Habari picha zikimuonesha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan alipohudhuria mazishi ya kitaifa ya aliyekuwa Rais wa Jamhuri ya Namibia Hayati Dkt. Hage Geingob yaliyofanyika leo, Jumamosi Februari 24.2024 kwenye uwanja wa michezo wa Uhuru uliopo jijini Windhoek nchini Namibia,
Rais Samia Suluhu Hassan akisalimiana na Rais wa Burundi Mhe. Évariste Ndayishimiye.
Rais Samia Suluhu Hassan akizungumza na Rais wa Burundi Mhe. Évariste Ndayishimiye.
Rais Samia Suluhu Hassan akizungumza na Rais wa Kenya Mhe. William Ruto.
Rais Samia Suluhu Hassan akisalimiana na Rais wa Burundi Mhe. Évariste Ndayishimiye.
Rais Samia Suluhu Hassan akizungumza na Rais wa Burundi Mhe. Évariste Ndayishimiye.
Rais Samia Suluhu Hassan akizungumza na Rais wa Kenya Mhe. William Ruto.