Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Tunaishukuru Serikali kwa kusikia kilio cha Wananchi na hatimaye kuweza kuagiza sukari toka nje ya nchi kufidia upungufu uliojitokeza. Ninaishauri Serikali kuwa sukari yote iliyoagizwa kwanza...
2 Reactions
3 Replies
555 Views
Mungu wa Mbinguni ibariki CCM 5/2/1977 Kwaya ya Wanafunzi Milongo Primary School Mwanza 😂😂😂😂😂🔥
1 Reactions
23 Replies
1K Views
Mwenezi wa CCM Paul Makonda ameendelea kukiwasha huko Katavi akisema ccm haitavumia Wala kukubaki uzembe wa viongozi au Watendaji wa Serikali ambao hawatimizi wajibu wao na kwamba hawako tayari...
1 Reactions
20 Replies
2K Views
HERI YA MIAKA 47 YA KUZALIWA KWA CCM Historia inaturudisha nyuma tarehe 5 Februari, 1977 baada ya kuungana kwa Vyama vya Tanganyika African National Uniona (TANU) kilichokuwa kikitawala Tanzania...
1 Reactions
10 Replies
829 Views
Samahani Kamanda Tundu Lisu nimekusikia ukisema kupitia Maridhiano mlikubaliana Kesi za Mchongo zote zifutwe na wewe binafsi umeshafutiwa Kesi 6 Ndio nauliza Kesi ya yule dogo Sanga ni miongoni...
0 Reactions
1 Replies
425 Views
Bodaboda wanafanya yafuatayo bila kukamatwa: 1. Hawasimami wala kupunguza mwendo kokote iwe njia ya makutano, zebra, ama gari linaingia barabarani na limeonyesha ishara ya taa. 2. Police...
0 Reactions
1 Replies
501 Views
Waswahili walisema msafiri alikiri "mwenda pole hajikwai" alaa akijikwaa haanguki na kama akianguka kuumia kwake ni kidogo tu. Usemi huu ni matokeo ya uzoefu wa safari ndefu ya maisha ya babu...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Viongozi wa CHADEMA wanakosa sifa ya kuaminika kwa umma kama chama mbadala. Wametanguliza maslahi binafsi kuliko ya wanachama wao. Kwenye masala ya Fedha CHADEMA hawajawahi kuwa wawazi. Hii ni...
1 Reactions
24 Replies
1K Views
Katibu wa Itikadi na Uenezi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Paul Makonda amemtaka Afisa Madini Mkoa wa Katavi, Mhandisi Andrew Mwalugaja kuhakikisha anafuata sheria na taratibu za kuhakikisha utoaji...
1 Reactions
3 Replies
960 Views
Sijui hawaoni - kila siku ninaulizia maduka niliyoyazoea ninaambiwa haijaja. Nikienda maduka ambayo sijayazoea bei bado ipo juu. Nimekuwa wa kununua nusu kilo au kilo moja kwa matumaini labda...
1 Reactions
13 Replies
1K Views
Tunapoelekea kwenye uchaguzi wa 2024 na 2025, inaonekana Kuna mbinu ambazo Samia amezitumia ili kushinda huo uchaguzi. 1. Strategy ya kisheria, Muswada wa Tume Huru ya Uchaguzi feki: Ili kupata...
16 Reactions
53 Replies
3K Views
KINANA AITAKA CHADEMA KUTHAMINI NIA NJEMA YA RAIS SAMIA KATIKA MARIDHIANO Na Mwandishi Wetu MAKAMU Makamu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Tanzania Bara Abdulrahman Kinana, amesema nia njema...
1 Reactions
26 Replies
2K Views
Wananchi na Wanachama wa Chama cha Mapinduzi Mkoa wa Songwe wanatarajia kumpokea Katibu Mwenezi Taifa ndugu Makonda kuanzia hapo kesho tarehe 06/03-2024. Ukiwa kama mkazi wa Mkoa huu wenye fursa...
1 Reactions
1 Replies
602 Views
Na Thadei Ole Mushi. Wizara imetoa taarifa kwa Umma kuhusu kuahirishwa kwa match ya Simba na Yanga. Kwenye taarifa hiyo wameorodhesha mambo waliyojadili na kukubaliana. 1. Match hiyo irudiwe...
6 Reactions
18 Replies
1K Views
Mwanasiasa Lengai Ole Sabaya ambaye alikuwa Mkuu wa Wilaya ya Hai, amewaomba msamaha wote aliwakosea na kusema amewasamehe wale wote waliomkosea. Amesema hayo katika Kanisa la Ebenezer...
2 Reactions
34 Replies
3K Views
Salaam, Shalom, Itakumbukwa kuwa, uteuzi wa Katibu Mwenezi wa CCM, ulifanyika siku ya utiaji Saini kati ya Serikali na Kampuni ya DP World, hatujasahau Bado!!! Hivi sasa tunaona ziara na...
1 Reactions
12 Replies
963 Views
Hapa JF Mhe. Dkt. Dorothy Gwajjma ndiye Waziri pekee aliyeactive na humble hivyo sina shaka utanipa majibu. Toka uhuru hadi sasa: Umeme, Maji, Mahospitali, Barabara, Madarasa, Vipato vya watu...
0 Reactions
5 Replies
653 Views
Mkuu wa Wilaya ya Mjini AMBAE pia ni Mwenyekiti wa Kamati ya Ulinzi na Usalama wa Wilaya ya Mjini amepiga marufuku Kwa Watu wa jamii ya kimasai kutembea na SIME na RUNGU Kwa hofu ya uvunjifu wa...
9 Reactions
65 Replies
7K Views
Kwenye hii dunia ili ushindane na mzungu inahitaji uwe na akili kubwa sana ya kufikiria mbali ukishindana na mzungu kwa hisia ni swala la mda tu utaumia sana RAIS Magufuli alitumia hisia...
23 Reactions
178 Replies
10K Views
Ni Jumatatu Nyingine Mahususi kabisa ambayo ni ya kwanza kwa mwezi huu wa February wa mwaka 2024.Nikiwa hapa Ofisini kwangu na mshahara ukiwa bado haujatoka. Pamoja na andiko hili naambatanisha...
1 Reactions
1 Replies
469 Views
Back
Top Bottom