Kiongozi wa umma kumiliki vitu vya anasa huku kundi la unaowatawala wakipitia dhiki haijengi taswira nzuri

Mto Songwe

JF-Expert Member
Jul 17, 2023
6,017
12,309
Hakuna hali inayokera na kuleta uhuzuni kwa kundi kubwa la watawaliwa kama kuona kiongozi wao akiishi maisha ya anasa huku wao wakizidi kutumbukia katika lindi la umasikini.

Tanzania kuna watu wengi sana wanaishi katika dhiki isiyo ya mfano, kama wewe ni mtafutaji wa mtaani au pembezoni mwa mji utakubaliana nami.

Vijana wengi sasa maisha wanayoishi yanakatisha tamaa maana yamejaa ufukara usio na mfano hapa usitegemee taasisi ya ndoa itakuwa na uhai, so usishangaee kuzidi kuyumba kwa taasisi ya ndoa na kuzidi kuimarika zaidi kwa biashara ya ngono.

Inapojitokeza kiongozi mkubwa wa nchi akiishi maisha ya anasa na kufuja mali kusiko na mfano inajenga taswira isiyo faa na inahuzunisha sana.

Kiongozi wa nchi anaye weka tu mkononi kitu chenye thamani ya milioni 100+ hii ni level ya juu sana ya ufujaji na kuishi maisha ya anasa yasiyo na mfano.

Saa tu millioni 100+ hizi pesa ni nyingi sana ambazo Watanzania wengi inaweza fika hata asilimia 80 wanakufa hawajawahi hata kuigusa wala kuiona sasa kiongozi mkubwa wa umma ambae ni picha ya anao watawala anaweka tu mkononi mil 100+ inasikitisha sana.

Kiongozi wa umma ambae haoni aibu kumpa mstaafu mzee gari la mamia ya mamilioni ya fedha kama zawadi ya birthday.

Kiongozi wa umma ambae haoni aibu kugawa pewa hovyo kwa timu za mpira wa miguu huku wananchi wake wakiishi maisha ya dhiki yasiyo na mfano.

Kiongozi anagawa pesa kama njungu za kuwajengea nyumba za kusali wakristo na waislam za mamilioni ya pesa.

Kiongozi wa umma ambae haoni tatizo kuzidi kutapanya hovyo pesa na kuishi maisha ya anasa anafikirisha sana namna anavyo watazama watu wake anao watawala.

Tanzania kuna umasikini napo sema umasikini namaanisha umasikini kweli kama ni mtu wa ofisini tu huwezi kuelewa level ya umasikini waliyo nayo Watanzania wengi inasikitisha sana.

Inasikitisha sana tena sana kuona kiongozi mkubwa wa umma anaiweka mkononi saa ya zaidi ya shilling million 100 na inanisikitisha zaidi pale ambapo kuna kundi la watu wanaona jambo hili ni sawa tu kufanywa.

shida-ya-maji-.jpg
NTUNGWA.jpg
 
Hakuna hali inayokera na kuleta uhuzuni kwa kundi kubwa la watawaliwa kama kuona kiongozi wao akiishi maisha ya anasa huku wao wakizidi kutumbukia katika lindi la umasikini.

Tanzania kuna watu wengi sana wanaishi katika dhiki isiyo ya mfano, kama wewe ni mtafutaji wa mtaani au pembezoni mwa mji utakubaliana nami.

Vijana wengi sasa maisha wanayoishi yanakatisha tamaa maana yamejaa ufukara usio na mfano hapa usitegemee taasisi ya ndoa itakuwa na uhai, so usishangaee kuzidi kuyumba kwa taasisi ya ndoa na kuzidi kuimarika zaidi kwa biashara ya ngono.

Inapojitokeza kiongozi mkubwa wa nchi akiishi maisha ya anasa na kufuja mali kusiko na mfano inajenga taswira isiyo faa na inahuzunisha sana.

Kiongozi wa nchi anaye weka tu mkononi kitu chenye thamani ya milioni 100+ hii level ya juu sana ya ufujaji na kuishi maisha ya anasa yasiyo na mfano.

