Paza sauti, taja taasisi za umma/serikali ambazo zinapaswa kufutwa, kubinafsishwa au kuunganishwa. Jana serikali imethubutu, lakini bado uchafu upo

Kiboko ya Jiwe

JF-Expert Member
Apr 7, 2020
12,705
36,154
Hello!

Natanguliza shukrani kwa serikali kwa uamuzi makini wa kufuta baadhi ya taasisi zake na zingine kuziunganisha.

Nadhani ni mwaka jana kama sijakosea nilileta uzi wa kutaka serikali ifute au iunganishe baadhi ya taasisi zake kwakuwa zingine zimekuwa mzigo na zingine kukosa ufanisi.

Few months later nikasikia Mh. Rais ALISEMA kuwa ifanyike inspection ya mashirika ya umma ili ikiwezekana mengine yafutwe au yaboreshwe.

Jana tumeona utekelezaji.

Thanks.

NIDA ndio iliongoza kupigiwa kelele kwenye ule uzi, sasa natumaini mambo yamekaa sawa baada ya kuwekwa kapu moja na RITA.

Ila bado msako uendelee ,

Mimi kero yangu kwa sasa ni hizi mamlaka za usambazaji maji.

Dar es salaam miji mipya karibu yote haina maji.

Zifumuliwe haraka .

Haiwezekani leakage ya maji idumu kwa miaka 2 huku wao wanalipwa mshahara.

Nazijua leakage 2 ambazo zinaashiria kuwa hizi mamlaka zimejaa matahira wanaojua kunyoosha nguo na wanaomiliki ATM card mfukoni.
 
Watendaji kazi wengi wa hizi taasisi za serikali hawana uwezo, unakuta mji upo pembezeni mwa ziwa kabisa lakini shida ya maji haiiishi. Kiangazi watakwambia maji shida masika watakwambia mitambo imeharibika imezolewa na maji, kila mwaka simulizi ni hizo hizo tangu uhuru.
 
Hello!
Natanguliza shukrani kwa serikali kwa uamuzi makini wa kufuta baadhi ya taasisi zake na zingine kuziunganisha.
Nadhani ni mwaka jana kama sijakosea nilileta uzi wa kutaka serikali ifute au iunganishe baadhi ya taasisi zake kwakuwa zingine zimekuwa mzigo na zingine kukosa ufanisi.
Few months later nikasikia Mh. Rais ALISEMA kuwa ifanyike inspection ya mashirika ya umma ili ikiwezekana mengine yafutwe au yaboreshwe.
Jana tumeona utekelezaji.
Thanks.
NIDA ndio iliongoza kupigiwa kelele kwenye ule uzi, sasa natumaini mambo yamekaa sawa baada ya kuwekwa kapu moja na RITA.
Ila bado msako uendelee ,
Mimi kero yangu kwa sasa ni hizi mamlaka za usambazaji maji.
Dar es salaam miji mipya karibu yote haina maji.
Zifumuliwe haraka .
Haiwezekani leakage ya maji idumu kwa miaka 2 huku wao wanalipwa mshahara.
Nazijua leakage 2 ambazo zinaashiria kuwa hizi mamlaka zimejaa matahira wanaojua kunyoosha nguo na wanaomiliki ATM card mfukoni.
Kwangu hata bunge ,mahakama ,na jeshi la polisi achana na vi-taasisi uchwana kama TANESCO sijui Tan-road

USSR
 
Huyo Kitila na Nehemia hawajui tofauti ya cost centres and business centres; let alone their impact to the government.

Hivi kwa akili zako timamu a national strategy inaandikwa na kila poyoyo mwenye Phd au sakapoko anaefundisha

Hawajui hata source ya kuandika strategy ni data na qualified people are those with management qualification.

Do they even know what it takes to write a strategy.

Kwenye vichwa vyao upuuzi wa Bashe na Makamba wa kuchezea hela ni strategy.

Just a pathetic country; today I place my blame on ‘Jim Beam’.

Ni kwamba nchi inaongozwa na watu wasio na uwezo.

Inafika hatua mpaka mtu unajiona odd aiwezekani jamii ikawa na watu vihiyo hivi.

The nonsense with this country is beyond me
 
Kwangu hata bunge ,mahakama ,na jeshi la polisi achana na vi-taasisi uchwana kama TANESCO sijui Tan-road

USSR
Chanzo cha mambo yote haya ya kuwepo kwa mrundikamo wa taasisi za umma ambazo hazileti tija yoyote kwa wananchi ni KATIBA MBOVU tuliyonayo. Ili kuondoa matatizo yote haya ni kufanya Mabadiliko Makubwa kabisa ya Utaratibu/Mfumo wote wa Uendeshaji wa Serikali ( Government Overhaul and Restructuring), na mahali pekee pa kuanzia ni kupatikana kwa KATIBA MPYA itakayotokana na Fikra, Maoni na Mawazo ya Wananchi wengi zaidi).
 
