Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

List of shame? Wauza bandari? Wote amepambana nao
32 Reactions
57 Replies
4K Views
Huenda kuna kitu sikijui au kimenipita. Hivi mtu ambaye aliwahi kuwa balozi, na sasa hatumikii tena kazi hiyo, kuendelea kuitwa balozi huwa kunaongeza nini kimaisha yake ukiondoa sifa za kujidai...
9 Reactions
53 Replies
7K Views
1."Tuna umeme wa ziada" MGAO KILA SIKU? 2. Viongozi wanatembelea LC 300( Moja ina thamani ya Tsh 600M)!! Halafu... -Wananchi wanakunywa maji ya matope -Wanafunzi wanakaa...
17 Reactions
23 Replies
2K Views
Mwenyekiti wa Chadema amesema anaelewa Wazi Waziiri mpya wa Tamisemi mh Mchengerwa ameoa Mtoto wa Rais Samia Lakini hilo hana tatizo nalo Mbowe amesema Rais hata alete Mkwe, Shemeji na Ndugu...
11 Reactions
42 Replies
5K Views
Niendee moja kwa moja kwenye mada husika! Mkoa wa Tabora hivi sasa ninapoandika uzi huu, uko kwenye taharuki kubwa ya kukosa mafuta! Hali ni mbaya hapa mjini, petro station moja tu mji mzima...
18 Reactions
100 Replies
8K Views
Huu ndo mtazamo wangu, Wakati sisi tunataka mabadiliko na mawazo mapya ndani ya nchi japo taifa lifike mahali fulani. CCM yenyewe iko na mawazo tofauti kabisa ya kuachiana madaraka kifamilia...
7 Reactions
7 Replies
903 Views
Haifahamiki kama kuna uhaba wa mafuta au hamna vituo vya mafuta vilivyovingi kila ukienda wanakwambia hakuna mafuta. Haijafahamika kwanini mafuta yamekuwa adimu kiasi hiki. Serikali ijibu suala...
12 Reactions
128 Replies
7K Views
Jembe lililoaminiwa na Magufuli kwenye madini,limepewa unaibu Waziri Mkuu,jembe lingine Mnyeti kapewa unaibu Waziri. Lakini je, watoto wa kambo watalipa fadhila hizo. Je, Bashiru kuchukua form ya...
1 Reactions
6 Replies
1K Views
Jana kipenga cha siasa za uchaguzi kilipulizwa huko Zanzibar, tunao wakuu wa wilaya na mikoa ambao kasi ya kukimbilia mpira wa majukwaani siyo nzuri. Wapo wakurugenzi ambao kazi ya kumanipulate...
2 Reactions
7 Replies
1K Views
Tunaipongeza awamu hii ya Samia kwa kutufumbulia fumbo gumu. Ametuonyesha kuwa kumbe utawala usipokukubali nawe ni mstaafu unakunyang'anya hadhi yako na kukukosesha stahili zako zote. Baada ya...
2 Reactions
7 Replies
1K Views
Mtake msitake iko siku isiyo na jina ubalozi wa watu niliowataja hapo juu utafutwa tu. Dr. slaa alipewa kama zawadi ya kumfunga mdomo na kumtoa machoni mwa Watanzania, moja ya dhambi anayotakiwa...
9 Reactions
24 Replies
4K Views
Tangia mme WA TULIA Acksobi kuteuliwa kuwa mkurugenzi WA EWURA sakata la mafuta limekuwa Shida.Je kwanini Bunge lismuazimie nlmkurugenzi husika kuondolewa Kwenye nafasi huska
0 Reactions
2 Replies
526 Views
Kuna kikundi cha Watu Wachache, Wengine wanajiita wana harakati na Wengine wanajiita Wanasiasa wa Vyama vya upinzani, Kikundi hiki kimejipa jukumu la kukosoa na kupinga chochote kinachofanywa na...
2 Reactions
45 Replies
3K Views
Karibu mdau tujadili nafasi ya serikali katika kuwezesha vijana kujiajiri.
0 Reactions
2 Replies
856 Views
Waziri Nape amekiri aliposikia mkeka wa mabadiliko ya Mawaziri umetoka ilibidi aongeze AC kwa hofu aliyokuwa nayo. The same minister wakati wa Magufuli alimtafuta hadi Mama Maria Nyerere amwombee...
3 Reactions
19 Replies
1K Views
Mkoa wa Mbeya kuna viongozi waliopita hawataweza kufutika kwenye vichwa vya watu. Huwezi ukataja viongozi waliacha alama Mbeya ukamsahau Prof. Mark Mwandosya! Sijui amewatendea nini wana Mbeya...
3 Reactions
43 Replies
2K Views
Najikumbusha tu Watu waliowahi kuukataa Ubalozi na Waliowahi kuukataa Ubunge Zitto Kabwe alikataa Ubalozi wa Ujerumani alioahidiwa na Waziri Membe Pius Ngw'andu alikataa Ubalozi wa Japan...
1 Reactions
4 Replies
857 Views
Watawala wanazunguka sana, wanahangaika sana. Kwa muda mrefu Katiba yetu imekua ikitoa kinga kwa rais aliyemaliza muda wake kuja kushitakiwa kwa makosa aliyoyafanya alipokua madarakani. Kinga...
2 Reactions
6 Replies
569 Views
Kwa wachache tuliobarikiwa kuielewa vizuri nchi hii na jamii yake pamoja na siasa zake tunaposimamia jambo kwa maslahi ya taifa naomba tuheshimiwe na tueleweke vizuri. Kwa miezi 2 sasa kuna...
17 Reactions
228 Replies
10K Views
Haya kama mnaweza njooni muutengue na huu Ubalozi wa Kutukuka aliopewa na Rais wa Jamhuri ya wana JamiiForums wote duniani GENTAMYCINE. Kumpiga Teke Chura ni Kumuongezea mwendo hivyo mmemjenga...
16 Reactions
22 Replies
2K Views
Back
Top Bottom