voicer
JF-Expert Member
- Jul 13, 2020
- 5,550
- 11,879
Shirika la TANESCO limeingia mkataba wa kusimika mfumo wa kisasa wa ufanisi,wenye thamani ya dola milioni 30 za marekani na kampuni ya Mahendra kutoka India.
My take:
Hao wataalamu walipopewa nafasi ya kuongea wanasema ni pamoja na utawala pamoja na kumonitor mfumo mzima wa Tanesco kutokea satellite.
Yalee ya Net group solutions waliowahi kutupiga miaka ile ya JK.
Sasa tumeelewa maana ya kumtoa Kalemani.
Chanzo: ITV news jioni ya 09/11/2021.
My take:
Hao wataalamu walipopewa nafasi ya kuongea wanasema ni pamoja na utawala pamoja na kumonitor mfumo mzima wa Tanesco kutokea satellite.
Yalee ya Net group solutions waliowahi kutupiga miaka ile ya JK.
Sasa tumeelewa maana ya kumtoa Kalemani.
Chanzo: ITV news jioni ya 09/11/2021.