johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,035
- 142,143
Naibu waziri ( Tamisemi) Dr Festo Dugange aliyepata Ajali ya gari na kuvunjika kidole miezi 3 iliyopotea leo amerejea Ofisini na kupokelewa kwa tabasamu na tashwishwi na Watumishi wa Wizara
Mungu wa mbinguni amfanyie wepesi katika majukumu yake
--
Naibu Waziri Ofisi ya Rais – TAMISEMI, Dkt. Festo J. Dugange(kulia) akisalimiana na Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Mhe. Nape Nnauye (katikati) pamoja na Naibu Waziri wa Kilimo, Mhe. Anthony Mavunde (kushoto) katika Maadhimisho ya siku ya Kumbukumbu ya Mashujaa leo tarehe 25 Julai 2023 katika Uwanja wa Mpya wa Mashujaa eneo la Mji wa Serikali – Mtumba, Dodoma.
Mungu wa mbinguni amfanyie wepesi katika majukumu yake
--
Naibu Waziri Ofisi ya Rais – TAMISEMI, Dkt. Festo J. Dugange(kulia) akisalimiana na Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Mhe. Nape Nnauye (katikati) pamoja na Naibu Waziri wa Kilimo, Mhe. Anthony Mavunde (kushoto) katika Maadhimisho ya siku ya Kumbukumbu ya Mashujaa leo tarehe 25 Julai 2023 katika Uwanja wa Mpya wa Mashujaa eneo la Mji wa Serikali – Mtumba, Dodoma.