslahi ya Taifa na sio unafiki, maana nina uhakika hivi vyombo kwa 100% vinajua maslahi ya taifa na nani msaliti na sio kufanya kazi kwa amri za wanasiasa..
 
Nilitaka kuandika kama hivi lakini wewe umeandika kwa usahihi zaidi. Yaani anachojaribu kutuambia Chahali ni kuwa tumeupoteza uhuru wetu uliopiganiwa kwa damu na jasho kuanzia akina Mkwawa hadi Nyerere.

Kosa kubwa tulilolifanya ni kumuamini mtu mmoja badala ya taasisi na wenzetu wameliona wamewekeza kwa mtu wao na sasa tupo kwenye janga kuliko yote tuliyopata kukutana nayo.

Eee Mungu we saidia Taifa hili angalau liweze kuona.
 
Hata kama mambo yaliyoorodheshwa katika ile thread ya mwanzo yanaweza yakawa sio sahihi kwa 100%, lakini sio ya kuyapuuzia. Ni mambo mazito sana yanayokabili taifa letu na yanapaswa kupewa uzito unaostahili. Mambo haya yaliandikwa kama ujumbe kwa mkuu wa kitengo fulani cha usalama nchini, lakini ni mambo ambayo yanapaswa kwenda zaidi ya hapo. Nitanukuu mambo mazito matano yaliyoainishwa, na mtu inaonyesha alikuwa mtumishi wa idara ya Uslama wa Taifa.
  1. Huenda ukaumia nafsi kufahamu kuwa kuna operesheni iliandaliwa mwaka 2013 kutuma watu huku Uingereza kumdhuru Chahali. Unaweza kunihurumia baada ya kutafakari "walitaka kumuuwa kwa kosa gani hasa?"
  2. Na mwaka jana mwezi wa tano hivi Bwana Mkubwa hakupendezwa na makala flani ya Chahali katika gazeti la Raia Mwema, akamtuma poti wake (namba mbili hapo) aandae operesheni dhidi ya Chahali. Huyo poti wa Bwana nae hatosema kuwa nilimtumia barua ya kumuonya kuwa nafahamu anachopanga.
  3. Usikae kimya huku Bashite, poti wa Bwana Mkubwa, akaigeuza Idara kuwa ofisi yake binafsi. Akaitumia kwa maslahi yake binafsi.
  4. Usikae kimya huku maafisa wa idara ya nchi jirani wanaichezea Idara yetu tukufu kwa vile tu Bwana Mkubwa ni anapelekeshwa na kiongozi wa nchi hiyo, jasusi mzoefu ambaye yeye na kitengo cha nchi hiyo wana "kompromat" (compromising information) kuhusu Bwana Mkubwa na wanaitumia kama leverage (kama picha la Putin na Trump)
  5. Usikae kimya wakati unafahamu kuhusu kinachoitwa "Kikosi Maalum" ambacho kinafanya kila baya dhidi ya watu ambao aidha Bwana Mkubwa hawapendi au mwanae Bashite anataka kuwakomoa. Hicho "Kikosi Maalum" ni sawa na Idara nje ya Idara. Neno la kitaalam ni rogue element, na kamwe usiruhusu kitu hicho.
Sasa haya mambo matano ni mazito na ya kutisha sana kama ni kweli yanatokea katika nchi yetu. Kumbuka kwamba hayo mambo matano yanasemwa na mtu ambaye inaonekana alikuwa sehemu ya chombo cha usalama wa taifa. Si rahisi yawe ya kujitungia, au kutafuta kiki kama wengi wanavyosema. Yamesemwa na mtu ambaye inaonekana sio tu ana ufahamu wa ndani, bali pia ana hasira, na yuko desparate kwa kuwa maisha yake yako hatarini, hivyo kaamua kusema wazi aidha kama retaliatory measure au kama namna fulani ya kujihifadhi.

