Humphrey Polepole: Mshahara wangu ni tzs 1,000,000 tu

britanicca

JF-Expert Member
May 20, 2015
15,636
30,004
"Mshahara wangu kama katibu wa itikadi na uenezi wa chama cha CCM ni chini ya million moja(1,000,000)." - Polepole abainisha.

Hakika huo ni uzalendo kwa chama na Taifa kwa ujumla , CCM ni kisima cha viongozi bora kabisa! Sasa na upinzani watuambie wanalipwa kiasi gani ?"

Anauliza Pole Pole

FB_IMG_1536407165273.jpg


Source:EATV
 
"Mshahara wangu kama katibu wa itikadi na uenezi wa chama cha CCM ni chini ya million moja(1,000,000)." - Polepole abainisha.

Hakika huo ni uzalendo kwa chama na Taifa kwa ujumla , CCM ni kisima cha viongozi bora kabisa! Sasa na upinzani watuambie wanalipwa kiasi gani ?"

Anauliza Pole Pole

View attachment 860506

Source:EATV
Huyu mtu kwa kulazimisha tabasamu! Hata akilipwa laki kwa mwez ni sawa tu kwa sababu amekuwa virus kwa taifa
 
Kwahiyo kulipwa milioni moja ndio kipimo cha uzalendo? Unajua posho na marupurupu anayopata? Hivi unajua kuna kazi posho na marurupu hupita mshahara kwa mbali sana na inawezekana akapewa posho na marupu rupu ya siku moja tu ambayo ni zaidi ya huo mshahara. Huyo anapewa nyumba, gari, wasaidizi na hata ulinzi, matibabu na kila anapotoka analipwa. Lakini kuna mtumishi wa serikali anapata si zaidi ya shilingi laki 5 lakini usafiri, chakula, malazi na taka taka nyingine zote ni juu yake. Huyo utamwita nani sasa ni fisadi? Kama ungeambiwa Posho na marupu rupu anayolipwa rais kwa ziara zake hizi hizi za ndani ndio ungejua kuwa mshahara ni bosheni tu! Ndio maana wanataja mishahara lakini hawataji marupurupu mengine. Sasa rais kwa mfano chakula kwake na familia yake ni bure, malazi ni bure, mavazi ni bure, ulinzi ni bure, usafiri ni bure, wasaidizi kibao ni bure sasa huyo hata asipopata mshahara si anaishi tu?
 
"Mshahara wangu kama katibu wa itikadi na uenezi wa chama cha CCM ni chini ya million moja(1,000,000)." - Polepole abainisha.

Hakika huo ni uzalendo kwa chama na Taifa kwa ujumla , CCM ni kisima cha viongozi bora kabisa! Sasa na upinzani watuambie wanalipwa kiasi gani ?"

Anauliza Pole Pole

View attachment 860506

Source:EATV
Hizi nunua nunua za wabunge na madiwani kisha mabilioni ya sh ya masikini wa nchi hii yanatumika kurjea chaguzi halafu bado unaita uzalendo?! Kapimwe akili kwanza ndio ujue nini maana halisi ya neno uzalendo

Anaongoza chama kinachofanya uharamia dhidi ya binadamu halafu unasema huo ni uzalendo?! Mjinga siku zote ni mtaji wa wanasiasa uchwara jamii ya kichaa

Ccm ya sasa hakuna mzalendo hata mmoja, wote wachumia matumbo tu ndio yanawafanya kupayuka payuka tu matusi chungu nzima wakiongozwa na kichaa wao

Ifike mahali ccm muwe mnatumia akili ya kawaida tu kujenga hoja zenu kuliko hizi akili zilizoshiba ushabiki na uchumia tumbo
 
Kwahiyo kulipwa milioni moja ndio kipimo cha uzalendo? Unajua posho na marupurupu anayopata? Hivi unajua kuna kazi posho na marurupu hupita mshahara kwa mbali sana na inawezekana akapewa posho na marupu rupu ya siku moja tu ambayo ni zaidi ya huo mshahara. Huyo anapewa nyumba, gari, wasaidizi na hata ulinzi, matibabu na kila anapotoka analipwa. Lakini kuna mtumishi wa serikali anapata si zaidi ya shilingi laki 5 lakini usafiri, chakula, malazi na taka taka nyingine zote ni juu yake. Huyo utamwita nani sasa ni fisadi? Kama ungeambiwa Posho na marupu rupu anayolipwa rais kwa ziara zake hizi hizi za ndani ndio ungejua kuwa mshahara ni bosheni tu! Ndio maana wanataja mishahara lakini hawataji marupurupu mengine. Sasa rais kwa mfano chakula kwake na familia yake ni bure, malazi ni bure, mavazi ni bure, ulinzi ni bure, usafiri ni bure, wasaidizi kibao ni bure sasa huyo hata asipopata mshahara si anaishi tu?
Ahsante sana mkuu kwa hoja hii
 
"Mshahara wangu kama katibu wa itikadi na uenezi wa chama cha CCM ni chini ya million moja(1,000,000)." - Polepole abainisha.

Hakika huo ni uzalendo kwa chama na Taifa kwa ujumla , CCM ni kisima cha viongozi bora kabisa! Sasa na upinzani watuambie wanalipwa kiasi gani ?"

Anauliza Pole Pole

View attachment 860506

Source:EATV
Kama aliweza kutaja mshahara wake hadharani basi hatoshindwa kutuwekea bank statement yake so tunasubiri.
 
ccm sio wa kuwaamini, inawezekana mshahara mdogo ila posho ni ndefu sana anazopata kwa vikao na ziara. MM binafsi kwa kupayuka kiasi kile wala siwezi kubali kulipwa hivo. Bora niwe nacheza na mke wangu chumbani tu!
 
"Mshahara wangu kama katibu wa itikadi na uenezi wa chama cha CCM ni chini ya million moja(1,000,000)." - Polepole abainisha.

Hakika huo ni uzalendo kwa chama na Taifa kwa ujumla , CCM ni kisima cha viongozi bora kabisa! Sasa na upinzani watuambie wanalipwa kiasi gani ?"

Anauliza Pole Pole

View attachment 860506

Source:EATV
Aweke salary slip na posho anazolipwa kuzunguka nchi nzima kama mkimbiza mwenge
 
Kama kupokea mshahara milioni moja ni uzalendo,wazalendo wa ukweli ni watumishi wa umma ambao wengi wao wanapokea mshahara robo ya milioni.
 
Back
Top Bottom