Huenda kuna kitu sikijui au kimenipita. Hivi mtu ambaye aliwahi kuwa balozi, na sasa hatumikii tena kazi hiyo, kuendelea kuitwa balozi huwa kunaongeza nini kimaisha yake ukiondoa sifa za kujidai...
1."Tuna umeme wa ziada" MGAO KILA SIKU?
2. Viongozi wanatembelea LC 300( Moja ina thamani ya Tsh 600M)!! Halafu...
-Wananchi wanakunywa maji ya matope
-Wanafunzi wanakaa...
Mwenyekiti wa Chadema amesema anaelewa Wazi Waziiri mpya wa Tamisemi mh Mchengerwa ameoa Mtoto wa Rais Samia Lakini hilo hana tatizo nalo
Mbowe amesema Rais hata alete Mkwe, Shemeji na Ndugu...
Niendee moja kwa moja kwenye mada husika!
Mkoa wa Tabora hivi sasa ninapoandika uzi huu, uko kwenye taharuki kubwa ya kukosa mafuta!
Hali ni mbaya hapa mjini, petro station moja tu mji mzima...
Huu ndo mtazamo wangu, Wakati sisi tunataka mabadiliko na mawazo mapya ndani ya nchi japo taifa lifike mahali fulani.
CCM yenyewe iko na mawazo tofauti kabisa ya kuachiana madaraka kifamilia...
Haifahamiki kama kuna uhaba wa mafuta au hamna vituo vya mafuta vilivyovingi kila ukienda wanakwambia hakuna mafuta.
Haijafahamika kwanini mafuta yamekuwa adimu kiasi hiki.
Serikali ijibu suala...
Jembe lililoaminiwa na Magufuli kwenye madini,limepewa unaibu Waziri Mkuu,jembe lingine Mnyeti kapewa unaibu Waziri.
Lakini je, watoto wa kambo watalipa fadhila hizo. Je, Bashiru kuchukua form ya...
Jana kipenga cha siasa za uchaguzi kilipulizwa huko Zanzibar, tunao wakuu wa wilaya na mikoa ambao kasi ya kukimbilia mpira wa majukwaani siyo nzuri.
Wapo wakurugenzi ambao kazi ya kumanipulate...
Tunaipongeza awamu hii ya Samia kwa kutufumbulia fumbo gumu.
Ametuonyesha kuwa kumbe utawala usipokukubali nawe ni mstaafu unakunyang'anya hadhi yako na kukukosesha stahili zako zote.
Baada ya...
Mtake msitake iko siku isiyo na jina ubalozi wa watu niliowataja hapo juu utafutwa tu. Dr. slaa alipewa kama zawadi ya kumfunga mdomo na kumtoa machoni mwa Watanzania, moja ya dhambi anayotakiwa...
Tangia mme WA TULIA Acksobi kuteuliwa kuwa mkurugenzi WA EWURA sakata la mafuta limekuwa Shida.Je kwanini Bunge lismuazimie nlmkurugenzi husika kuondolewa Kwenye nafasi huska
Kuna kikundi cha Watu Wachache, Wengine wanajiita wana harakati na Wengine wanajiita Wanasiasa wa Vyama vya upinzani, Kikundi hiki kimejipa jukumu la kukosoa na kupinga chochote kinachofanywa na...
Waziri Nape amekiri aliposikia mkeka wa mabadiliko ya Mawaziri umetoka ilibidi aongeze AC kwa hofu aliyokuwa nayo. The same minister wakati wa Magufuli alimtafuta hadi Mama Maria Nyerere amwombee...
Mkoa wa Mbeya kuna viongozi waliopita hawataweza kufutika kwenye vichwa vya watu. Huwezi ukataja viongozi waliacha alama Mbeya ukamsahau Prof. Mark Mwandosya! Sijui amewatendea nini wana Mbeya...
Najikumbusha tu Watu waliowahi kuukataa Ubalozi na Waliowahi kuukataa Ubunge
Zitto Kabwe alikataa Ubalozi wa Ujerumani alioahidiwa na Waziri Membe
Pius Ngw'andu alikataa Ubalozi wa Japan...
Watawala wanazunguka sana, wanahangaika sana. Kwa muda mrefu Katiba yetu imekua ikitoa kinga kwa rais aliyemaliza muda wake kuja kushitakiwa kwa makosa aliyoyafanya alipokua madarakani.
Kinga...
Kwa wachache tuliobarikiwa kuielewa vizuri nchi hii na jamii yake pamoja na siasa zake tunaposimamia jambo kwa maslahi ya taifa naomba tuheshimiwe na tueleweke vizuri.
Kwa miezi 2 sasa kuna...
Haya kama mnaweza njooni muutengue na huu Ubalozi wa Kutukuka aliopewa na Rais wa Jamhuri ya wana JamiiForums wote duniani GENTAMYCINE.
Kumpiga Teke Chura ni Kumuongezea mwendo hivyo mmemjenga...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.