Chanzo cha mambo yote haya ya kuwepo kwa mrundikamo wa taasisi za umma ambazo hazileti tija yoyote kwa wananchi ni KATIBA MBOVU tuliyonayo. Ili kuondoa matatizo yote haya ni kufanya Mabadiliko Makubwa kabisa ya Utaratibu/Mfumo wote wa Uendeshaji wa Serikali ( Government Overhaul and Restructuring), na mahali pekee pa kuanzia ni kupatikana kwa KATIBA MPYA itakayotokana na Fikra, Maoni na Mawazo ya Wananchi wengi zaidi).
Si tulikubaliana katiba ni kijitabu tu?😂😂
 
Watendaji kazi wengi wa hizi taasisi za serikali hawana uwezo,unakuta mji upo pembezeni mwa ziwa kabisa lakini shida ya maji haiiishi.Kiangazi watakwambia maji shida masika watakwambia mitambo imeharibika imezolewa na maji,kila mwaka simulizi ni hizo hizo tangu uhuru.
Wizi mtupu.
 
Huyo Kitila na Nehemia hawajui tofauti ya cost centres and business centres; let alone their impact to the government.

Hivi kwa akili zako timamu a national strategy inaandikwa na kila poyoyo mwenye Phd au sakapoko anaefundisha

Hawajui hata source ya kuandika strategy ni data na qualified people are those with management qualification.

Do they even know what it takes to write a strategy.

Kwenye vichwa vyao upuuzi wa Bashe na Makamba wa kuchezea hela ni strategy.

Just a pathetic country; today I place my blame on ‘Jim Beam’.

Ni kwamba nchi inaongozwa na watu wasio na uwezo.

Inafika hatua mpaka mtu unajiona odd aiwezekani jamii ikawa na watu vihiyo hivi.

The nonsense with this country is beyond me
Yes! Tatizo kubwa serikalini ni mifumo ya ajira iliyopo! Watu wako secure na comfortable sana baada ya kupata ajira. Inaua creativity inabaki ilmradi!

Kingine ni kupuuzwa kwa tafiti na quality data! Maamuzi mengi ni maagizo kutoka juu na maelekezo ya majukwaani. Mwisho utendaji unafeli!

Yaani waajiriwa na watendaji serikalini wamebakiza hofu ya kukoromewa na wanasiasa (mawaziri, wabunge, makada wa ccm) vilaza wasiojua umuhimu wa tafiti na quality data!
 
Hello!
Natanguliza shukrani kwa serikali kwa uamuzi makini wa kufuta baadhi ya taasisi zake na zingine kuziunganisha.
Nadhani ni mwaka jana kama sijakosea nilileta uzi wa kutaka serikali ifute au iunganishe baadhi ya taasisi zake kwakuwa zingine zimekuwa mzigo na zingine kukosa ufanisi.
Few months later nikasikia Mh. Rais ALISEMA kuwa ifanyike inspection ya mashirika ya umma ili ikiwezekana mengine yafutwe au yaboreshwe.
Jana tumeona utekelezaji.
Thanks.
NIDA ndio iliongoza kupigiwa kelele kwenye ule uzi, sasa natumaini mambo yamekaa sawa baada ya kuwekwa kapu moja na RITA.
Ila bado msako uendelee ,
Mimi kero yangu kwa sasa ni hizi mamlaka za usambazaji maji.
Dar es salaam miji mipya karibu yote haina maji.
Zifumuliwe haraka .
Haiwezekani leakage ya maji idumu kwa miaka 2 huku wao wanalipwa mshahara.
Nazijua leakage 2 ambazo zinaashiria kuwa hizi mamlaka zimejaa matahira wanaojua kunyoosha nguo na wanaomiliki ATM card mfukoni.
Kuna kundi la watu wako Ngorongoro ambao sionagi wanafanya nini wote hao, kuwe na na TANAPA tu inatosha na hapo kipande Cha Ngorongoro wapunguzwe watu, wako pale Karatu wamejazana kazi ni kugombania wake za watu mitaani na mikwara isiyo na maana, wako wengi sana hua najiuliza kazi yao kule ni ipi hasa? Wana miradi kwamba kuna jamii kule wanashughulika nayo? Jibu ni hapana,wanashughulika na wanyama, kunapaswa kua na Askari kadhaa wa kulinda majangiri, na kikumdi kidogo Cha kukaa ofisini, lakini sijui hua wanaitana ndugu au vipi... Wako wengi sana ilihali Serikali haiwezi hata kutibu wagonjwa wananchi huku hospital, kwa nini wasiwe wanapunnguza matumizi ktk mapato yao ili kuhudumia wananchi kwa kuvunja vilunja hizi taasisi
 
Mimi nadhani hii unganisha unganisha hii isiishe kwenye mashirika iende moja kwa moja kwenye Wizara, na Hata kurugezi. Mfano, Mipango iunganishwe Tena na Wizara ya fedha.
====
Swali la msingi, hizi Taasisi zilianzishwa kwa mujibu wa sheria. Je. Miswada ya sheria ya kurekebisha muunda wa mashirika ama Taasisi hizi ilipelekwa Bungeni na kuridhiwa? Au Kuna muswada ulipelekwa Bungeni kufuta hizi sheria zilizoanzisha mashirika ama Taasisi hizi. ?

