Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Sisi wananchi tunasikitika sana kuona Wabunge nao wanalalamika kuhusu wizi/ubadhilifu unaotekelezwa makusudi na watendaji wa serikali. Kila mwaka mafuru yaleyale, bunge linalalamika bila kuchukua...
1 Reactions
0 Replies
294 Views
Hivi mtu uko kwenye safari zako sijui umetokea wapi mi nakuona kama jirani/rafiki au ndugu napaki gari pembeni mimi ndo naelekea upande wa mjini wewe ndo unarudi unavuka barabara unakuja upande wa...
8 Reactions
62 Replies
3K Views
Wanabodi, Salaam! Leo nimeona clip moja ya mbunge kijana akitoa hoja bungeni Dodoma kuhusu umuhimu wa uwepo wa adhabu ya kunyongwa mpk kufa kwa watu watakaopatikana na hatia ya wizi. Mchango...
0 Reactions
16 Replies
2K Views
Filipo Mulugo Mbunge wa Songwe alinukuliwa alisema Nchi inakufa hii wakati akichangia taarifa ya CAG. Wakijibi hoja Mawaziri wamemshukia Vikali Mbunge Mulugo Kwa Kauli yake hiyo kwamba ni dhihaka...
2 Reactions
17 Replies
2K Views
Sijaelewa kama hizi ni mbwembwe tu kwa sababu Uchaguzi mkuu umekaribia au ni kweli Wabunge hawa wanamaanisha kweli Mafisadi wanyongwe Ila kwa kuwaangalia tu usoni ni Wazi kuna shida mahali ama...
13 Reactions
44 Replies
4K Views
Picha mbalimbali Rais Samia Suluhu akishiriki mkutano wa dharura kuhusu Ulinzi na Usalama (Troika) wa Wakuu wa Nchi na Serikali wa SADC, Luanda nchini Angola leo Novemba 4, 2023. Pamoja na mambo...
0 Reactions
1 Replies
695 Views
Halima Mdee amehoji namna wakurugenzi wa Halmashauri wanavyopatikana na akiwa kama mwenyekiti wa LAAC anashauri wakurugenzi wasitoke nje ya serikali ndo sababu wanashindwa kutumia akili (critical...
6 Reactions
31 Replies
2K Views
Salaam, Shalom!! Ile Sumu iliyokuwa ikienezwa na viongozi waliotangulia kuwa kuchagua upinzani ni kuchagua vita na kukosekana Amani, kurudisha nyuma maendeleo ,umebainika kuwa ni uongo wa...
4 Reactions
26 Replies
2K Views
WAZIRI MHAGAMA: HATUPENDEZWI KUTUITA MAWAZIRI NI WANAFIKI "Ninaamini kabisa hakuna Waziri yeyote ambaye amesimama hapa akajipiga kifua mbele akatetea ubadhirifu wa fedha hizo ambazo zimekuwa...
0 Reactions
33 Replies
3K Views
Mwamba wa siasa za Tanzania, Freeman Mbowe, ambaye pia anatajwa kama Mwanasiasa anayeongoza kwa Umaarufu Barani Afrika kwa sasa, amekutana na Balozi wa Marekani Wawili hao wamefanya mazungumzo...
15 Reactions
52 Replies
3K Views
Mbunge wa Geita vijijini Dr Musukuma amesema nchi hii imejaa Wezi kwenye Ofisi zote yaani ni Wizi kila kona na hakuna hatua zinachukuliwa na Mawaziri hawako serious kabisa. Msukuma amesema ni...
19 Reactions
89 Replies
8K Views
Siku zote nimekuwa nasema kuwa demokrasia ni mfumo wa hovyo sana wa utawala. Sasa kuna mwanazuoni mmoja aliobserve kitu kimoja. Kwanza kwa kifupi oligarchy ni mfumo wa utawala wa matajiri...
1 Reactions
4 Replies
701 Views
Kwa Hali ilivyo ni ngumu sana ccm kujichukulia hatua maana wizi wote huo wao ni wanufaika wa Moja kwa Moja. Ndio maana hakuna hata mbunge mmja wa kuja na hoja binafsi japo ya kutunga sheria wa...
2 Reactions
12 Replies
832 Views
Salaam, Huu utakuwa ukurasa rasmi wa Vuguvugu la Kimapinduzi la Ukombozi wa Kiuchumi Tanzania, amboa utakuhabarisha kuhusu Itikadi, falsafa, sera, utangamano, dira ya Economic Freedom Fighters...
5 Reactions
68 Replies
3K Views
Bungeni mnalalama kama vile nyie sio chombo kuiwajibisha serikali. Lakini ukweli upo wazi kuwa genge linalowaibia watanzaia kila uchwao mlalijua. Mbaya zaidi mnajua wazi lilifurahia waziwazi...
3 Reactions
11 Replies
812 Views
Nimemsikiliza sana kwa maakini taarifa ya Mhe. Mpina kuhusu ubadhirifu uliofanywa na Mhe. Mwigulu - Waziri wa Fedha, Mhe. Prof. Mbarawa aliyekuwa Waziri wa Ujenzi na sasa Waziri wa Uchukuzi, na...
2 Reactions
5 Replies
778 Views
Mashimba Ndaki aliyekuwa Waziri wa Uvuvi, ameshatumbuliwa kutokana na kile kinachotajwa utendaji kazi mbovu wa kusimamia wizara hiyo na sasa yuko benchi kuungana na kina Prof. Palamagamba John...
1 Reactions
12 Replies
1K Views
Ndugu zangu Watanzania, Ni ukweli ulio wazi kuwa ukitaka kumficha jambo mtanzania basi wewe weka jambo husika katika mfumo wa maandishi halafu kaa pembeni na utulie tu uone atakachokifanya. Ndio...
7 Reactions
66 Replies
3K Views
KUNA TISHIO LA KITUO CHA YATIMA ILEMELA MBIONI KUFUNGWA KUTOKANA NA SHERALI HUSEIN KUKISHTAKI MAHAKANI KITUO AKIDAI ALIPWE FIDIA YA MILIONI MIA MOJA Hofu imetanda jijini Mwanza miongoni Mwa...
2 Reactions
16 Replies
2K Views
Spika wa Bunge, Dkt. Tulia Ackson amesema kutokana na mjadala wa Wabunge kuonesha Halmashauri nyingi zina Ubadhirifu mkubwa, anapata wakati mgumu kusikia kauli za Mawaziri wakisema Wabunge...
1 Reactions
3 Replies
2K Views
Back
Top Bottom