Mbunge wa Jimbo la Hai, Mhe. Saashisha Mafuwe tarehe 05 Septemba, 2023 katika Mkutano Mkuu wa Jimbo la Hai Aliwasilisha Taarifa ya Utekelezaji wa Ilani ya CCM ambapo Mgeni rasmi alikuwa ni Makamu...
Naandika Rashda binti Zunde✍️
Watanzania amkeni, Watanzania amkeni tupinge watu kama hawa wanaotusi viongozi wa nchi hadharani. Tuungane kukemea vitendo kama hivi huu ni udharirishaji wa Rais...
Na hamtaamini macho yenu kwenye Mkutano wa Jumapili wa Tundu Lissu na Mbowe hapa Musoma mjini. CCM sasa ni muda wa watu wa Mara kuwaonesha kwa vitendo kuwa tumechoka na hatuwataki.
Tutakuja na...
Muundo wa sasa wa Tume ya Uchaguzi ni sawa na Mtego wa Panya hunaswa wahusika na wasiohusika
Angalizo:
Chadema wakishiriki Uchaguzi kwa Tume hii ya Uchaguzi ni Wazi CCM itashinda kirahisi lakini...
Kenya Imetanga kuondoa hitaji la kuwa na Visa Kwa raia kutoka Mataifa ya Afrika wanaotaka kuingia na kuishi Nchini humo.
Je Tanzania tufuate Mkondo Kwa kuondoa visa Kwa Nchi zote za Afrika Ili...
TAMKO LA SHEIKH WA MKOA MWANZA KUHUSU MJADALA WA BANDARI
Utangulizi
Kwa kipindi cha zaidi ya mwezi mmoja kumekuwa na mjadala kuhusu uwekezaji na uendeshaji wa bandari zetu na kampuni kutoka...
Tofauti ya Chadema na vyama vingine vya kisiasa ni hii , Yaani huku Chadema mtu yeyote mwanachama akipewa kibali na chama chake anaweza kuitisha Mkutano wa hadhara na akajaza Umati.
Kwa mfano...
Waziri wa Fedha, Dkt. Mwigulu Nchemba amesema mwaka 2022 Pato Ghafi la Taifa lilikuwa TZS trilioni 170.3 ikilinganishwa na TZS trilioni 156.4 mwaka 2021.
Hivyo, kutokana na idadi ya watu...
Habari za humu ndani naamini ninyi ni wazima
Mimi nauliza tu Maana kila moja anajua kitu gani kinakwenda kufanywa na ccm.
Kwanini isianzishwe mikutano ya kudai mchakato wa katiba na tume ya...
IGP upo katika kipindi ambacho serikali inakuhitaji kuliko wakati wowote. Watangulizi wako pamoja na wewe mmekuwa mkiomba bajeti ya kuboresha makazi ya askari bila mafanikio kwa miaka mingi...
Ndugu zangu wana JF baada ya kutoka bei za mafuta kupitia EWURA nimeona niingie kufanya utafiti niweze kujua bei za mafuta ghafi na gharama zake za kuyasafisha na kusafirisha mpaka kufika kwetu...
Kama mada inavyojieleza hapo juu na kama waswahili wasemavyo wa kushiba huonekana mezani, awamu hii tofauti sana na hali ilivyokuwa kuelekea uchaguzi wa mwaka 2015, sijaona viashiria vingi muhimu...
Nini kinatuzuia kujenga refinery ya mafuta? Kwa haraka haraka nimesearch. Kujenga refinery ya mapipa laki moja kwa siku ni dola 1.5 bilioni. Tanzania tunatumia mapipa 70,000 elfu kwa siku. Gharama...
Ifike mahali sasa tuache kuzunguka mbuyu samia kwa sasa anatakiwa awajibike kwa kila ovu au zuri linaloikumba nchi yetu.
Kwa sasa tunasema she is responsible for everything tuache kusingizia...
Kushindwa kupo tu, lakini si kwa awamu hii ya sita! Hii ndo imeshindwa kila kona kiasi cha kutia hasira ndugu zangu!
Mtu akiniambia kwamba, awamu hii ipo kwa ajili ya wananchi wote, nitamuona...
Kama nakumbuka vizuri Vuguvugu lililokuwepo 1980s la hawa Nccr na Kamahuru lilikuwa ni la kudai Katiba Mpya kwanza ambayo ndani yake ndio itaruhusu mfumo wa Vyama vingi Vya Siasa.
Lakini Nyerere...
Nikitafakari katika jicho la kiuchumi na kibiashara, nikitafakari katika jicho la roho mbaya, nikitafakari katika jicho la asiye na uchungu najiuliza watumishi wa BASATA ni wasanii au ni watumishi...
CHADEMA ambao mda wote wanatukana na kudhalilisha Viongozi wameendelea kuonywa na Viongozi mbalimbali ambapo Dotto Biteko amekemea Vikali upuuzi huo.
Siku za hivi karibuni CHADEMA wamekuwa...
Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe, akitoa tathmini kutokana na Oparesheni Kabambe ya 255 KATIBA MPYA, iliyotiwa kachumbari ya OKOA BANDARI ZETU, ametumia wasaa huo pia kuwashukuru Wananchi wote...
Baba yake Mbowe (Aikaeli Mbowe) ni mmoja wa waasisi wa CHADEMA. Fataher-in-law Mbowe (Edwin Mtei, Baba wa Lilian Mtei) ndiye kiongozi mkubwa wa kwanza ndani ya CHADEMA thats why wengine wanasema...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.