Miongoni mwa wahusika ni washauri, waratibu, waagizaji na watekelezaji wa mipango ya utekaji, uteswaji na mauaji yanayoendelea nchini katika awamu hii.
Jaribio la kumuua Mh. Tundu Lissu...
Kabla...
Meli iliyobeba makasha 225 ya kampuni ya CMA-CGM SAIGON imewasili katika bandari ya Mtwara kwa ajili ya kusafirisha shehena ya korosho ghafi katika msimu wa 2023/24.
Akizungumza leo Oktoba...
Halikuwa jambo la kiungwana. Wahusika mnisikie na kunielewa. Jana, pale Ikulu Chamwino kwenye utiaji saini mikataba mitatu ya uwekezaji katika Bandari ya Dar es Salaam kati ya Serikali/TPA na DP...
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan akishiriki Mkutano Mkuu wa Mwaka na Jukwaa la Majaji Wakuu wa Kusini na Mashariki mwa Afrika leo tarehe 23 Oktoba, 2023 jijini...
𝐓𝐔𝐉𝐄𝐍𝐆𝐄 𝐔𝐓𝐀𝐌𝐀𝐃𝐔𝐍𝐈 𝐖𝐀 𝐊𝐔𝐇𝐄𝐒𝐇𝐈𝐌𝐔 𝐌𝐀𝐖𝐀𝐙𝐎 𝐘𝐀 𝐖𝐄𝐍𝐆𝐈𝐍𝐄
Mapema kabisa naomba nitoe tahadhari, kutofautiana mawazo au maoni kwenye jambo husika/fulani ndio utambulisho wa Binadamu wenye #akili
Kama kila...
Mwenyekiti wa Chadema mh Mbowe amesema Chama chake kina Kazi kubwa ya kuwaongoza Watanzania kuitafuta Nchi ya Ahadi
Miaka 30 ya Majaribio ya CCM imetosha tuwapumzishe, amesisitiza Mbowe
Source...
Huku wakisaini waraka, Wanazuoni nchini, ambao ni Wahadhiri nguli wamelaani Vikali Occupation ya Waisrael kwa Wapalestina iliyodumu kwa miaka zaidi ya 75, inatopelekea Ghasia zisizoisha huko...
Tukiachana na mkataba wa DP world na serikali kuna mkataba wa milele kati ya Kanisa na serikali
Huu ni mkataba wa hovyo, wa kipumbavu na wa kipuuzi kupindukia yaani serikali inatoa mabilioni kila...
Tujifunze kuweka Akiba ya maneno vyeo vyetu ni mapito tu watawala wajifunze kuishi na walio chini yao vizuri.
PIA SOMA: Daniel Chongolo apendekezwa kuwa Katibu Mkuu CCM
Katibu itikadi wa Chama tawala nchini bwana Christian Makonda almaarufu pia Albert Bashite ana restriction ya kuingia nchini Marekani [emoji631] (persona non granta) kwa tuhuma za kuhujumu watu...
Mambo mengi yametajwa kuhusu mafanikio ya Mhe. Samia Suluhu Hassan katika miaka hii miwili, lakini kuna jambo kubwa sana ambalo bila kulisema hayo mengine yote ni bure na hayana maana. Ni kuhusu...
Serkali ya Kenya imetikia malalamiko ya wananchi ya kuitaka serikali kuachana na mpango wa kubinafsisha bandari ya Mombasa kwa wageni
Ikumbukwe watu wa dubai na kampuni lao la DP world kwa muda...
Mmeona leo Watanzania watawakalia kooni suala la Bandari mkaumua mutengeneze tukio la kumteua Makonda mtu mwenye kashfa za unyang'anyi na uuaji.
Ashukuriwe Mungu mmemteua kwenye mambo yahusuyo CCM...
Ndugu zangu Watanzania,
Niliwaambieni humu jukwaani siku chache zilizopita kuwa CCM imeitisha kikao cha dharura na kuwa ukiona CCM imeitisha mkutano au kikao cha dharura cha halmashauri kuu ya...
Nautafakari sana huu unabii wa Hayati Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere.
Awali tuliamini labda Mwalimu Nyerere alimaanisha hawa akina Dr. Lyatonga Mrema au Dr. Slaa au hata Mzee Lowassa kumbe siyo...
Kwema Wakuu!
Bila kujadili ubora na udhaifu wao yaani Makonda na Januari. Kitu pekee ambacho nimekiona ni kuwa Wananyota Kali Sana.
Moja ya dalili ambayo itakuonyesha wewe au mtu fulani ananyota...
Amani iwe nanyi
Leo Rais wa JMT amemtumbua Mkurugenzi wa Bandari Ndug Erick Hamis.
Pamoja na kumtumbua Rais Samia amelalamika juu ya efficiency ya Mamlaka yetu ya Bandari na kusema kuwa Mamlaka...
Wataalamu wa siasa za nchi hii tuliposimama na Rais Samia kutetea uwekezaji wa Bandarini tulionekana sie ni machawa na tukasemwa sana.
Tuliposema kuwa hizi kelele za Bandari kuuzwa sijui nchi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.