johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,998
- 142,023
Kutwaliwa Mzee Lowassa ni msiba mkubwa Zaidi kwa Chadema
Poleni Sana wanachadema
Poleni Sana CCM
Poleni Sana wanachadema
Poleni Sana CCM
Kutwaliwa Mzee Lowassa ni msiba mkubwa Zaidi kwa Chadema
Poleni Sana wanachadema
Poleni Sana CCM
Ameondoka hata kabla vazi la taifa halijapatikanaKutwaliwa Mzee Lowassa ni msiba mkubwa Zaidi kwa Chadema
Poleni Sana wanachadema
Poleni Sana CCM
Chadema bhana 😂😂 Kwahy sasa hv mnamkataa ila wakati wa kampeni mlimsifia kila konaHakuna aliyechaguliwa kwa influence ya Lowassa, tena Lowassa ndio alichangia cdm kupoteza agenda Yao ya ufisadi. Acha upotoshaji wa kijinga.
Umeshapanic 😂Hakuna aliyechaguliwa kwa influence ya Lowassa, tena Lowassa ndio alichangia cdm kupoteza agenda Yao ya ufisadi. Acha upotoshaji wa kijinga.
Nimepita Ufipa st bendera iko Nusu mlingotiChadema watapepeza bendera zao nusu mlingoti? Au kwa kuwa alirejea ccm basi wao haiwahusu?
We unaakili ya kuiwaza chadema tuuu kilasaa...Kutwaliwa Mzee Lowassa ni msiba mkubwa Zaidi kwa Chadema
Poleni Sana wanachadema
Poleni Sana CCM
Pitia post zangu toka nimejiunga hapa jf kama Kuna siku niliwahi kumkubali huyo fisadi. Au unadhani kwakuwa alikwenda cdm basi Kila shabiki wa cdm alimkubali?Chadema bhana 😂😂 Kwahy sasa hv mnamkataa ila wakati wa kampeni mlimsifia kila kona
Umeshapanic dadeki 🐼We unaakili ya kuiwaza chadema tuuu kilasaa...
unaeza mgawa mkeo kwa chadema kisa ujue kama wanajua makasia
Umesharudi toka ziara ya mikoa ya kusini?Nimepita Ufipa st bendera iko Nusu mlingoti
Ndio narudi bwashee niko Mkuranga 😀Umesharudi toka ziara ya mikoa ya kusini?
RIP mzee wetuKutwaliwa Mzee Lowassa ni msiba mkubwa Zaidi kwa Chadema
Poleni Sana wanachadema
Poleni Sana CCM
Pole ,Mzee Mbowe yupo mwambieni agombee uraisi atapata kura nyingi saana zaidi ya zile laki saba alizopata wakati uleeeePitia post zangu toka nimejiunga hapa jf kama Kuna siku niliwahi kumkubali huyo fisadi. Au unadhani kwakuwa alikwenda cdm basi Kila shabiki wa cdm alimkubali?
Lowassa kura alizikuta cdm Wala hakwenda nazo. Yeye alitakiwa aende na wale wabunge 50 wa ccm wa majimbo ambayo ilikuwa ulaghai. Angeenda TLP apate kura zile ungekuwa na hoja.Pole ,Mzee Mbowe yupo mwambieni agombee uraisi atapata kura nyingi saana zaidi ya zile laki saba alizopata wakati uleeee
Umemwacha katibu mwenezi anapata ajali wewe ukasepa! Huyo mganga wako usimwache kabisa 😄😄Ndio narudi bwashee niko Mkuranga 😀
salma kikwete amependekeza bungeni kuwa lile dera analovaa Rais Samia ndiyo liwe vazi la Taifa na wabunge wote waliunga mkonoAmeondoka hata kabla vazi la taifa halijapatikana
Kipande ya Ikwiriri hadi Tunduru ni hatari Sana kwa ndumba za barabarani 😂😂Umemwacha katibu mwenezi anapata ajali wewe ukasepa! Huyo mganga wako usimwache kabisa 😄😄