Wanachi wanalia kila kona kwa ugumu wa maisha.
Kila kona ufisadi umetamalaki kila kona alafu mtu kama Makonda alete siasa za kwenda kuongea na wafu?
Siasa za kupigia viongozi simu viongozi na...
Tunatoa shukrani nyingi sana kwa jeshi la polisi kufanikisha maandamano yetu ya jana kwa asilia 100% mlikosea kubeba bunduki na vifaa vingine wakati tuliwaambia maandamano yetu ni ya amani. Kuhusu...
Hakika tunaye Rais na Mama anayejali na kusikiliza kifupi tuseme anatudekeza Mama ametambua kuwa hakuna Amani bila Maendeleo, na hakuna maendeleo bila Amani Mama anataka maendeleo haya yadumu...
Mbunge wa Jimbo la Kilombero Mh Peter Lijualikali anashikiliwa Katika kituo Kikuu cha polisi mkoani Morogoro Kwa kosa la Kukiuka masharti ya kibali cha mkutano na hasa kuwaalika wabunge wengine...
Maelezo ya Prof. Kitila Alexander Mkumbo, Akihitimisha Hoja ya Mapendekezo ya Mpango wa Taifa wa Maendeleo
Ijumaa, 10 Novemba 2023, Dodoma
Mheshimiwa Spika,
Ninaomba kukushuru wewe pamoja na...
Makonda anaendelea kuwapoteza Chadema huko Kanda ya Ziwa.
Kiufupi Rais Samia alicheza karata nzuri ndio sababu mapovu ya Chadema yalikuwa makubwa.
Tukutane kwenye ballot Box
=====
"Naelekea...
Wakazi wa Vijiji vya Matandalani na Mtisi vilivyopo Halmashauri ya Nsimbo Mkoani Katavi wamekerwa kwa kucheleweshwa kugawiwa mashamba mapema ambapo wamekuwa wakiahidiwa na Ofisi ya Ardhi kwa lengo...
Nasikia Rais kavunja Bodi ya TCRA. Naona hawa hapa ndio walikua Wajumbe wake
MAWASILIANO: BODI YA TCRA YAVUNJWA
Rais Samia Suluhu Hassan amevunja Bodi ya Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA)...
Naibu Waziri wa Wizara ya Uchukuzi, David Kihenzile amesema Serikali inafahamu Mkandarasi Mkuu wa Mradi wa Reli ya SGR (Yapi Merkezi) anasuasua kufanya malipo kwenye Mfuko wa Hifadhi ya Jamii...
Ndugu zangu watanzania,
Namshukuru Mwenyezi Mungu mwingi wa Rehema na Fadhila kwa kuendelea kumjalia Rais wetu mama Samia afya njema na nguvu za kuendelea kututumikia watanzania wote kwa usawa na...
Kuna kiongozi wa CHADEMA amewahi kusema bungeni juu ya mwenendo wa kushughulikia mambo ya wizara ya uvuvi kwa operations. Pamoja na waziri Mpina kuitetea wizara yake, kumbukumbu yangu inaonesha...
Waziri Kitila Mkumbo akiwa anahitimisha hoja yake, anakubaliana na wabunge wengine kuhusu umuhimu wa kuzingatia maadili kwa watoto lakini tunapoendelea kuwaelimisha vijana wetu kuhusu maadili...
-Mwaka fulani nlikutana na mtu akilalama kua mbunge kigwa anataka kuwadhurumu eneo lao huko kigamboni ambapo mbunge huyo alianza kwa kuchimba visima Kama hatua ya unyang'anya eneo hilo. Binafsi...
Kila aliyesikiliza mjadala wa ripoti ya CAG na majawabu ya mawaziri, ameelewa wazi kwamba mawaziri wanahusika na wizi huo. Kama wasingehusika, ingekuwa ni taharuki maana hakuna anayetaka kuibiwa...
Wanamuita Comrede Makonda hapoi Wala haboi.
Atoa miezi 3 Kwa Mchengerwa kuhakikisha Soko na Standi Vinaanza mara Moja.
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimempa miezi mitatu Waziri wa Nchi, Ofisi ya...
Mbunge Nicodemas Maganga: Mbogwe Tumejipanga, Mtumishi Mwizi Hatatoka Salama, Tumejipanga Kuzuia Uhalifu
Mbunge wa Jimbo la Mbogwe, Mhe. Nicodemas Henry Maganga wakati akichangia Mpango wa Bajeti...
Mheshimiwa JAJI KIONGOZI, kuna TATIZO la KUSAJILI KESI katika Mahakama Kuu ya Tanzania (Mbeya) linalosababishwa na UBOVU wa MFUMO wa MALIPO (Control Number). Ili HAKI isicheleweshwe KINYUME na...
Baada ya Rais Samia kuingia Madarakani alikuja na 4Rs strategy yake.
Reforms
Reconciliation
Rebuilding
Resilience
Kufuatia Hali hii ambayo imepelekea uwazi na Demokrasia Kwa Watanzania Sasa hivi...
Orodha ya Shughuli za leo.
Dua
Maswali na Majibu
Miswada mbalimbali ya Sheria kusomwa kwa mara ya kwanza ikiwemo Muswada wa Sheria ya Uchaguzi wa Rais, Wabunge na Madiwani wa mwaka 2023.
Aidha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.