Mahakama ikisema wakina Mdee siyo wanachama wa CHADEMA na wala siyo wabunge wapo watu nimewasikia wakitafakari kuwafungulia mashtaka ya wizi wa mali za umma.
Maamuzi yakumweka Ndugai safe na...
Waziri wa Madini ambaye pia ni Mbunge wa Dodoma Mjini (CCM), Anthony Mavunde amemuomba Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi wa chama hicho Paul Makonda kumfikikisha ujumbe kwa Rais Samia Suluhu Hassan...
Naona mnataka kujitoa fahamu na kutaka kupindisha maana.
Mnataka kuficha ukweli kuwa Mbowe ni kibaraka wa CCM?
Hamjui kuwa Lipumba ni kibaraka wa CCM?
Zitto Kabwe ni kada wa CCM.
Mtoa taarifa...
Leo ninaandika nikiwa na mawazo mengi sana mchanganyiko. Kwanza nimeshtushwa na hili ongezeko la watu wanaoniita Anko/Mjomba badala ya kaka. Hii inaashiria nini kwa mimi kijana mdogo wa CCM mwenye...
Unguja. Serikali ya awamu ya nane inayoongozwa na Rais Dk Hussein Mwinyi inatekeleza miradi yake kupitia ilani ya Chama cha Mapinduzi (CCM).
Wakati leo Rais Mwinyi akitimiza miaka mitatu...
Shirika la umeme Tanzania (TANESCO) lina mpango wa kujenga kituo kidogo cha umeme (Switching Station) kwenye Wilaya ya Ushetu eneo la Nyamirangano ili kuboresha hali ya upatikanaji wa umeme...
Juzi alikuja rais wa shirikisho la Ujerumani Frank-Walter Steinmeier kutembelea nchi yetu kwa siku 3, wakati huo huo mfalme wa Uingereza Charles wa III aliitembelea nchi ya Kenya.
Ukilinganisha...
Ukihitaji salamu subiri kwanza nizeeke,tofauti na hapo utaula wa chuya!
"Watu wanaopaswa kufa kwenye hii nchi ni wengi kuliko walio hai"
Hii nchi ya Tanzania bila kuwa na kiongozi...
Makamu Mwenyekiti wa Chadema mh Tundu Lisu amesema Machawa yapo kila sehemu hadi ndani ya Chadema na hicho ndio Kinauwa Chama
Lisu ameonekana kukerwa sana na Uwepo wa Chawa Chadema
Chanzo: Jambo TV
Chama Kikuu cha Upinzani nchini Afrika Kusini - Economic Freedom Fighters (EFF) Leo wanatimiza miaka 10 toka kuanzishwa kwake. CHADEMA mna ya kujifunza hapa.
Katibu Mkuu wa Wizara ya Uchukuzi Profesa Godius Kahyrara, amesema Serikali ya Tanzania kwa kushirikiana Serikali ya China, zinatarajia kuliboresha Shirika la Reli la Tanzania na Zambia (Tazara)...
Hivi karibuni kauli ya Paul Makonda imedhihirisha katika ukandamizaji wa Uhuru wa Kujieleza nchini baada ya kusema wastaafu hawaruhusiwi kutoa maoni.
Wastaafu wana haki ya kutoa maoni yao kama...
PAUL MAKONDA ANATUKUMBUSHA KUWA CCM NI KUBWA KULIKO SERIKALI
Katibu wa itikadi na uenezi wa Chama Cha Mapinduzi Ndugu Paul Christian Makonda anafanya kazi nzuri sana ambayo kila mwana CCM na...
Msemaji wa Jeshi la Polisi Kamishna Misiime amesema Jeshi lake limeanza Uchunguzi wa Kifo cha mwanafunzi wa UDOM Nusura Hassan kilichotokea mkoani Kilimanjaro
Kamanda amesema tukio hilo limezua...
Fuatilia yanayojiri kwenye Bunge la 12, Mkutano wa 13, Kikao cha 3, leo Novemba 2, 2023.
https://www.youtube.com/live/Px2Csdrfk20?si=ydhC7gCMmMBrjxso
===
TAARIFA YA KAMATI KUHUSU RIPOTI ZA...
Tena Wananchi walipolalamika wanasumbuliwa na TRA pale Migoli Komredi Makonda akamuagiza mkuu wa mkoa Rose Senyamule ampigie Simu Kamishna mkuu wa TRA mh Kidata Ili amuhoji mbele ya wale Wananchi...
Mbunge wa viti maalumu mh Conjesta amemtaka Waziri wa Fedha kuacha kuwapunguzia Malengo ya Makusanyo ya Ushuru Halmashauri mbalimbali kwani Tabia hiyo inatengeneza Taifa Maskini na tegemezi...
Fact-Check ,Fact-Check Kuhusu Migogoro Ardhi.
Kwenda kwa Muenezi wa Matamko Bwana Ndug.Paul Makonda.
Bwana Muenezi Mtoa Matamko umetoa tamko Kwaniaba ya chama kumpa Waziri Mkuu miezi 6...
Huyu rais na mwenyekiti wa CCM ni kwamba kuna watu wanamwendesha km gari bovu au ni akili yake. Km ni kuendeshwa kwanini akubali akili zake hazimtoshi?
Aibu atakayoipata kumteua huyu bwana...
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa ziara ya kitaifa nchini India tarehe 9 Oktoba, 2023.
https://www.youtube.com/live/4CCyGB0ET68?si=SxgeV7L3rZnjBpLi
===
Rais...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.