Sasa nini implications za haya yaliyosemwa? Kwa maoni yangu haya yaliyosemwa yanamaanisha kwamba;
  1. Tanzania kimeundwa "Kikosi Maalum" kwa ajili ya watu ambao wanamkorofishahuyo aliyeitwa "Bwana Mkuu". Hii sasa huenda ikatoa majibu kwa watu ambao wamekuwa wakitekwa na kupotea pamoja na kuuwawa. Huenda ikatoa jibu kuwa wale watu "Wasijulikana" ni kina nani, na kwamba ni kikosi maalum, "rogue element" kinachofanya kwa maagizo ya "Bwana Mkubwa" ili ku "eliminate" watu wanaoonekana kuwa ni tatizo katika nchi hii. Huenda ikatoa jibu juu ya kauli zilizowahi kutolewa kwamba huwezi ukawa tatizo nchini tukakuacha tu uendelee kuwapo! Huenda ikatoa jibu jibu nani alihusika na jaribio la mauaji ya Lissu, nk!
  2. Tanzania huwa inatuma vikosi vya maujaji kwenda nje kuwashughulikia watu ambao wanaonekana ni tatizo kwa uongozi uliopo madarakani
  3. Idara ya Usalama wa Taifa imekuwa compromised, na haifanyi tena kazi kama taasisi ya taifa kwa manufaa ya taifa bali imebinafsishwa na baadhi ya watu nchini na kutumika kwa manufaa binafsi ya hao watu wachache
  4. Kwamba uongozi wetu wa juu nchini, huyo "Bwana Mkubwa" aliyetajwa, umekuwa compromised na nchi jirani na sasa unafanya kazi katika mazingira ya kuwa "blackmailed". Inamaanisha uongozi wetu hauna sauti tena na uhuru wa kufanya dhidi ya jambo lolote linalofanywa na nchi jirani au litakaloathiri hiyo nchi jirani. Athari ya hili ni kubwa sana, inaweza hata kutia ndani usalama wa majeshi yetu (JWTZ) huko DRC. Huenda inatoa jibu kwa nini hadi sasa hii nchi jirani inatuhumiwa kuua zaidi ya raia 50 kule Kagera na serikali yetu imekaa kimya juu ya hili bila kufanya kitu au hata kutoa tamko. Ni juzi tu hapa Kigwangwala ndio alitoa tamko la hasira juu ya jambo hili.
Ndugu zangu Watanzania, bila kujali ni nani ameandika haya mambo, au historia yake ni nini, kuna mambo mazito sana hapa ambayo kila Mtanzania mwenye akili anapaswa kuogopa na kutafakari sana. Inaonekana nchi iko hatarini sana kuisalama kuliko ilivyowahi kutokea tangu tupate uhuru.

Rai yangu ni kwa wabunge, wakuu wa majeshi, na kila aina ya mtazania anayeweza kufanya kitu kuhusu jambo hili kutolipuuzia kwa kudhani kwamba yeye hahusiki. Ni lazima jambo hili lipewe uchunguzi unaostahili. Najua kwamba kama hizi tuhuma ni kweli, basi kushughulikia jambo hili inahitaji ujasiri na moyo mkuu, hasa kama kuna "Kikosi Maalum".

Desparate measures zinahitajika hapa kwa kuwa nchi yetu iko kwenye desparate times.
Sio...kila atakalokuambia aliyewahi kuwa jambazi pasi ni la kulifuatilia.
Anaweza kutunga kitu kinachofanana na ukweli
Kimbuka kanuni za walinzi....wa upande ule wanatumia....ukweli kidogo uongo mwingi
 
Hatua stahiki zichukuliwe ili kunusuru taifa letu, hatuwezi kusonga mbele kama taifa ikiwa hatuna uhakika na usalama wetu, muhimu ni kuepuka propaganda za kichama na kusimama kama watanzania kwasababu mambo yakiharibika hapa hayaharibiki kwa watu wa mrengo fulani tu, yanaharibika kwetu sote,tusimame imara kuilinda nchi yetu kwasababu ndio urithi pekee tulioachiwa na wazee wetu.
 
