Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,703
- 218,248
Taarifa ikufikie popote ulipo kwamba , Maandamano ya Amani ya kupinga Ugumu wa Maisha (kilo ya sukari tsh 6000) pamoja na Miswada mibovu ya sheria za uchaguzi Jijini Arusha , Maandalizi yake yameanza kwa kishindo.
Inaelezwa kwamba Maandamano hayo yaliyopangwa kufanyika 27/02/2024 yanatarajiwa kuvunja rekodi ya mahudhurio , baada ya Wamasai wanaotimuliwa Ngorongoro kwenye ardhi ya mababu zao kujitokeza kwa wingi kuhudhuria .
Usiondoke JF , kwa vile unauelewa uwezo wetu wa kuripoti mambo haya .
Pichani ni Mwenyekiti wa Kanda ya Kaskazini , Nabii wa Mungu Godbless Lema akiwa na Kamati yake ndogo ya Maandalizi wakipanga mikakati
Inaelezwa kwamba Maandamano hayo yaliyopangwa kufanyika 27/02/2024 yanatarajiwa kuvunja rekodi ya mahudhurio , baada ya Wamasai wanaotimuliwa Ngorongoro kwenye ardhi ya mababu zao kujitokeza kwa wingi kuhudhuria .
Usiondoke JF , kwa vile unauelewa uwezo wetu wa kuripoti mambo haya .
Pichani ni Mwenyekiti wa Kanda ya Kaskazini , Nabii wa Mungu Godbless Lema akiwa na Kamati yake ndogo ya Maandalizi wakipanga mikakati