Lituye
JF-Expert Member
- Dec 27, 2015
- 1,862
- 5,680
Hata madaktari na wanasayansi wanapofanya majaribio na utafiti wao kama ni tiba huwajaribu wanyama wakipona basi tiba hiyo hupewa wanadamu.
Kama dawa au upasuaji haukufanikiwa kwa kitu halisi basi binadamu hawezi kufanyiawa au kupewa dawa hiyo.
Sasa CCM wameshindwa kutengeneza sanamu tu ambalo sio halisi je unafikiria wataweza kufanya jambo halisi la maendeleo kwa wananchi?
Kama li sanamu tuu limewashinda, watamaliza uhaba wa sukari, umeme, ajira?
Hawa ma ccm yanatawala kwa nguvu bila ridhaa ya watu na hawajui nini cha kufanya hawana dira. Ndio mana juzi kuna kibwetele mmoja ameropoka eti serikali isilaumiwe watu kukosa maendeleo kwa kuwa sio wajibu wa serikali kuwaletea watu maendeleo.
Huyu anayesema hivi alikuwa waziri na aliapa kuitii katiba inayosema jukumu kuu la serikali itakuwa ni kuleta ustawi kwa wananchi.
Kama dawa au upasuaji haukufanikiwa kwa kitu halisi basi binadamu hawezi kufanyiawa au kupewa dawa hiyo.
Sasa CCM wameshindwa kutengeneza sanamu tu ambalo sio halisi je unafikiria wataweza kufanya jambo halisi la maendeleo kwa wananchi?
Kama li sanamu tuu limewashinda, watamaliza uhaba wa sukari, umeme, ajira?
Hawa ma ccm yanatawala kwa nguvu bila ridhaa ya watu na hawajui nini cha kufanya hawana dira. Ndio mana juzi kuna kibwetele mmoja ameropoka eti serikali isilaumiwe watu kukosa maendeleo kwa kuwa sio wajibu wa serikali kuwaletea watu maendeleo.
Huyu anayesema hivi alikuwa waziri na aliapa kuitii katiba inayosema jukumu kuu la serikali itakuwa ni kuleta ustawi kwa wananchi.