Sisi wananchi tunasikitika sana kuona Wabunge nao wanalalamika kuhusu wizi/ubadhilifu unaotekelezwa makusudi na watendaji wa serikali.
Kila mwaka mafuru yaleyale, bunge linalalamika bila kuchukua...
Hivi mtu uko kwenye safari zako sijui umetokea wapi mi nakuona kama jirani/rafiki au ndugu napaki gari pembeni mimi ndo naelekea upande wa mjini wewe ndo unarudi unavuka barabara unakuja upande wa...
Wanabodi,
Salaam!
Leo nimeona clip moja ya mbunge kijana akitoa hoja bungeni Dodoma kuhusu umuhimu wa uwepo wa adhabu ya kunyongwa mpk kufa kwa watu watakaopatikana na hatia ya wizi.
Mchango...
Filipo Mulugo Mbunge wa Songwe alinukuliwa alisema Nchi inakufa hii wakati akichangia taarifa ya CAG.
Wakijibi hoja Mawaziri wamemshukia Vikali Mbunge Mulugo Kwa Kauli yake hiyo kwamba ni dhihaka...
Sijaelewa kama hizi ni mbwembwe tu kwa sababu Uchaguzi mkuu umekaribia au ni kweli Wabunge hawa wanamaanisha kweli Mafisadi wanyongwe
Ila kwa kuwaangalia tu usoni ni Wazi kuna shida mahali ama...
Picha mbalimbali Rais Samia Suluhu akishiriki mkutano wa dharura kuhusu Ulinzi na Usalama (Troika) wa Wakuu wa Nchi na Serikali wa SADC, Luanda nchini Angola leo Novemba 4, 2023.
Pamoja na mambo...
Halima Mdee amehoji namna wakurugenzi wa Halmashauri wanavyopatikana na akiwa kama mwenyekiti wa LAAC anashauri wakurugenzi wasitoke nje ya serikali ndo sababu wanashindwa kutumia akili (critical...
Salaam, Shalom!!
Ile Sumu iliyokuwa ikienezwa na viongozi waliotangulia kuwa kuchagua upinzani ni kuchagua vita na kukosekana Amani, kurudisha nyuma maendeleo ,umebainika kuwa ni uongo wa...
WAZIRI MHAGAMA: HATUPENDEZWI KUTUITA MAWAZIRI NI WANAFIKI
"Ninaamini kabisa hakuna Waziri yeyote ambaye amesimama hapa akajipiga kifua mbele akatetea ubadhirifu wa fedha hizo ambazo zimekuwa...
Mwamba wa siasa za Tanzania, Freeman Mbowe, ambaye pia anatajwa kama Mwanasiasa anayeongoza kwa Umaarufu Barani Afrika kwa sasa, amekutana na Balozi wa Marekani
Wawili hao wamefanya mazungumzo...
Mbunge wa Geita vijijini Dr Musukuma amesema nchi hii imejaa Wezi kwenye Ofisi zote yaani ni Wizi kila kona na hakuna hatua zinachukuliwa na Mawaziri hawako serious kabisa.
Msukuma amesema ni...
Siku zote nimekuwa nasema kuwa demokrasia ni mfumo wa hovyo sana wa utawala. Sasa kuna mwanazuoni mmoja aliobserve kitu kimoja. Kwanza kwa kifupi oligarchy ni mfumo wa utawala wa matajiri...
Kwa Hali ilivyo ni ngumu sana ccm kujichukulia hatua maana wizi wote huo wao ni wanufaika wa Moja kwa Moja.
Ndio maana hakuna hata mbunge mmja wa kuja na hoja binafsi japo ya kutunga sheria wa...
Salaam,
Huu utakuwa ukurasa rasmi wa Vuguvugu la Kimapinduzi la Ukombozi wa Kiuchumi Tanzania, amboa utakuhabarisha kuhusu Itikadi, falsafa, sera, utangamano, dira ya Economic Freedom Fighters...
Bungeni mnalalama kama vile nyie sio chombo kuiwajibisha serikali.
Lakini ukweli upo wazi kuwa genge linalowaibia watanzaia kila uchwao mlalijua.
Mbaya zaidi mnajua wazi lilifurahia waziwazi...
Nimemsikiliza sana kwa maakini taarifa ya Mhe. Mpina kuhusu ubadhirifu uliofanywa na Mhe. Mwigulu - Waziri wa Fedha, Mhe. Prof. Mbarawa aliyekuwa Waziri wa Ujenzi na sasa Waziri wa Uchukuzi, na...
Mashimba Ndaki aliyekuwa Waziri wa Uvuvi, ameshatumbuliwa kutokana na kile kinachotajwa utendaji kazi mbovu wa kusimamia wizara hiyo na sasa yuko benchi kuungana na kina Prof. Palamagamba John...
Ndugu zangu Watanzania,
Ni ukweli ulio wazi kuwa ukitaka kumficha jambo mtanzania basi wewe weka jambo husika katika mfumo wa maandishi halafu kaa pembeni na utulie tu uone atakachokifanya. Ndio...
KUNA TISHIO LA KITUO CHA YATIMA ILEMELA MBIONI KUFUNGWA KUTOKANA NA SHERALI
HUSEIN KUKISHTAKI MAHAKANI KITUO AKIDAI ALIPWE FIDIA YA MILIONI MIA MOJA
Hofu imetanda jijini Mwanza miongoni Mwa...
Spika wa Bunge, Dkt. Tulia Ackson amesema kutokana na mjadala wa Wabunge kuonesha Halmashauri nyingi zina Ubadhirifu mkubwa, anapata wakati mgumu kusikia kauli za Mawaziri wakisema Wabunge...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.