msovero
JF-Expert Member
- Jun 30, 2019
- 839
- 1,472
Ndugu wana JF sina mengi na sitaki niwachoshe ila kuna Jambo moja naomba nipate ufafanuzi kutoka kwenu wajuvi wa idara hii ya usalama wa Taifa.
Tangu nikiwa mdogo nimekuwa nikisikia sikia uwepo wa idara hii na Kwa ufahamu mdogo nilionao ni kwamba ili mtu awe recruited na kuwa mtumishi wa idara hii anatakiwa kuwa na uzalendo wa hali ya juu wa kuipenda nchi katika hali zote.
Kadhalika mtumishi katika idara hii anapaswa kuwa si muumini wa vitendo vya rushwa, muhujumu uchumi, ufisadi n.k
Lakini ajabu ni kwamba kumekuwepo na hali ya baadhi ya waliowahi kuwa viongozi waandamizi wa idara hii kuhusishwa na vitendo vya ufisadi na kujilimbikizia Mali.
Nachotaka kufahamu Je, ni kweli kwamba hata watumishi wa idara hii hawana uzalendo kiasi cha kujihusisha na vitendo vya ufisadi na kujilimbikizia mali? na ni kipi hupelekea mtu wa aina hii kuwa recruited katika idara hii nyeti ya nchi?
Tangu nikiwa mdogo nimekuwa nikisikia sikia uwepo wa idara hii na Kwa ufahamu mdogo nilionao ni kwamba ili mtu awe recruited na kuwa mtumishi wa idara hii anatakiwa kuwa na uzalendo wa hali ya juu wa kuipenda nchi katika hali zote.
Kadhalika mtumishi katika idara hii anapaswa kuwa si muumini wa vitendo vya rushwa, muhujumu uchumi, ufisadi n.k
Lakini ajabu ni kwamba kumekuwepo na hali ya baadhi ya waliowahi kuwa viongozi waandamizi wa idara hii kuhusishwa na vitendo vya ufisadi na kujilimbikizia Mali.
Nachotaka kufahamu Je, ni kweli kwamba hata watumishi wa idara hii hawana uzalendo kiasi cha kujihusisha na vitendo vya ufisadi na kujilimbikizia mali? na ni kipi hupelekea mtu wa aina hii kuwa recruited katika idara hii nyeti ya nchi?