Mdude_Nyagali
Member
- Dec 11, 2022
- 60
- 1,237
Hii gari ya serikali namba STL 8699 Land Cruiser V8 ilikuwa inatafuta nini kwenye msafara wa Makonda ambaye sio kiongozi wa Serikali mpaka inapata ajali?
Kwa hiyo hapo tena pesa za serikali zitachotwa kwa ajili ya kwenda kutengeneza gari hii ambayo imeharibiwa kwenye shuguli ambazo sio za serikali?
Au ndio mtauziana mali hiyo ya umma kwa bei za mtelemko halafu muagize lingine kwa kutumia kodi za Umma?
Rais Samia hivi hufikiri ni namna gani unaumiza nchi na wananchi wa taifa hili? Kwanini hata huna uchungu na mali za serikali kama vile zinaokotwa wakati kuna watu wanavuja jasho kwa ajili ya kuzipigania?
Fikiria gari na mafuta ya serikali vinatumika kwa matumizi binafsi namna hii katika kipindi ambacho nchi nzima inalia na ugumu wa maisha ulisababishwa na serikali.
Anyway tukutane Mwanza kwenye maandamano ya amani .
Mdude Mpaluka Nyagali 7 x 70 Sumu ya Nyigu.
Kwa hiyo hapo tena pesa za serikali zitachotwa kwa ajili ya kwenda kutengeneza gari hii ambayo imeharibiwa kwenye shuguli ambazo sio za serikali?
Au ndio mtauziana mali hiyo ya umma kwa bei za mtelemko halafu muagize lingine kwa kutumia kodi za Umma?
Rais Samia hivi hufikiri ni namna gani unaumiza nchi na wananchi wa taifa hili? Kwanini hata huna uchungu na mali za serikali kama vile zinaokotwa wakati kuna watu wanavuja jasho kwa ajili ya kuzipigania?
Fikiria gari na mafuta ya serikali vinatumika kwa matumizi binafsi namna hii katika kipindi ambacho nchi nzima inalia na ugumu wa maisha ulisababishwa na serikali.
Anyway tukutane Mwanza kwenye maandamano ya amani .
Mdude Mpaluka Nyagali 7 x 70 Sumu ya Nyigu.