Fene
JF-Expert Member
- May 4, 2021
- 2,447
- 3,420
Habari Wakuu!
Samahanini kama nitawakwaza maana huenda likawa swali lenye kutoneza hisia za watu maana sijui iliiashia vipi (May be labda ndo kweli imeenda)
Ssa wanaJamiiForums kwa kipind fulani nilikuwa chaka huko hata kufuatilia yanayoendelea ilikuwa kikwazo lakini baada ya kurejea naona sisikii tena kuhusu bandari
Ningependa munijuze wanaJamiiForums wenzangu kwani imeeishiaishia vip?
Natanguliza shukrani za dhati kwenu
Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
Samahanini kama nitawakwaza maana huenda likawa swali lenye kutoneza hisia za watu maana sijui iliiashia vipi (May be labda ndo kweli imeenda)
Ssa wanaJamiiForums kwa kipind fulani nilikuwa chaka huko hata kufuatilia yanayoendelea ilikuwa kikwazo lakini baada ya kurejea naona sisikii tena kuhusu bandari
Ningependa munijuze wanaJamiiForums wenzangu kwani imeeishiaishia vip?
Natanguliza shukrani za dhati kwenu
Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app