Hata kama mambo yaliyoorodheshwa katika ile thread ya mwanzo yanaweza yakawa sio sahihi kwa 100%, lakini sio ya kuyapuuzia. Ni mambo mazito sana yanayokabili taifa letu na yanapaswa kupewa uzito unaostahili. Mambo haya yaliandikwa kama ujumbe kwa mkuu wa kitengo fulani cha usalama nchini, lakini ni mambo ambayo yanapaswa kwenda zaidi ya hapo. Nitanukuu mambo mazito matano yaliyoainishwa, na mtu inaonyesha alikuwa mtumishi wa idara ya Uslama wa Taifa.
  1. Huenda ukaumia nafsi kufahamu kuwa kuna operesheni iliandaliwa mwaka 2013 kutuma watu huku Uingereza kumdhuru Chahali. Unaweza kunihurumia baada ya kutafakari "walitaka kumuuwa kwa kosa gani hasa?"
  2. Na mwaka jana mwezi wa tano hivi Bwana Mkubwa hakupendezwa na makala flani ya Chahali katika gazeti la Raia Mwema, akamtuma poti wake (namba mbili hapo) aandae operesheni dhidi ya Chahali. Huyo poti wa Bwana nae hatosema kuwa nilimtumia barua ya kumuonya kuwa nafahamu anachopanga.
  3. Usikae kimya huku Bashite, poti wa Bwana Mkubwa, akaigeuza Idara kuwa ofisi yake binafsi. Akaitumia kwa maslahi yake binafsi.
  4. Usikae kimya huku maafisa wa idara ya nchi jirani wanaichezea Idara yetu tukufu kwa vile tu Bwana Mkubwa ni anapelekeshwa na kiongozi wa nchi hiyo, jasusi mzoefu ambaye yeye na kitengo cha nchi hiyo wana "kompromat" (compromising information) kuhusu Bwana Mkubwa na wanaitumia kama leverage (kama picha la Putin na Trump)
  5. Usikae kimya wakati unafahamu kuhusu kinachoitwa "Kikosi Maalum" ambacho kinafanya kila baya dhidi ya watu ambao aidha Bwana Mkubwa hawapendi au mwanae Bashite anataka kuwakomoa. Hicho "Kikosi Maalum" ni sawa na Idara nje ya Idara. Neno la kitaalam ni rogue element, na kamwe usiruhusu kitu hicho.
Sasa haya mambo matano ni mazito na ya kutisha sana kama ni kweli yanatokea katika nchi yetu. Kumbuka kwamba hayo mambo matano yanasemwa na mtu ambaye inaonekana alikuwa sehemu ya chombo cha usalama wa taifa. Si rahisi yawe ya kujitungia, au kutafuta kiki kama wengi wanavyosema. Yamesemwa na mtu ambaye inaonekana sio tu ana ufahamu wa ndani, bali pia ana hasira, na yuko desparate kwa kuwa maisha yake yako hatarini, hivyo kaamua kusema wazi aidha kama retaliatory measure au kama namna fulani ya kujihifadhi.

Sasa nini implications za haya yaliyosemwa? Kwa maoni yangu haya yaliyosemwa yanamaanisha kwamba;
  1. Tanzania kimeundwa "Kikosi Maalum" kwa ajili ya watu ambao wanamkorofishahuyo aliyeitwa "Bwana Mkuu". Hii sasa huenda ikatoa majibu kwa watu ambao wamekuwa wakitekwa na kupotea pamoja na kuuwawa. Huenda ikatoa jibu kuwa wale watu "Wasijulikana" ni kina nani, na kwamba ni kikosi maalum, "rogue element" kinachofanya kwa maagizo ya "Bwana Mkubwa" ili ku "eliminate" watu wanaoonekana kuwa ni tatizo katika nchi hii. Huenda ikatoa jibu juu ya kauli zilizowahi kutolewa kwamba huwezi ukawa tatizo nchini tukakuacha tu uendelee kuwapo! Huenda ikatoa jibu jibu nani alihusika na jaribio la mauaji ya Lissu, nk!
  2. Tanzania huwa inatuma vikosi vya maujaji kwenda nje kuwashughulikia watu ambao wanaonekana ni tatizo kwa uongozi uliopo madarakani
  3. Idara ya Usalama wa Taifa imekuwa compromised, na haifanyi tena kazi kama taasisi ya taifa kwa manufaa ya taifa bali imebinafsishwa na baadhi ya watu nchini na kutumika kwa manufaa binafsi ya hao watu wachache
  4. Kwamba uongozi wetu wa juu nchini, huyo "Bwana Mkubwa" aliyetajwa, umekuwa compromised na nchi jirani na sasa unafanya kazi katika mazingira ya kuwa "blackmailed". Inamaanisha uongozi wetu hauna sauti tena na uhuru wa kufanya dhidi ya jambo lolote linalofanywa na nchi jirani au litakaloathiri hiyo nchi jirani. Athari ya hili ni kubwa sana, inaweza hata kutia ndani usalama wa majeshi yetu (JWTZ) huko DRC. Huenda inatoa jibu kwa nini hadi sasa hii nchi jirani inatuhumiwa kuua zaidi ya raia 50 kule Kagera na serikali yetu imekaa kimya juu ya hili bila kufanya kitu au hata kutoa tamko. Ni juzi tu hapa Kigwangwala ndio alitoa tamko la hasira juu ya jambo hili.
Ndugu zangu Watanzania, bila kujali ni nani ameandika haya mambo, au historia yake ni nini, kuna mambo mazito sana hapa ambayo kila Mtanzania mwenye akili anapaswa kuogopa na kutafakari sana. Inaonekana nchi iko hatarini sana kuisalama kuliko ilivyowahi kutokea tangu tupate uhuru.

