Elli
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 55,505
- 86,054
Kongole kwa Serikali sikivu, imetukumbuka kwenye Kutii kiu yako slogan! Na wapenguza pakubwa kweli kwa Vinywaji vyote kuanzia Wine 🍷 hadi juice 🧃.
Wanajua hii nchi kipaumbele chetu ni starehe, kwahio hawawezi kufanya KAZI masuala ya msingi kama mafuta, bei ya umeme, miundo mbinu, Ada za vyuo n.k
Aliyeshauri wapunguze Huko basi kawashauri Vibaya Sana, Vijana wanateketea kwa pombe. Punguzeni bei ya BANDO ili Vijana wengi zaidi waingie online kufanya KAZI na masomo kwa internet. Kipaumbele cha Vijana ni Elimu mtandao na KAZI mtandao sio POMBE
Wanajua hii nchi kipaumbele chetu ni starehe, kwahio hawawezi kufanya KAZI masuala ya msingi kama mafuta, bei ya umeme, miundo mbinu, Ada za vyuo n.k
Aliyeshauri wapunguze Huko basi kawashauri Vibaya Sana, Vijana wanateketea kwa pombe. Punguzeni bei ya BANDO ili Vijana wengi zaidi waingie online kufanya KAZI na masomo kwa internet. Kipaumbele cha Vijana ni Elimu mtandao na KAZI mtandao sio POMBE