Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Ni wazi kabisa kwamba Serikali ya CCM haina nia thabiti kutuletea katiba mpya kabla ya uchaguzi mkuu 2025. Kama ni elimu kwa raia,tayari raia walikwishaipata kupitia tume ya Jaji warioba na hata...
1 Reactions
7 Replies
941 Views
Mimi katika uzee wangu na ingawa siyo mwanasheria nasema majaji wetu waliotoa hukumu ya mkataba wa DP World huko mbeya sina hakika kama wanao uelewa wa kutosha juu ya ukuu wa mamlaka ya muhimili...
12 Reactions
25 Replies
3K Views
Wamiliki, akiwemo Thomas Dan Friedkin, na uongozi wa kampuni ya Mwiba Holdings Limited wanakanusha taarifa za uongo zilizotolewa kwenye mikutano a hadhara ya kisiasa iliyofanyika Agosti 11, 25 na...
3 Reactions
70 Replies
7K Views
============================================== Kwa ufupi (quotes) "Immediate baada ya hukumu tarehe 10/8/2023, mara moja tulianza mchakato wa kukata rufaa kwa kuiandikia mahakama barua ya kuomba...
3 Reactions
1 Replies
709 Views
Kila mara rais anafanya mabadiliko ya baraza la mawazri, lkn hakuna tija yoyote ambayo inaonekana. Mfano, sasa upatikanaji wa umemme ndiyo shida kabisa. Ni kama sasa tuna blackout Tanga tangu...
6 Reactions
30 Replies
2K Views
Kila nikitazama jinsi Mchakato wa Katiba Mpya na Tume huru ya uchaguzi inavyosua sua huku muda bado upo nashangaa sana.. Dkt. Samia Suluhu Hassani ni mpenda haki na juu ya yote ni Mwislam...
1 Reactions
10 Replies
853 Views
SALAAM! Hapa niko Kakonko - Kigoma kusema kweli ukosefu wa mafuta umekwamisha shughuli nyingi za kijamii na kiuchumi. Nachotaka kufahamu ukosefu wa mafuta nchini Serikali ndiyo ilaumiwe...
5 Reactions
26 Replies
2K Views
Nikiwa mdogo kijijini kwetu ngulugulu huko wilaya ya ileje Babu yangu alinifundisha namna nzuri ya kumkamua ng'ombe maziwa, nilipewa mbinu kwamba kuna ng'ombe wastaarabu, hauhitaji kumfunga kamba...
0 Reactions
2 Replies
469 Views
Dr Kesho: Naomba kutoa Shukrani kuniunga Huku ila kwasasa sihitaji kuwa magroup yoyote ya Kisiasa Wala kijamii Sitaki Siasa. Mwenyekiti aliyepita: Samahani ndugu zangu, Mie siyo mwanachama wa CCM...
2 Reactions
4 Replies
2K Views
Nilikuwa na mafuta kidogo kwenye gari. Nimezunguka vituo kibao mafuta hakuna, nimeahirisha safari muhimu. Afadhali mzuge zuge mafuta yapatikane wiki ijayo. Kama endapo mafuta yatapatika kesho...
8 Reactions
43 Replies
3K Views
Habari great thinkers, Labda nielezee kwa mifano hayati magufuli aliwahi kuwaagiza tanesco kupitia REA wawafungie wananchi umeme kwa 27000. Lakini baadae ikaja kuonekana sio bei sahihi mfano...
1 Reactions
9 Replies
530 Views
Ni aibu kwa kiongozi mkubwa wa chama cha CCM. kinachoiongoza na kuisimamia Serikali iliyoko madarakani kuzunguka nchini akitoa onyo kuzuia wale wanaotaka kujipanga kutafuta teuzi za kugombea...
0 Reactions
0 Replies
478 Views
Naibu Waziri Mkuu ni Waziri wa Nishati, sasa Leo SAA 12 asubuhi umeme umekatika, hii inaonyesha ni mgao WA umeme. Naomba ulishughulikie Hilo. Na pia Kwa sababu umepewa hukumu la kuratibu, kuna...
4 Reactions
28 Replies
2K Views
Bajeti imeingilia maisha ya watu ambayo tayari ni magumu kuwahi kutokea katika kipindi cha miongo kadhaa iliyopita. Bajeti imeweka kodi katika bidhaa ambazo bei zake ni kero kubwa kwa wananchi...
0 Reactions
3 Replies
820 Views
Naibu Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Hamis Mwinjuma ameipongeza Timu ya mpira wa Miguu ya Dodoma Jiji FC kwa kufungua duka la vifaa vya michezo na kupata mwekezaji WAZAWA NET SPORTS...
0 Reactions
1 Replies
889 Views
Nijuavyo Mimi ,Jimbo la Rungwe Magharibi ambako ni nyumbani Kwa Spika Dr Tulia ndio lilimfaa sana maana kule kwanza hakunaga upinzani Wala watu hawana shobo na upinzani. Mbunge wa Sasa anaitwa...
1 Reactions
12 Replies
2K Views
Nawaza tu nanyi mnisaidie kuwaza pamoja. Kuondolewa kwa kipara wizara ile na kuwekwa Biteko huenda ni bomu ametegeshewa ljmlipukie. Baada ya kipara kuboronga pale na kupiga dili za kufa mtu...
1 Reactions
7 Replies
955 Views
Ukifuatilia teuzi za siku hizi katika ngazi zote, vigezo vikuu ambavyo vinaonekana kwa macho ya kawaida kabisa ni:- 1. Kuwa kada mtiifu wa CCM 2. Kuwa muongeaji mzuri wa kusifia sifia...
7 Reactions
16 Replies
986 Views
Mawaziri Wakuu wastaafu Mzee Warioba, mzee Msuya, Mzee Sumaye na Mzee Lowassa mara kadhaa wamekuwa wakiisifia Chadema kwamba ni Bora kuliko CCM Tena Sumaye na Lowassa waliwahi kuhamia kabisa...
10 Reactions
66 Replies
4K Views
Ikiwa ni siku moja baada ya kuwasili ofisini Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Mhe. Dkt.Damas Ndumbaro ameanza kazi Wizarani hapo kwa kukutana na kuzungumza na watumishi na viongozi wa Idara ya...
0 Reactions
3 Replies
634 Views
Back
Top Bottom