Rai yangu ni kwa wabunge, wakuu wa majeshi, na kila aina ya mtazania anayeweza kufanya kitu kuhusu jambo hili kutolipuuzia kwa kudhani kwamba yeye hahusiki. Ni lazima jambo hili lipewe uchunguzi unaostahili. Najua kwamba kama hizi tuhuma ni kweli, basi kushughulikia jambo hili inahitaji ujasiri na moyo mkuu, hasa kama kuna "Kikosi Maalum".

Desparate measures zinahitajika hapa kwa kuwa nchi yetu iko kwenye desparate times.

PK akishafanikiwa kuitumbukiza kwenye machafuko kupitia hicho kikaragosi, atajitwalia rasimali kama anavyotaka!! Ngoma ikilia sana, inaelekea ukingoni. God forbid!! Na muda sio mrefu utawala utahitilafiana tu...
 
Wakati mkuu unajaribu kuonya na kuhitaji mjadala wenye mawazo huru kwa suala nyeti kama hili cha ajabu huu uzi ukifikisha wachangiaji zaidi ya 15 utaona vituko na logic za ajabu za uchama na wanachama wa vile vyama pinzania wakianza balaa lao humu..

Pamoja na yoote hoja ni muhimu sana kuzingatiwa na Watanzania tuijadili na kuifikiria kwa mapana sana ili tusije kuwa na mwisho mbaya, kelele za wafia vyama kama sio wafia chama ni hatari sana kwa sasa kwa usalama wa nchi hii maana hata wale maadui kwa sasa wanapitia njia hiyo hiyo kutuzuga na ndio maana mpaka leo utasikia watanzania kuna wanaojiita Wazalendo na wapenda maendeleo na kuwaona wenzao sio wazalendo lakini ukizama kiundani juu ya hii dhana utagundua ni propaganda iliyopandwa kwenye akili za wasiojitambua ili mwisho wa siku adui afanikiwe.. immediate measures and actions needed in this scenario for majority interest. ZZK aligusia suala la kuvunjwa kwa TISS na iundwe upya kwa namna nyingine, binafsi naona moja ya muundo wake uwe mbali kabisa na siasa na wanasiasa maana tayari CCM walishafanya makosa kwa kuiacha hii taasisi iwe kama chombo cha kisiasa kwa manufaa ya CCM lakini kumbe ndio tulikuwa tunajitengenezea kabuli letu wenyewe..

Ni wakati sasa wa Serikali au CCM kujifunza na kuziweka mbali taasisi za usalama na ulinzi na siasa na kuwafanya wananchi wawe huru kuamua na taasisi za usalama zibaki kuangalia na kulinda amani na kudeal sana na maslahi ya Taifa na sio chama.. Vyombo vya usalama vyenyewe vibaki kutii mamlaka itakayochaguliwa na wananchi kwa maana ya kuilinda lakini vyenyewe vikiwa na mifumo au policy zake nyeti zenye maslahi kwa Taifa na sio interest za chama kilichopo madaraka.. Ni wakati sasa wa vyombo vya usalama kuwa na nguvu au uwezo wa kumtoa madarakani yeyote yule ambaye anaharibu au anaangamiza maslahi ya nchi bila kuangalia chama kwa maana ya mlengo ila cha muhimu iwe maslahi ya Taifa na sio unafiki, maana nina uhakika hivi vyombo kwa 100% vinajua maslahi ya taifa na nani msaliti na sio kufanya kazi kwa amri za wanasiasa..
Great... Respect!!
 