Hatutaki shughuli hii ya kuunganisha ikwamishwe na masuala ya kisheria huko mbeleni.
 
Binafsi nina push back kwa TANESCO kufanyiwa mabadiliko makubwa. TANESCO ipunguziwe majukumu yake, iwe na wafanyakazi wachache, na jukumu lake liwe kusambaza umeme na sio kuzalisha umeme. Jukumu la kuzalisha umeme lipewe kwa watu, kampuni tofauti ambazo zitawauzia umeme TANESCO. Mfano, pale Hanga Monastery wanazalisha umeme, ule ziada wanawauzia TANESCO, na wao wanausambaza kwa wateja wao kama pale Mawa, Mshindo, Mtakanini, n.k. Hivyo hivyo kwa Ikonda Hospital, ziada yao iuzwe kwa TANESCO. Pia, municipalities zenye uwezo wa kuzalisha umeme wafanye hivyo na wawauzie wateja wao moja kwa moja. DAWASA wajipange upya, kwani leakages zinatupa hasara kubwa ya maji safi, takribani 30%. Pia, majiji yetu makubwa yawe na metro cops wao. Monopoly ya jeshi la polisi ipunguzwe ili wawe na ufanisi zaidi.
 
Yes! Tatizo kubwa serikalini ni mifumo ya ajira iliyopo! Watu wako secure na comfortable sana baada ya kupata ajira. Inaua creativity inabaki ilmradi!

Kingine ni kupuuzwa kwa tafiti na quality data! Maamuzi mengi ni maagizo kutoka juu na maelekezo ya majukwaani. Mwisho utendaji unafeli!

Yaani waajiriwa na watendaji serikalini wamebakiza hofu ya kukoromewa na wanasiasa (mawaziri, wabunge, makada wa ccm) vilaza wasiojua umuhimu wa tafiti na quality data!
Tatizo ni incompetent people on the top.

Kitila kapiga porojo bungeni kuhusu dipiwedi kapewa nafasi ya uwaziri wa sector ya (uchumi/biashara) japo hana uwezo nayo.

Kwa nafasi yake hata kama hayo mambo yanamzidi kimo ni maswala ambayo as a politician anachukuwa nusu lawama; Realistically in government politics the bulk of his decision making depends on the quality on senior civil servants wizarani.

Sasa msingi wa kuandika strategy ni government goals, data za serikali na dunia to what they want to achieve, external environment, internal environment, addressing strategic risk, mitigation strategy to the risk and so forth.

Hayo ni mambo ambayo yanatakiwa kuandaliwa na makatibu wakuu, with input ya wataalamu wa wizara depending on strategic planning, pamoja na wataalamu wa taasisi nyingine za serikali kulingana na serikali inalenga kufikia nini katika hiyo miaka ijayo hadi 2050 and how to get there.

Sasa unawezaje kuokota watu tu wa nje waandae mipango ya serikali; TISS wana kazi gani.

This is why bila ya pombe siwezi ingia JF, bora uangaike na mambo ya kijijini; it’s just pathetic. Eventually inabidi ukubali a majority ya watu wenye nafasi za juu serikalini are clueless kuhusu dunia na uwezo wao mdogo sana.

Why stress yourself,

That’s not how people do things in the developed world waafrica tuna upumbavu wetu.
 
Hello!
Natanguliza shukrani kwa serikali kwa uamuzi makini wa kufuta baadhi ya taasisi zake na zingine kuziunganisha.
Nadhani ni mwaka jana kama sijakosea nilileta uzi wa kutaka serikali ifute au iunganishe baadhi ya taasisi zake kwakuwa zingine zimekuwa mzigo na zingine kukosa ufanisi.
Few months later nikasikia Mh. Rais ALISEMA kuwa ifanyike inspection ya mashirika ya umma ili ikiwezekana mengine yafutwe au yaboreshwe.
Jana tumeona utekelezaji.
Thanks.
NIDA ndio iliongoza kupigiwa kelele kwenye ule uzi, sasa natumaini mambo yamekaa sawa baada ya kuwekwa kapu moja na RITA.
Ila bado msako uendelee ,
Mimi kero yangu kwa sasa ni hizi mamlaka za usambazaji maji.
Dar es salaam miji mipya karibu yote haina maji.
Zifumuliwe haraka .
Haiwezekani leakage ya maji idumu kwa miaka 2 huku wao wanalipwa mshahara.
Nazijua leakage 2 ambazo zinaashiria kuwa hizi mamlaka zimejaa matahira wanaojua kunyoosha nguo na wanaomiliki ATM card mfukoni.
Wewe unataka watu wataja hayo mashirika wakati wewe huna hata shirika moja kichwani unalolijua la kufutwa. Kaaazi kweri kweri!!!
 
Back
Top Bottom