Lyambalyetu
JF-Expert Member
- Apr 6, 2021
- 265
- 241
Nilishangaa sana kumsikia anawasema wapinzani. Kwa nafasi alizoshika siku zote niliona akiwakosoa na kuwaelekeza wa chama chake. Jana kumsikia anawaongelea CHADEMA kwa kweli nimeshangaa sana sana!
akakulisha za uso chapchap 🐒Nilishangaa sana kumsikia anawasema wapinzani. Kwa nafasi alizoshika siku zote niliona akiwakosoa na kuwaelekeza wa chama chake. Jana kumsikia anawaongelea CHADEMA kwa kweli nimeshangaa sana sana!
Mimi naona kama amejiaibisha tu kuna vitu afadhali ukae kimya tu unadhani kusema kuwa CDM wamepewa 2.7bilioni ni fedhaha kwa chama mbona nyiye mmepata marakumi zaidi ya chadema.Nilishangaa sana kumsikia anawasema wapinzani. Kwa nafasi alizoshika siku zote niliona akiwakosoa na kuwaelekeza wa chama chake. Jana kumsikia anawaongelea CHADEMA kwa kweli nimeshangaa sana sana!
Laana ya temboNilishangaa sana kumsikia anawasema wapinzani. Kwa nafasi alizoshika siku zote niliona akiwakosoa na kuwaelekeza wa chama chake. Jana kumsikia anawaongelea CHADEMA kwa kweli nimeshangaa sana sana!
Mkuu, kauli ya CDF kuhusu wakimbizi inampa wenge.Nilishangaa sana kumsikia anawasema wapinzani. Kwa nafasi alizoshika siku zote niliona akiwakosoa na kuwaelekeza wa chama chake. Jana kumsikia anawaongelea CHADEMA kwa kweli nimeshangaa sana sana!
Mungu ameondoa kauli za kiuongozo kwenye vinywa vya watawala.Nilishangaa sana kumsikia anawasema wapinzani. Kwa nafasi alizoshika siku zote niliona akiwakosoa na kuwaelekeza wa chama chake. Jana kumsikia anawaongelea CHADEMA kwa kweli nimeshangaa sana sana!
Mheshimiwa Waziri Mkuu wa Israel, tunakukaribisha sana Tanzania utusaidie kutuondolea magaidi ya kijani kama unavyowqfanya HAMAS. Tunaomba operation ihamie Tanzania.Ukitaka kujua hajazeeka mwambie nimepita sehemu fulani nimekuta kundi la tembo kama 45, then urudi baada ya siku 2 kama utawakuta tena hao tembo.
Hahaaaa yaani hata yeye akikaa na kutuloza akili kisha asome alichoandika. Hawezi kuelewa ameandika nini.UTOTO RAHA SANA.
Uhuru wa kuandika JF
Uwe na Mipaka.
Mtu anaandika kisichoeleweka kabisa.
ZERO.
Katika kipindi cha miaka 3 Chadema imepata b 2.7 na CCM imepata b 47.88 bado anaionea wivu Chadema huyu atakuwa mchawi kabisa.Mimi naona kama amejiaibisha tu kuna vitu afadhali ukae kimya tu unadhani kusema kuwa CDM wamepewa 2.7bilioni ni fedhaha kwa chama mbona nyiye mmepata marakumi zaidi ya chadema.
Nilishangaa sana kumsikia anawasema wapinzani. Kwa nafasi alizoshika siku zote niliona akiwakosoa na kuwaelekeza wa chama chake. Jana kumsikia anawaongelea CHADEMA kwa kweli nimeshangaa sana sana!
HahahahaMheshimiwa Waziri Mkuu wa Israel, tunakukaribisha sana Tanzania utusaidie kutuondolea magaidi ya kijani kama unavyowqfanya HAMAS. Tunaomba operation ihamie Tanzania.
Kbsa yaani nasikia umeamishia familia yake CanadaMsomali hana uchungu na nchi hii, hata kikinuka atasepa kwenda kwingine (maana kwao Somalia hakukaliki).
Basi andika Basi wew kinachoelewekaUTOTO RAHA SANA.
Uhuru wa kuandika JF
Uwe na Mipaka.
Mtu anaandika kisichoeleweka kabisa.
ZERO.