Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Imetokea kasumba mbovu ambayo mwisho wa siku ninaiita cheap politics na divide and rule..., Waziri amekuwa akijinasibu mtetezi wa wakulima kwamba hawapangii Bei na kuonyesha kana kwamba walaji ni...
5 Reactions
77 Replies
5K Views
Pumzika Lowassa Pumzika, Kazi Umekamilisha, Mwendo Umeumaliza, Pumzika!. Toka kumetokea msiba wa Edward Lowassa hapa Jamiiforums tukimuita kwa jina maarufu la Mwamba wa Kaskazini, ile Jumamosi...
27 Reactions
31 Replies
3K Views
Kuelekea Februari 27 kwenye maandamano ya Arusha, tuwape pongezi na kuwatia shime wote wajitoao kuipigania nchi hii. Kuipigania nchi ni jukumu takatifu, kwa hakika tuwape pongezi mashujaa wetu...
3 Reactions
9 Replies
728 Views
Sasa ni dhahiri kuwa suala la umeme linakitweza na kukiaibisha chama tawala-CCM. Pia, umeme unaitweza na kuiaibisha Serikali iliyopo madarakani. Umeme unakatikakatika. Umeme haueleweki. Umeme...
0 Reactions
1 Replies
549 Views
Meya wa Kinondoni alalamika hakuna maji, sukari na Umeme unakatika katika, mambo hayo yalikuwa hayapo wakati wa Magufuli na wahusika hawatoi majibu wanachengachenga na viongozi hao wapo kwa ajili...
2 Reactions
13 Replies
1K Views
Askofu Bagonza amewahi kuandika Makala yake ya kifalsafa juu ya Haki ya binadamu kulia, CCM wamekiri wenyewe kuwa walimuonea Lowassa na kuumiza roho na mwili hadi Ikafikia kumkata kwa kashfa ya...
10 Reactions
25 Replies
3K Views
Siasa za CCM ndio zinapelekea tatizo la Umeme nchini lisiishe kwani maamuzi makubwa na ya kitaalamu yanaamriwa kisasa, na mpaka sasa CCM hawajawahi na hawatawahi kumaliza kabisa tatizo la umeme...
0 Reactions
0 Replies
514 Views
Kwa mujibu wa John Heche kupitiia account yake ya twitter, Waziri Mkuu analipwa posho ya shilingi 340,000/= kwa siku awapo Bungeni. Posho hiyo inahusisha sitting allowance pamoja na perdiem na...
31 Reactions
111 Replies
12K Views
Waziri wa Uchumi Prof Kitila Mkumbo amesema Serikali imebana Matumizi Viongozi hawaishi Maisha ya Anasa Magari yamebaki kwa viongozi wa juu tu. "Watumishi wengine wote tunatumia Magari yetu kama...
12 Reactions
67 Replies
6K Views
Kupitia kwenye ukurasa wao wa Instagram, Radio ya EFM imepost video inayoashiria kuwa ni kejeli kwa Chama cha Demokrasia na Maendeleo. Kwenye video hiyo iliyopewa Title "Subiri pajae ndio upige...
15 Reactions
56 Replies
6K Views
Mgao mkali wa umeme, gharama kubwa za Internet (mabando), uhaba wa sukari na vitu kuchelewa kutoka bandarini. Ni wakati sahihi Mama kufuatilia wazembe wanaomhujumu na kuwachukulia hatua kali...
4 Reactions
112 Replies
5K Views
Salaam.. Nimesikia mwanamama mmoja akiongea kuwa yeye ni ndugu yetu kule Dar es Salaam. Kwa taarifa tu sisi watu wa Monduli kwetu watoto ni baraka na neema, nimeshangaa ametukosa ukoo mzima...
59 Reactions
329 Replies
55K Views
Kama kuna sehemu ambapo wakati mwingine wa Kenya wananivuruga ni maswali hayo mawili ambayo kwa kweli yanataka kuuliza "kuna tatizo gani?" Lakini ni maswali ambayo yanahitaji udadisi na majibu...
7 Reactions
23 Replies
3K Views
Chakula cha Mawazo: Unafikiri ni kwa kiasi gani ubunifu (creativity) una nafasi katika kubadilisha maisha mtu, kikundi cha watu, jamii au hata taifa kwa ujumla. Unafikiri Watanzania kama mtu mmoja...
3 Reactions
52 Replies
5K Views
Huyu dada ni kichwa haswa, amenyooka kiakili kama rula. Hababaiki wala hababaishi.   Wakili Msomi Dr. Tulia Ackson atatufaa sana mwaka 2025. Samia akae kando atupishe tujipatie chuma hiki cha...
1 Reactions
90 Replies
4K Views
https://www.youtube.com/watch?v=SH9ks-0_wQ8 Mimi ni mmoja wa watu tulobahatika kuhudhuria msiba wa marehemu Edward Ngoyai Lowassa na nikawa na shauku kubwa ya kusikia historia ya mwanasiasa huyu...
8 Reactions
56 Replies
6K Views
Ndugu zangu Watanzania, Kwa hakika hakuna chama cha upinzani kwa sasa wala kiongozi wala mtu yeyote yule kutoka upinzani ,anayeweza kufanya mkutano mkubwa ambao ukahudhuriwa na maelfu ya wananchi...
5 Reactions
178 Replies
8K Views
Sukari kizungumkuti, umeme kizungumkuti, maji kizungumkuti, huduma za jamii(Afya, Elimu, Miundombinu nk.) kizungumkuti. Kwa ujumla karibu mambo yote ni kizungumkuti. Je, atagombea tena 2025?
12 Reactions
58 Replies
3K Views
Nani nauliza tu, ni nani anaweza kuwa Rais na Watanzania wakawa hawana wasiwasi nae! Niwaonavyo viongozi wa CHADEMA nyuma ya pazia ni wabinafsi. Ukweli wana ueledi wa kufoka ila ukikusanya...
2 Reactions
17 Replies
964 Views
Hii ni Mbeya + viongozi wote wa kitaifa + waandishi wa habari+kwa yeyote anayejisikia
4 Reactions
44 Replies
2K Views
Back
Top Bottom