Kabisa kabisa...Nawaheshimu sana CHADEMA kama chama kikuu cha Upinzani lakini ni ngumu sana kukipa Nchi chama ambacho marafiki na wadau wao wakubwa ni nchi za nje .
Je usalama wa rasmali za nchi utakuwepo ? Ni swali kunwa la kujiuliza .
Itakuwa kulipana fadhila tuKabisa kabisa...
Katika mambo ambayo Tanzania imefanikiwa kama nchi ni kutoruhusu vibaraka kuiongoza nchi...Tumshukuru muasisi wa Taifa letu hakuwa na tamaa na aliamini katika utaifa zaidi kuliko umamlukiItakuwa kulipana fadhila tu
Swali La Chekechea Hivi CCM Haina Marafiki Huko Ughaibuni Ama Wewe Ni Chawa Ambaye Unafuata Mkumbo TuNawaheshimu sana CHADEMA kama chama kikuu cha Upinzani lakini ni ngumu sana kukipa Nchi chama ambacho marafiki na wadau wao wakubwa ni nchi za nje .
Je usalama wa rasmali za nchi utakuwepo ? Ni swali kunwa la kujiuliza .
Huwezi elewaSwali La Chekechea Hivi CCM Haina Marafiki Huko Ughaibuni Ama Wewe Ni Chawa Ambaye Unafuata Mkumbo Tu
Vibaraka ndio kina nani?Katika mambo ambayo Tanzania imefanikiwa kama nchi ni kutoruhusu vibaraka kuiongoza nchi...Tumshukuru muasisi wa Taifa letu hakuwa na tamaa na aliamini katika utaifa zaidi kuliko umamluki
Mbona Msukuma na Kishimba wana busara na maarifa makubwa kuliko PHD holders wengi tu, ukiangalia kwa umakini matatizo mengi ya nchi hii solutions zake zinaweza kutolewa na wenye shule ndogoMtoa mada kama hajamaliza hata darasa la saba.
Ni kipi ambacho hawajapewa hao wageni, wanasubiri cdm waingie madarakani ili wakipate? Ni bandari, madini, misitu ama Nini?Katika mambo ambayo Tanzania imefanikiwa kama nchi ni kutoruhusu vibaraka kuiongoza nchi...Tumshukuru muasisi wa Taifa letu hakuwa na tamaa na aliamini katika utaifa zaidi kuliko umamluki
Zanzibar ni Mkoa wenye wimbo wake wa Taifa, ile sio nchi.Unakosea kudhani chama kikuu Cha upinzani Tanzania ni Chadema tu. Unakosea. ACT wazalendo imeunda na Serikali Zanzibar huoni?
Rasilimali zipi unazungumzia? Hujui kuwa mbuga zimeuzwa kwa watani? Hujui migodi imeuzwa? Hujui kuwa hatuna Bandari?? Yote haya yamefanywa na CCM, usalama wa rasmali za nchi utakuwepo? Ni swali kubwa la kujiuliza.
Wamlipe fadhila Nani? Kuwa specificItakuwa kulipana fadhila tu
Mleta mada ni miongoni mwa the lowest minded peopleNi kipi ambacho hawajapewa hao wageni, wanasubiri cdm waingie madarakani ili wakipate? Ni bandari, madini, misitu ama Nini?
Nchi hii inahitaji chama kipya, mawazo mapya. Akili, ubunifu, uwezo, mentality mpya.Nawaheshimu sana CHADEMA kama chama kikuu cha Upinzani lakini ni ngumu sana kukipa Nchi chama ambacho marafiki na wadau wao wakubwa ni nchi za nje.
Je, usalama wa rasmali za nchi utakuwepo? Ni swali kubwa la kujiuliza.