Saa tu millioni 100+ hizi pesa ni nyingi sana ambazo Watanzania wengi inaweza fika hata asilimia 80 wanakufa hawajawahi hata kuigusa wala kuiona sasa kiongozi mkubwa wa umma ambae ni picha ya anao watawala anaweka tu mkononi mil 100+ inasikitisha sana.

Kiongozi wa umma ambae haoni aibu kumpa mstaafu mzee gari la mamia ya mamilioni ya fedha.

Kiongozi wa umma ambae haoni aibu kugawa pewa hovyo kwa timu za mpira wa miguu huku wananchi wake wakiishi maisha ya dhiki yasiyo na mfano.

Kiongozi anagawa pesa kama njungu za kuwajengea nyumba za kusali wakristo na waislam za mamilioni ya pesa.

Kiongozi wa umma ambae haoni tatizo kuzidi kutapanya hovyo pesa na kuishi maisha ya anasa anafikirisha sana namna anavyo watazama watu wake anao watawala.

Tanzania kuna umasikini napo sema umasikini namaanisha umasikini kweli kama ni mtu wa ofisini tu huwezi kuelewa level ya umasikini waliyo nayo Watanzania wengi inasikitisha sana.

Inasikitisha sana tena sana kuona kiongozi mkubwa wa umma anaiweka mkononi saa ya zaidi ya shilling million 100 na inanisikitisha zaidi pale ambapo kuna kundi la watu wanaona jambo hili ni sawa tu kufanywa.
Naunga mkono hoja
 
Hakuna hali inayokera na kuleta uhuzuni kwa kundi kubwa la watawaliwa kama kuona kiongozi wao akiishi maisha ya anasa huku wao wakizidi kutumbukia katika lindi la umasikini.

Tanzania kuna watu wengi sana wanaishi katika dhiki isiyo ya mfano, kama wewe ni mtafutaji wa mtaani au pembezoni mwa mji utakubaliana nami.

Vijana wengi sasa maisha wanayoishi yanakatisha tamaa maana yamejaa ufukara usio na mfano hapa usitegemee taasisi ya ndoa itakuwa na uhai, so usishangaee kuzidi kuyumba kwa taasisi ya ndoa na kuzidi kuimarika zaidi kwa biashara ya ngono.

Inapojitokeza kiongozi mkubwa wa nchi akiishi maisha ya anasa na kufuja mali kusiko na mfano inajenga taswira isiyo faa na inahuzunisha sana.

Kiongozi wa nchi anaye weka tu mkononi kitu chenye thamani ya milioni 100+ hii level ya juu sana ya ufujaji na kuishi maisha ya anasa yasiyo na mfano.

Saa tu millioni 100+ hizi pesa ni nyingi sana ambazo Watanzania wengi inaweza fika hata asilimia 80 wanakufa hawajawahi hata kuigusa wala kuiona sasa kiongozi mkubwa wa umma ambae ni picha ya anao watawala anaweka tu mkononi mil 100+ inasikitisha sana.

Kiongozi wa umma ambae haoni aibu kumpa mstaafu mzee gari la mamia ya mamilioni ya fedha.

Kiongozi wa umma ambae haoni aibu kugawa pewa hovyo kwa timu za mpira wa miguu huku wananchi wake wakiishi maisha ya dhiki yasiyo na mfano.

Kiongozi anagawa pesa kama njungu za kuwajengea nyumba za kusali wakristo na waislam za mamilioni ya pesa.

Kiongozi wa umma ambae haoni tatizo kuzidi kutapanya hovyo pesa na kuishi maisha ya anasa anafikirisha sana namna anavyo watazama watu wake anao watawala.

Tanzania kuna umasikini napo sema umasikini namaanisha umasikini kweli kama ni mtu wa ofisini tu huwezi kuelewa level ya umasikini waliyo nayo Watanzania wengi inasikitisha sana.

Inasikitisha sana tena sana kuona kiongozi mkubwa wa umma anaiweka mkononi saa ya zaidi ya shilling million 100 na inanisikitisha zaidi pale ambapo kuna kundi la watu wanaona jambo hili ni sawa tu kufanywa.
Naunga Mkono hoja Ukiwa kiongozi Hata Kama unapesa,, jifiche Kidogo Maana walioko Nyuma Wengi Hata Kula Ni Shida.
 
Back
Top Bottom