Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Naibu Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia Eng. Kundo A. Mathew amesema Serikali inapanga kuanza kutoa Elimu kuhusu athari za Akili Unde (AI) kwa watumiaji wake pamoja na kuandaa Sera...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Kufuatia Prof Tibaijuka kusema kimfumo Mpinzani hawezi kutangazwa mshindi akishinda Urais, mjumbe wa Kamati kuu ya Chadema mh John Heche amesema Uchaguzi wa 2015 ulipinduliwa kwa lengo la kuuwa...
6 Reactions
23 Replies
2K Views
Wanabodi, Hii ni thread ya kutoamini kuwa hii statement ya Lowassa ndicho alichoitiwa Ikulu. Hii statement ya Lowassa kuwa rais Magufuli, alimuita yeye Lowassa Ikulu, ili kumrubuni kwa...
73 Reactions
214 Replies
29K Views
Pope Francis meets with President of Tanzania Pope Francis holds an audience with President Samia Suluhu Hassan of the United Republic of Tanzania, expressing their joint commitment to promoting...
0 Reactions
0 Replies
908 Views
Kutwaliwa Mzee Lowassa ni msiba mkubwa Zaidi kwa Chadema Poleni Sana wanachadema Poleni Sana CCM
0 Reactions
20 Replies
1K Views
Maneno hayo yamesemwa leo na Naibu Waziri wa Nchi, Utumishi na Utawala Bora Ndg. Ridhiwani Kikwete wakati akijibu swali lililoulizwa Bungeni na Mbunge wa Jimbo la Mbuli Mjini Ndg. Zacharia Isaay...
1 Reactions
2 Replies
650 Views
Kunatofauti ya kuamua na kusimamia maamzi. Ujenzi wa shule za kata nchi nzima ulikuwa uamuzi wa CCM na ulikuwa kwenye ilani ya uchaguzi 2005-2010 USHAHIDI HUU HAPA Elimu ya Sekondari 61. CCM...
3 Reactions
19 Replies
1K Views
KIFO CHA ACT WAZALENDO NI "POOR PARENTING." ACT wazalendo ina kila sababu ya kuwa Chama Kikuu cha Upinzani Tanzania, na kuongoza idadi ya madiwani na Wabunge Chaguzi zijazo kulinganisha na...
3 Reactions
23 Replies
2K Views
Nawaheshimu sana CHADEMA kama chama kikuu cha Upinzani lakini ni ngumu sana kukipa Nchi chama ambacho marafiki na wadau wao wakubwa ni nchi za nje. Je, usalama wa rasmali za nchi utakuwepo? Ni...
3 Reactions
23 Replies
1K Views
Leo tarehe 12 Februari 2024 Mkurugenzi wa Mashtaka (DPP) amewasilisha Mahakamani nia ya kutoendelea na kesi ya mauaji inayowakabili George Sanga, Optatus Nkwera na Goodlucky Mfuse. Baada ya...
10 Reactions
22 Replies
3K Views
Hii gari ya serikali namba STL 8699 Land Cruiser V8 ilikuwa inatafuta nini kwenye msafara wa Makonda ambaye sio kiongozi wa Serikali mpaka inapata ajali? Kwa hiyo hapo tena pesa za serikali...
27 Reactions
130 Replies
10K Views
MNEC HALIMA MAMUYA: NENDENI MKAHAKIKISHE CCM INASHINDA Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa na Mlezi wa Mkoa wa #Njombe Halima Mohammed Mamuya amewataka...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Hili Taifa Upendo umepoa kabisa au tuseme haupo Fikiria msafara wa Makonda unapata Ujali Watu badala ya kuwatakia Pole na uponyaji wa haraka wao wanalalamika msafara ulikuwa mrefu sana Mungu wa...
1 Reactions
12 Replies
1K Views
P.Makonda kabla ya kukatisha ziara yako, nilikuambia ukija mkoa wa Mtwara uje na majibu ya bei ya korosho. Pia ukija Mtwara uje na uwataje madalali wa korosho au wanaoua soko la korosho Mtwara...
21 Reactions
81 Replies
6K Views
Kirefu cha ACT WAZALENDO ni neno la kiingereza. Sisi Watanzania ni waswahili ni wakati muafaka Chama chenu kiwe kama CCM (CHAMA CHA MAPINDUZI) au CHADEMA(CHAMA CHA DEMOKRASIA NA MAENDELEO)...
2 Reactions
10 Replies
2K Views
Hii ndio Taarifa ya sasa kuhusiana na Msiba huo Hii ni kwamba Maombolezo ya kitaifa ya siku 5 yataisha kabla hajazikwa. ==== Mwili wa Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa unatarajiwa kuzikwa...
12 Reactions
71 Replies
8K Views
Ninasikitishwa sana na kinachoendelea mitandaoni na kwenye midia mbalimbali, hususani kwa jambo hilo ambalo kwa uwingi wa wana Chadema, wamekuwa wakiwaita wananchi wanaomfuata makonda kwenye...
9 Reactions
68 Replies
3K Views
Mwanasiasa mkongwe nchini Tanzania Anna Tibaijuka, ametoa pole kwa familia ya aliekuwa Waziri Mkuu Edward Lowassa. "Familia Lowassa poleni. Taifa twaomboleza kifo cha Kiongozi STATESMAN...
21 Reactions
92 Replies
8K Views
"Migogoro ya ardhi na migogoro ya mipaka kati ya hifadhi na vijiji, maeno ya Kusini mwa Tanzania tumekuta malalamiko makubwa ya wakulima dhidi ya wafugaji kuvamia maeneo yao na hata kupelekea...
0 Reactions
2 Replies
469 Views
Barua ya wazi Kwa mkuu wa wilaya ya Ubungo, Mkurugenzi na afisa elimu. Sisi ni wazazi wa watoto wanaosoma shule ya msingi Msumi. Ndugu wakuu wetu tunahitaji Sana msaada wetu kuhusu upotevu wa...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Back
Top Bottom