johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,972
- 141,984
Niwapongeze wale Mabula Wawili wa Mwanza kwa kuelewa Maandamano ya Chadema hayakuwalenga wao majimboni mwao bali yalikuwa ya kitaifa zaidi
Mrisho Gambo wala usipanic bwana mdogo yachukulie Maandamano yao kama Fursa ya kukutangaza zaidi Wewe na Jimbo lako
Nawakumbusha tu Chadema hapo Arusha ndio nyumbani kwa Nabii Mkuu mh Geo Davie so ingieni kwa Heshima
Mlale Unono 😀😀🔥
Mrisho Gambo wala usipanic bwana mdogo yachukulie Maandamano yao kama Fursa ya kukutangaza zaidi Wewe na Jimbo lako
Nawakumbusha tu Chadema hapo Arusha ndio nyumbani kwa Nabii Mkuu mh Geo Davie so ingieni kwa Heshima
Mlale Unono 😀😀🔥