Hata kama mambo yaliyoorodheshwa katika ile thread ya mwanzo yanaweza yakawa sio sahihi kwa 100%, lakini sio ya kuyapuuzia. Ni mambo mazito sana yanayokabili taifa letu na yanapaswa kupewa uzito unaostahili. Mambo haya yaliandikwa kama ujumbe kwa mkuu wa kitengo fulani cha usalama nchini, lakini ni mambo ambayo yanapaswa kwenda zaidi ya hapo. Nitanukuu mambo mazito matano yaliyoainishwa, na mtu inaonyesha alikuwa mtumishi wa idara ya Uslama wa Taifa.
  1. Huenda ukaumia nafsi kufahamu kuwa kuna operesheni iliandaliwa mwaka 2013 kutuma watu huku Uingereza kumdhuru Chahali. Unaweza kunihurumia baada ya kutafakari "walitaka kumuuwa kwa kosa gani hasa?"
  2. Na mwaka jana mwezi wa tano hivi Bwana Mkubwa hakupendezwa na makala flani ya Chahali katika gazeti la Raia Mwema, akamtuma poti wake (namba mbili hapo) aandae operesheni dhidi ya Chahali. Huyo poti wa Bwana nae hatosema kuwa nilimtumia barua ya kumuonya kuwa nafahamu anachopanga.
  3. Usikae kimya huku Bashite, poti wa Bwana Mkubwa, akaigeuza Idara kuwa ofisi yake binafsi. Akaitumia kwa maslahi yake binafsi.
  4. Usikae kimya huku maafisa wa idara ya nchi jirani wanaichezea Idara yetu tukufu kwa vile tu Bwana Mkubwa ni anapelekeshwa na kiongozi wa nchi hiyo, jasusi mzoefu ambaye yeye na kitengo cha nchi hiyo wana "kompromat" (compromising information) kuhusu Bwana Mkubwa na wanaitumia kama leverage (kama picha la Putin na Trump)
  5. Usikae kimya wakati unafahamu kuhusu kinachoitwa "Kikosi Maalum" ambacho kinafanya kila baya dhidi ya watu ambao aidha Bwana Mkubwa hawapendi au mwanae Bashite anataka kuwakomoa. Hicho "Kikosi Maalum" ni sawa na Idara nje ya Idara. Neno la kitaalam ni rogue element, na kamwe usiruhusu kitu hicho.
Sasa haya mambo matano ni mazito na ya kutisha sana kama ni kweli yanatokea katika nchi yetu. Kumbuka kwamba hayo mambo matano yanasemwa na mtu ambaye inaonekana alikuwa sehemu ya chombo cha usalama wa taifa. Si rahisi yawe ya kujitungia, au kutafuta kiki kama wengi wanavyosema. Yamesemwa na mtu ambaye inaonekana sio tu ana ufahamu wa ndani, bali pia ana hasira, na yuko desparate kwa kuwa maisha yake yako hatarini, hivyo kaamua kusema wazi aidha kama retaliatory measure au kama namna fulani ya kujihifadhi.

