Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,703
- 218,247
Leo tarehe 12 Februari 2024 Mkurugenzi wa Mashtaka (DPP) amewasilisha Mahakamani nia ya kutoendelea na kesi ya mauaji inayowakabili George Sanga, Optatus Nkwera na Goodlucky Mfuse.
Baada ya kufutwa kwa kesi hiyo Mkurugenzi wa Mashtaka (DPP) amewakamata tena na kuwafungulia mashtaka yale yale katika Mahakama ya Wilaya ya Njombe.
Hivyo kesi imeanza upya, kwa kuanza mchakato katika Mahakama za chini. Itakumbukwa George Sanga na wenzake wamekamatwa tarehe 26 Septemba 2020, ambapo mpaka leo wametimiza siku 1,234 gerezani.
Kuhusu tuhuma za mauaji, zaidi soma Njombe: Viongozi wa CHADEMA wakamatwa kwa kuhusishwa na mauaji ya Kada wa CCM Emmanuel Mlelwa
Tumesema Mara nyingi humu na kwingineko kwamba HAKUNA MAHALI POPOTE KWENYE DUNIA HII AMBAPO SHETANI ALIWAHI KUMSHINDA MUNGU , Hatimaye Kijana George Sanga na Wenzake wameachiwa huru baada ya Mahakama kujiridhisha kwamba WALIBAMBIKWA KESI YA UONGO KWA SABABU YA SIASA ZA KISHAMBA ZA AWAMU YA TANO
Baada ya kufutwa kwa kesi hiyo Mkurugenzi wa Mashtaka (DPP) amewakamata tena na kuwafungulia mashtaka yale yale katika Mahakama ya Wilaya ya Njombe.
Hivyo kesi imeanza upya, kwa kuanza mchakato katika Mahakama za chini. Itakumbukwa George Sanga na wenzake wamekamatwa tarehe 26 Septemba 2020, ambapo mpaka leo wametimiza siku 1,234 gerezani.
Kuhusu tuhuma za mauaji, zaidi soma Njombe: Viongozi wa CHADEMA wakamatwa kwa kuhusishwa na mauaji ya Kada wa CCM Emmanuel Mlelwa
Tumesema Mara nyingi humu na kwingineko kwamba HAKUNA MAHALI POPOTE KWENYE DUNIA HII AMBAPO SHETANI ALIWAHI KUMSHINDA MUNGU , Hatimaye Kijana George Sanga na Wenzake wameachiwa huru baada ya Mahakama kujiridhisha kwamba WALIBAMBIKWA KESI YA UONGO KWA SABABU YA SIASA ZA KISHAMBA ZA AWAMU YA TANO