johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,987
- 142,003
Kufuatia Prof Tibaijuka kusema kimfumo Mpinzani hawezi kutangazwa mshindi akishinda Urais, mjumbe wa Kamati kuu ya Chadema mh John Heche amesema Uchaguzi wa 2015 ulipinduliwa kwa lengo la kuuwa Mageuzi nchi
Heche amesema waliopindua Uchaguzi wamejawa hofu na Dhulma inawatesa hadi leo
Heche ameahidi Chadema kuwapatia Watanzania Kiongozi atakayeingia Madarakani kwa kura zao
Mungu wa Mbinguni Uturehemu Sisi
Heche amesema waliopindua Uchaguzi wamejawa hofu na Dhulma inawatesa hadi leo
Heche ameahidi Chadema kuwapatia Watanzania Kiongozi atakayeingia Madarakani kwa kura zao
Mungu wa Mbinguni Uturehemu Sisi