Bush Dokta
JF-Expert Member
- Apr 11, 2023
- 12,133
- 20,295
Ndio ni mageuzi kwani hatua alizochukua hazikuwahi kufanyika hapo nyuma ama kama zilifanyika basi zilikiwa kwa kiwango kidogo.
Dr. Hussein Ali Mwinyi ni Daktari kitaaluma yaani Dakatari wa Binadamu.
Tangu ameingia Madarakani Zanzibar kama Rais wa Zanzibar na mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi amefanya yafuatayo yanayogusa Mwananchi moja kwa moja kwenye Sekta Mahususi ya Afya.
1. Ameongeza ajira kwa wafanya kazi wa sekta ya afya kwenye kada za Udaktari, Utabibu, Wauguzi, Maabara na Mionzi.
2. Dr Hussein Mwinyi imemchukua kipindi cha Mwaka mmoja tu madarakani ameweza kuongeza mishahara kwa wafanya kazi sekta ya afya. Kwa sasa Madaktari na Wauguzi katika serikali ya Mapinduzi Zanzibar yaani ni Neema tupu.
3. Ameongeza ufanisi ktk usimamiaji wa kutoa huduma bora kwa Wananchi na kuachana na hulka ya bussness asual. Ameweza kutoa management tendership na kuongeza watu wenye uwezo kusimamia utumishi kwenye sekta ya afya ( hii ni mada ya siku nyingine).
4. Dr. Hussein Mwinyi chini ya uongozi wake ameweza kuongeza Vituo vipya vya kutolea huduma za afya na kuboresha vilivyopo.
Ameongeza Hospitalu za wilaya kila wilaya na Mkoa kila Mkoa. Haya ni mafanikio makubwa kuhakikisha Jamii ya Wazanzibar wenye idadi takribani Milioni Mbili wanapata huduma bora na ya kuaminika.
Lakini ktk yoote hayo Dr Hussein Mwinyi ameonesha nia na uongozi thabiti kwenye jambo hili na amehakikisha mipango inafanyika kama ilivyopangwa.
Tumpe maua yake aweze kufanya vizuri zaidi.
Nawatakia Sabato Njema.
Dr. Hussein Ali Mwinyi ni Daktari kitaaluma yaani Dakatari wa Binadamu.
Tangu ameingia Madarakani Zanzibar kama Rais wa Zanzibar na mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi amefanya yafuatayo yanayogusa Mwananchi moja kwa moja kwenye Sekta Mahususi ya Afya.
1. Ameongeza ajira kwa wafanya kazi wa sekta ya afya kwenye kada za Udaktari, Utabibu, Wauguzi, Maabara na Mionzi.
2. Dr Hussein Mwinyi imemchukua kipindi cha Mwaka mmoja tu madarakani ameweza kuongeza mishahara kwa wafanya kazi sekta ya afya. Kwa sasa Madaktari na Wauguzi katika serikali ya Mapinduzi Zanzibar yaani ni Neema tupu.
3. Ameongeza ufanisi ktk usimamiaji wa kutoa huduma bora kwa Wananchi na kuachana na hulka ya bussness asual. Ameweza kutoa management tendership na kuongeza watu wenye uwezo kusimamia utumishi kwenye sekta ya afya ( hii ni mada ya siku nyingine).
4. Dr. Hussein Mwinyi chini ya uongozi wake ameweza kuongeza Vituo vipya vya kutolea huduma za afya na kuboresha vilivyopo.
Ameongeza Hospitalu za wilaya kila wilaya na Mkoa kila Mkoa. Haya ni mafanikio makubwa kuhakikisha Jamii ya Wazanzibar wenye idadi takribani Milioni Mbili wanapata huduma bora na ya kuaminika.
Lakini ktk yoote hayo Dr Hussein Mwinyi ameonesha nia na uongozi thabiti kwenye jambo hili na amehakikisha mipango inafanyika kama ilivyopangwa.
Tumpe maua yake aweze kufanya vizuri zaidi.
Nawatakia Sabato Njema.