Comrade Ally Maftah
Member
- Nov 6, 2016
- 52
- 141
JAMBO AMBALO NAWASHANGAA SANA WAPINZANI, WAPINGA WATU, WAPINGA MAENDELEO NI KUTOJUA KANUNI YA DUNIA (360")
Na Comrade Ally Maftah
Leo nainua juu kalamu yangu na kuishusha kwenye mitandao ya kijamii, kuwakanda wapinga maendeleo wanaojivika kilemba cha wapinzani yaani vyama vya siasa mbadala.
Wanawatukana wana CCM ambao wamejikita katika eneo la kuinua hali ya kimaendeleo na kulitia moyo Taifa na viongozi wetu wanawaita MACHAWA. kumbukeni kwenye bendi kila mtu ana kipaji chake na sauti yake katika tunzi za beti na muundo wa ALA za muziki, kuna wanaokosoa ( kistaarabu ) wapo ndani ya CCM, kuna wanaoshauri, kuna wanaosherehesha,
Dunia inatupa nafasi ya kushughulikia mambo katika nyanja mbalimbali, hatuwezi kujikita kwenye masikitiko, malalamiko, kukebehi, kuudhi wengine.
Comrade Ally Maftah amejikita kwenye kuelimisha jamii na kuipa hali ya ujasiliamali hasa kwa watu wenye vipato vya chini na vijana wanaotoka mashuleni na vyuoni, huwa sijaielekeza akili yangu kwenye kuona upungufu au madhaifu ya mtu, watu, Viongozi, mimi nimejikita kwenye kuona fursa.
RIP OLE MUSHI, UMEUPIGA MWINGI SANA PUMZIKA KWA AMANI, ULIFANYA ULICHOKUWA UNAKIWEZA 100% UKAKIFANYA 100% WEWE NI SHUJAA
Ndimi Comrade Ally Maftah
Mjumbe wa Mkutano Mkuu wa CCM na Jumuiya ya Wazazi Mkoa wa Dar es salaam
Na Comrade Ally Maftah
Leo nainua juu kalamu yangu na kuishusha kwenye mitandao ya kijamii, kuwakanda wapinga maendeleo wanaojivika kilemba cha wapinzani yaani vyama vya siasa mbadala.
Wanawatukana wana CCM ambao wamejikita katika eneo la kuinua hali ya kimaendeleo na kulitia moyo Taifa na viongozi wetu wanawaita MACHAWA. kumbukeni kwenye bendi kila mtu ana kipaji chake na sauti yake katika tunzi za beti na muundo wa ALA za muziki, kuna wanaokosoa ( kistaarabu ) wapo ndani ya CCM, kuna wanaoshauri, kuna wanaosherehesha,
Dunia inatupa nafasi ya kushughulikia mambo katika nyanja mbalimbali, hatuwezi kujikita kwenye masikitiko, malalamiko, kukebehi, kuudhi wengine.
Comrade Ally Maftah amejikita kwenye kuelimisha jamii na kuipa hali ya ujasiliamali hasa kwa watu wenye vipato vya chini na vijana wanaotoka mashuleni na vyuoni, huwa sijaielekeza akili yangu kwenye kuona upungufu au madhaifu ya mtu, watu, Viongozi, mimi nimejikita kwenye kuona fursa.
RIP OLE MUSHI, UMEUPIGA MWINGI SANA PUMZIKA KWA AMANI, ULIFANYA ULICHOKUWA UNAKIWEZA 100% UKAKIFANYA 100% WEWE NI SHUJAA
Ndimi Comrade Ally Maftah
Mjumbe wa Mkutano Mkuu wa CCM na Jumuiya ya Wazazi Mkoa wa Dar es salaam