Sasa nini implications za haya yaliyosemwa? Kwa maoni yangu haya yaliyosemwa yanamaanisha kwamba;
  1. Tanzania kimeundwa "Kikosi Maalum" kwa ajili ya watu ambao wanamkorofishahuyo aliyeitwa "Bwana Mkuu". Hii sasa huenda ikatoa majibu kwa watu ambao wamekuwa wakitekwa na kupotea pamoja na kuuwawa. Huenda ikatoa jibu kuwa wale watu "Wasijulikana" ni kina nani, na kwamba ni kikosi maalum, "rogue element" kinachofanya kwa maagizo ya "Bwana Mkubwa" ili ku "eliminate" watu wanaoonekana kuwa ni tatizo katika nchi hii. Huenda ikatoa jibu juu ya kauli zilizowahi kutolewa kwamba huwezi ukawa tatizo nchini tukakuacha tu uendelee kuwapo! Huenda ikatoa jibu jibu nani alihusika na jaribio la mauaji ya Lissu, nk!
  2. Tanzania huwa inatuma vikosi vya maujaji kwenda nje kuwashughulikia watu ambao wanaonekana ni tatizo kwa uongozi uliopo madarakani
  3. Idara ya Usalama wa Taifa imekuwa compromised, na haifanyi tena kazi kama taasisi ya taifa kwa manufaa ya taifa bali imebinafsishwa na baadhi ya watu nchini na kutumika kwa manufaa binafsi ya hao watu wachache
  4. Kwamba uongozi wetu wa juu nchini, huyo "Bwana Mkubwa" aliyetajwa, umekuwa compromised na nchi jirani na sasa unafanya kazi katika mazingira ya kuwa "blackmailed". Inamaanisha uongozi wetu hauna sauti tena na uhuru wa kufanya dhidi ya jambo lolote linalofanywa na nchi jirani au litakaloathiri hiyo nchi jirani. Athari ya hili ni kubwa sana, inaweza hata kutia ndani usalama wa majeshi yetu (JWTZ) huko DRC. Huenda inatoa jibu kwa nini hadi sasa hii nchi jirani inatuhumiwa kuua zaidi ya raia 50 kule Kagera na serikali yetu imekaa kimya juu ya hili bila kufanya kitu au hata kutoa tamko. Ni juzi tu hapa Kigwangwala ndio alitoa tamko la hasira juu ya jambo hili.
Ndugu zangu Watanzania, bila kujali ni nani ameandika haya mambo, au historia yake ni nini, kuna mambo mazito sana hapa ambayo kila Mtanzania mwenye akili anapaswa kuogopa na kutafakari sana. Inaonekana nchi iko hatarini sana kuisalama kuliko ilivyowahi kutokea tangu tupate uhuru.

Rai yangu ni kwa wabunge, wakuu wa majeshi, na kila aina ya mtazania anayeweza kufanya kitu kuhusu jambo hili kutolipuuzia kwa kudhani kwamba yeye hahusiki. Ni lazima jambo hili lipewe uchunguzi unaostahili. Najua kwamba kama hizi tuhuma ni kweli, basi kushughulikia jambo hili inahitaji ujasiri na moyo mkuu, hasa kama kuna "Kikosi Maalum".

Desparate measures zinahitajika hapa kwa kuwa nchi yetu iko kwenye desparate times.
duh mbona sasa hii ni hatari kuliko hatar yenyewe
 
Nilitaka kuandika kama hivi lakini wewe umeandika kwa usahihi zaidi yaani anachojaribu kutwambia chahali ni kuwa tumeupoteza uhuru wetu uliopiganiwa kwa damu na jasho kuanzia akina mkwawa hadi Nyerere,kosa kubwa tulilolifanya ni kumuamini mtu mmoja badala ya taasisi na wenzetu wameliona wamewekeza kwa mtu wao na sasa tupo kwenye janga kuliko yote tuliyopata kukutana nayo
Eee Mungu we saidia Taifa hili angalau liweze kuona
mkuu kweli kabisa.nakumbuka huko nyuma miaka.mingi sana imeshapita. nilisoma hii mission kupitia gazeti la rai la wakati ule kwamba USA wanamwandaa raisi wa nchi moja ya jirani ili wazitawale nchi zote kwa maana ya kumiliki mali kwenye great lake region.kwa maelezo ya bwana chahali na yako nimeweza kuunganisha japo dot kidogo kwa mbaali naona uhalisia wa makala yale
 
Bravo brother, Nina uhakika kitengo kipo kazini, ndio maana sasa tunajua kuwa "Mkuu" keshakuwa compromised na "Kuu" la majasusi la nchi jirani. Vilele tumeshapewa clue ya nani ni kiongozi wa kundi la watu wasiojulikana- kuanzisha idara nje ya idara- ili kutenda uovu, na huenda kitengo hiki kilicho nje ya idara kinaratibiwa na majasusi kutoka nchi hiyo ya jirani. Watanzania tuwe macho, hatupo salama tena. Ahsanteni kitengo kwa kutujulisha mustakabali wa nchi ulivyo kwa hivi sasa. Nendeni mbele kuhakikisha kuwa mwisho wa Bashite na his rogue group umefika, mfikisheni kwenye vyombo vya sheria kwani ushahidi mnao.
Vyombo vipi vya sheria mkuu. Mimi sitaki kuamini kwamba tumefika mahala pa kuingiliwa na watu wa nje. Na kama tumefika huko basi hali ni tete kwa kweli.
 
Back
Top Bottom